Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwanini JPM alishindwa kiwataja waliompa sumu?Wahuni ni watu wasiojulikana na ndio hawa wametuulia kipenzi chetu JPM.
#kataawahuni
Unawataja vipi watu usiowajua?kwanini JPM alishindwa kiwataja waliompa sumu?
je kwanini JPM hakufatilia waliompa sumu Philip Mangula makamu wake mwenyekiti wa CCM?
Wasiojulokana🤔.Nikama vike hali inastaajibisha, hii nchi haijulikanai nani ni nani, naanza kuamini taratibu maneno ya mwingira kuwa inawezekana kuna shetani nchi hii
Hayati Magufuli alisema wazi kuwa alinusurika kuuwawa
Lengai Ole Sabaya nae alieleza mahakamani kuwa alinusurika kuuwawa mara mbili,
Lissu nae alinusurika kuuwawa,
Mzee mangula pia Alinusutika kuuwawa,
Lema alinusurika kuuwawa,
Nabii Mwingira nae alinusurika kuuwawa
Zakaria alinusurika kuuwawa,
lakini cha ajabu hawawataji waliotaka kuwauwa hawakamatwi na mpaka leo hawajulikani,
Nchi hii kuna nini? kuna kundi la watu waliojificha wanatenda haya? je mpaka walitaka kumuua JPM na alipopata Urais akashindwa kuwakamata? Je, waliotaka kumuua Mangula kwa kumnywesha sumu? vipi kwa sabaya?
tuendelee kukaa na kitendawili hiki?
NANI MUUWAJI NCHI HII?
Kabenki gani?Ana hasira sana baada ya kale kabenk kake uchwara kufilisiwa!
[emoji23][emoji23][emoji23]
EfathaKabenki gani?
Yeye ndie muuwaji na Lisu alisha mtajakwanini JPM alishindwa kiwataja waliompa sumu?
je kwanini JPM hakufatilia waliompa sumu Philip Mangula makamu wake mwenyekiti wa CCM?
Hapo kuna mgogoro wa maslahi -Efatha
Hii nchi ni hatari balaaHata waliotekwa wakarajea haijawahi kujulikana nani aliwateka mpaka leo!
Hili ndilo jibu sahihishetani anaeitesa nchi hii ni ccm.
Ila ametufumbua macho, tutamkumbuka daima, sisi ambao si vyeti fake!Yuko wapi Sasa?...mbona hasikiki tena?
Makandokando yake bado yapo!Kwani dhalimu wenu aliekuwa anafanya hayo si alishakufa na sasa mnapumua?
Na huu ni ukweli huku hadharani hujifanya wema kumbe ni wahalifu na waharibifu wa nchi kiasi serikali isipokuwa makini nchi haitawaliki, watu ka Hawa ni ku deal nao kimya kimya na wakileta kelele ushahidi uwekwe hadharaniWahaini na wahuni wamejificha kwenye makanisani, misikitini na kwenye vyama vya siasa... Ndio Wafadhili wa vyama vya siasa, ndio wahubiri makanisani na misikitini na ni wema kweli kweli mwangani.....Ukiwagusa jamii nzima itapiga kelele wanaonewa kumbe masikini hawajui watu hawa huko gizani ndio wanaowanyonya damu...
Dawa ya watu hawa ni kudeal nao huko huko gizani..na kuwamaliza maana ndio chanzo cha Taifa kukwama pia...
sio kweli,unataka kuniambia anazitafuna sanaMh ni mzee wa totozi
Sio wewe uwe objectives kwenye mambo kuliko kutumia mihemko Hadi sehemu yenye uhalisia wa mamboJifunze kuvumilia ukweli, na ukweli huwa unaaumiza hivyo tulia tu.