Askofu Mwingira: Nimenusurika kuuawa mara tatu na watu wa Serikali

Askofu Mwingira: Nimenusurika kuuawa mara tatu na watu wa Serikali

Ile issue ya Lissu "wahuni" waliicheza kiprofessional sana kuhakikisha tukio zima linawaaminisha watu uhusika wa serikali ya JPM.
-saa saba MCHANA,
eneo liwe la serikali linalolindwa na CCTV camera,
ondoeni Camera zote na walinzi pia.
Hakikisheni indicators zote zipoint serikali ya JPM kuhusika.

Halafu baada ya tukio shinikiza Interpol waje wafanye uchunguzi.
"Wahuni" wamefanikiwa kuwaaminisha wengi (including Lisu mwenyewe) kuwa JPM ndiye aliyetaka kumuua.
Lakini hata kama kweli JPM angetaka kumuua Lisu, hivi kwa intelligence ya kawaida ndo angefanya kijinga vile?

Yaani wafanye kweupe vile huku wakihakikisha indicators zote zioneshe serikali inahusika?
Hakuna serikali ya kijinga hivo Tanzania.
Na Samia alishawaambia "serikali ya Tz haiwezi kufanya tukio kizembe vile".
Ona huyu mjinga anavyoongea upumbavu
 
Ile issue ya Lissu "wahuni" waliicheza kiprofessional sana kuhakikisha tukio zima linawaaminisha watu uhusika wa serikali ya JPM.
-saa saba MCHANA,
eneo liwe la serikali linalolindwa na CCTV camera,
ondoeni Camera zote na walinzi pia.
Hakikisheni indicators zote zipoint serikali ya JPM kuhusika.

Halafu baada ya tukio shinikiza Interpol waje wafanye uchunguzi.
"Wahuni" wamefanikiwa kuwaaminisha wengi (including Lisu mwenyewe) kuwa JPM ndiye aliyetaka kumuua.
Lakini hata kama kweli JPM angetaka kumuua Lisu, hivi kwa intelligence ya kawaida ndo angefanya kijinga vile?

Yaani wafanye kweupe vile huku wakihakikisha indicators zote zioneshe serikali inahusika?
Hakuna serikali ya kijinga hivo Tanzania.
Na Samia alishawaambia "serikali ya Tz haiwezi kufanya tukio kizembe vile".
Kama usalama hawajui kilichotokea pale basi ni maharage matupu
 
Watu tutambeza nakuwaza ktk kibinandam ila alichokisema Askofu kipo kiroho sana kiasi niwatu wachache sana au uwenda wasimuelewe kabisa...

Ila muda ndio utatukumbusha...

Tuliombee taifa letu kuna kitu kinataka kutokea. Kuna jambo zito linataka kulikumba taifa hili Mungu anajambo lake. Pray for nation
 
Watu tutambeza nakuwaza ktk kibinandam ila alichokisema Askofu kipo kiroho sana kiasi niwatu wachache sana au uwenda wasimuelewe kabisa... Ila muda ndio utatukumbusha...
Tuliombee taifa letu kuna kitu kinataka kutokea. Kuna jambo zito linataka kulikumba taifa hili Mungu anajambo lake. Pray for nation
Mkuu, nyuzi zako huwa zinanifikirisha sana!
 
Tutakula Wapi Sasa Sisi Ccm
Mlikopeleka mboga!

Ifikie mahali tutambue kama taifa kuwa dagaa mchele , kauzu na maharage ni vyakula kama ilivyo kuku na nyama ya kuchoma ya ng’ombe au mbuzi.

Pia mkeka na hema unaweza kuwa nyumba maana kujisahau kumezidi
 
Watu tutambeza nakuwaza ktk kibinandam ila alichokisema Askofu kipo kiroho sana kiasi niwatu wachache sana au uwenda wasimuelewe kabisa...

Ila muda ndio utatukumbusha...

Tuliombee taifa letu kuna kitu kinataka kutokea. Kuna jambo zito linataka kulikumba taifa hili Mungu anajambo lake. Pray for nation
Hilo jambo kama litaikumba CCM likiwa baya acha liikumbe tu hakuna namna!
 
Yatokee tu ili utawala ubadilike
Katiba yetu imepitwa na wakati. Ni heri ibadilishwe tu.

Huu utaratibu kwamba Rais Akifariki akiwa madarakani, Makamu wa Rais ndio anaapishwa nauona Sio mzuri, Makamu wa Rais anaweza kupatwa na tamaa ya kuchukua nchi kiulaini tu.
 
Back
Top Bottom