Askofu Mwingira: Nimenusurika kuuawa mara tatu na watu wa Serikali

Askofu Mwingira: Nimenusurika kuuawa mara tatu na watu wa Serikali

Ile issue ya Lissu "wahuni" waliicheza kiprofessional sana kuhakikisha tukio zima linawaaminisha watu uhusika wa serikali ya JPM.
-saa saba MCHANA,
eneo liwe la serikali linalolindwa na CCTV camera,
ondoeni Camera zote na walinzi pia.
Hakikisheni indicators zote zipoint serikali ya JPM kuhusika.

Halafu baada ya tukio shinikiza Interpol waje wafanye uchunguzi.
"Wahuni" wamefanikiwa kuwaaminisha wengi (including Lisu mwenyewe) kuwa JPM ndiye aliyetaka kumuua.
Lakini hata kama kweli JPM angetaka kumuua Lisu, hivi kwa intelligence ya kawaida ndo angefanya kijinga vile?

Yaani wafanye kweupe vile huku wakihakikisha indicators zote zioneshe serikali inahusika?
Hakuna serikali ya kijinga hivo Tanzania.
Na Samia alishawaambia "serikali ya Tz haiwezi kufanya tukio kizembe vile".
Acha kelele ndugu, hao unaowaona kuwa hawawezi kufanya kizembe ndio hao hao waliweka camera na ndio hao waliondoa camera, wangelikuwa sio wazembe wangelikuwa wameshamdaka aliyemshambulia Lissu.

Hebu fikiri kiutu uzima "wamekwama wapi kumbaini aliye mshambulia Lissu?"
 
Nimeipenda Jiwe ukizingua gizani linakufinya huko huko, halikuleti kwenye mwanga. Yaani ukiwa mhuni jamaa alikuwa anakuahughulikia kimtaa mtaa, yaani kihuni huni tu. Na ndio kelele zikaanza kusikika, mara ooh hafuati katiba, watu wanapotea, mara oooh dikteta[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] yule mzee ukimletea uhuni gizani naye anakufanyia uhuni mara 10 ya wewe, tena huko huko gizani.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wajivunia ushetani?
 

Nabii Askofu Mwingira agoma Kupima DNA, ni katika kesi ya kuzaa na mke wa mtu
 

Walinzi Wa Nabii Mwingira Wakata Masikio Wananchi Rukwa Shamba la Milonje!!!!
 

Wananchi wavamia shamba la Nabii Josephati Mwingira Break Throw Mapinga
 
Haa yote yametokea miaka ya 2011 mpaka 2013,halafu aje mtu hapa aseme Nabii fake anaonewa,mtumishi wa mungu unatembea na walinzi unaogopa kudhuriwa na nani kama uko clean?
 
Maendeleo ya kweli hayawezi kuletwa at the expense ya kunyima watu uhuru wa kujieleza au kuua watu hovyo...alileta maendeleo ya vitu.kujenga maflyover.kununua mandege bila strategic management plans..kujenga mabarabara..but then akawanyima watu uhuru wa kutoa maoni yao..alijifanya yeye ndio kila kitu mtu wa mihemuko na uungu mtu..we are glad utukufu wa MUNGU MKUU ulijionyesha
Maoni gani ulinyimwa uhuru wa kuyatoa?
 
Mungu ndiye hupanga kesho ya Mtu na sio mwanadamu, Kila tukio ambalo humoata mwanadamu Mungu anakuwa ameshajua. Kwa hiyo usiogope wanaopanga kukuangamiza kesho yake ,Mungu huwaangamiza wao na kukuaxha
 
Nikama vike hali inastaajibisha, hii nchi haijulikanai nani ni nani, naanza kuamini taratibu maneno ya mwingira kuwa inawezekana kuna shetani nchi hii

Hayati Magufuli alisema wazi kuwa alinusurika kuuwawa

Lengai Ole Sabaya nae alieleza mahakamani kuwa alinusurika kuuwawa mara mbili,

Lissu nae alinusurika kuuwawa,

Mzee mangula pia Alinusutika kuuwawa,

Lema alinusurika kuuwawa,

Nabii Mwingira nae alinusurika kuuwawa

Zakaria alinusurika kuuwawa,

lakini cha ajabu hawawataji waliotaka kuwauwa hawakamatwi na mpaka leo hawajulikani,


Nchi hii kuna nini? kuna kundi la watu waliojificha wanatenda haya? je mpaka walitaka kumuua JPM na alipopata Urais akashindwa kuwakamata? Je, waliotaka kumuua Mangula kwa kumnywesha sumu? vipi kwa sabaya?


tuendelee kukaa na kitendawili hiki?

NANI MUUWAJI NCHI HII?
Ndio kama hadithi ya mchimba kisima. Au kama ile hadithi ya Victor Frankenstein ya miaka ya 1800s aliyeunda zimwi lililotaka kumuangamiza yeye mwenyewe, familia na ndugu zake.

Waliofanikisha kuigeuza CCM kuwa “deep state” au “mhimili uliojichimbia chini zaidi” kama alivyokuwa akijinasibu Jiwe, ndio walioleta adha yote hii. Hakuna atakayekuwa salama. Hata wapenzi wa Jiwe wanaamini alizimishwa na “deep state”!

Wapo wanaoamini kuwa hata muasisi mwenyewe, Mwalimu JKN na kijana wake Mkapa waliondolewa na deep state! It is crazy!
 
Ile issue ya Lissu "wahuni" waliicheza kiprofessional sana kuhakikisha tukio zima linawaaminisha watu uhusika wa serikali ya JPM.
-saa saba MCHANA,
eneo liwe la serikali linalolindwa na CCTV camera,
ondoeni Camera zote na walinzi pia.
Hakikisheni indicators zote zipoint serikali ya JPM kuhusika.

Halafu baada ya tukio shinikiza Interpol waje wafanye uchunguzi.
"Wahuni" wamefanikiwa kuwaaminisha wengi (including Lisu mwenyewe) kuwa JPM ndiye aliyetaka kumuua.
Lakini hata kama kweli JPM angetaka kumuua Lisu, hivi kwa intelligence ya kawaida ndo angefanya kijinga vile?

Yaani wafanye kweupe vile huku wakihakikisha indicators zote zioneshe serikali inahusika?
Hakuna serikali ya kijinga hivo Tanzania.
Na Samia alishawaambia "serikali ya Tz haiwezi kufanya tukio kizembe vile".
Kamera ziliondolewa BAADA ya tukio. Ndio serikali ishindwe kuwapata wahusika hadi leo. Labda kama ina ushirika na hao wahuni.

Halafu awamu ya tano kwenye “misheni” za kuzimisha ni kama vile haikuwa ikitumia professionals. Au ilikuwa ikipenda kujulikana. Tukio kama la Lwajabe data zilikuwa nje kabisa hadi EU na US kutoa tishio la “kimya kimya”.
 
Kamera ziliondolewa BAADA ya tukio. Ndio serikali ishindwe kuwapata wahusika hadi leo. Labda kama ina ushirika na hao wahuni.

Halafu awamu ya tano kwenye “misheni” za kuzimisha ni kama vile haikuwa ikitumia professionals. Au ilikuwa ikipenda kujulikana. Tukio kama la Lwajabe data zilikuwa nje kabisa hadi EU na US kutoa tishio la “kimya kimya”.
Hiyo kazi ilifanywa na wahuni waliokuwa ndani humohumo. Na lengo lilikuwa clear from the beginning kuwa indicators zote zioneshe serikali ya JPM inahusika.
Na wamefanikiwa kwa kiasi kikubwa kwa sababu hata Lisu mwenyewe anaamini ile kazi ilikuwa ni ya JPM.
Lakini kumbuka Tanzania's intelligence Unit ni among the BEST in Africa.
Samia alishawaambia ile kazi haikuwa na Baraka za serikali ya JPM.
Serikali ya Tz haiwezi kukosea pakubwa kiasi kile.
Yaani SMG full magazine risasi 30 zinaisha. Unapachika Magazine nyingine eti umetumwa na JPM umuue lisu?
 
Ndio kama hadithi ya mchimba kisima. Au kama ile hadithi ya Victor Frankenstein ya miaka ya 1800s aliyeunda zimwi lililotaka kumuangamiza yeye mwenyewe, familia na ndugu zake.

Waliofanikisha kuigeuza CCM kuwa “deep state” au “mhimili uliojichimbia chini zaidi” kama alivyokuwa akijinasibu Jiwe, ndio walioleta adha yote hii. Hakuna atakayekuwa salama. Hata wapenzi wa Jiwe wanaamini alizimishwa na “deep state”!

Wapo wanaoamini kuwa hata muasisi mwenyewe, Mwalimu JKN na kijana wake Mkapa waliondolewa na deep state! It is crazy!
Kwa sasa hao wanaoitwa 'deep state' wanaonekana kama mhimili wa 4 (japo tuna mihimili 3 tu inayotambulika kikatiba).
 
Hiyo kazi ilifanywa na wahuni waliokuwa ndani humohumo. Na lengo lilikuwa clear from the beginning kuwa indicators zote zioneshe serikali ya JPM inahusika.
Na wamefanikiwa kwa kiasi kikubwa kwa sababu hata Lisu mwenyewe anaamini ile kazi ilikuwa ni ya JPM.
Lakini kumbuka Tanzania's intelligence Unit ni among the BEST in Africa.
Samia alishawaambia ile kazi haikuwa na Baraka za serikali ya JPM.
Serikali ya Tz haiwezi kukosea pakubwa kiasi kile.
Yaani SMG full magazine risasi 30 zinaisha. Unapachika Magazine nyingine eti umetumwa na JPM umuue lisu?
Hao 'wahuni' walipatikana?
 
Hao 'wahuni' walipatikana?
Huwa inside jobs za aina hii mnaminyana ndani kwa ndani kimya kimya kwa sababu, namna mchoro unavyosukwa kunakuwa hakuna jinsi serikali ikakosa kuwa implicated.
Ndio maana hata Interpol hawakuruhusiwa, because lengo lilikuwa interpol waje wasindilie kuwa ni serikali na JPM iliyompiga risasi Tal ili ikiwezekana mabeberu yapate pa kuingilia kwa kisingizio cha JPM muuaji.
 
Hiyo kazi ilifanywa na wahuni waliokuwa ndani humohumo. Na lengo lilikuwa clear from the beginning kuwa indicators zote zioneshe serikali ya JPM inahusika.
Na wamefanikiwa kwa kiasi kikubwa kwa sababu hata Lisu mwenyewe anaamini ile kazi ilikuwa ni ya JPM.
Lakini kumbuka Tanzania's intelligence Unit ni among the BEST in Africa.
Samia alishawaambia ile kazi haikuwa na Baraka za serikali ya JPM.
Serikali ya Tz haiwezi kukosea pakubwa kiasi kile.
Yaani SMG full magazine risasi 30 zinaisha. Unapachika Magazine nyingine eti umetumwa na JPM umuue lisu?
Mmeamua kuimba pambio sasa 😂
Ila hamna majibu kuhusu udhaifu wa intelligent ya nchi maana hadi leo hamjabaini ni nani alimimina hizo risasi 30.

Hii ni tz 😂😂
 
Back
Top Bottom