samurai
JF-Expert Member
- Oct 16, 2010
- 11,495
- 24,223
Sheria za nchi hazitoshi kushughulika nao?..
.Sasa sheria zina kazi gani kama mnatumia uhalifu kushughulika uhalifu?
Sheria na demokrasia ni mali ya waerevu na sio primitive society...Taifa letu bado liko kwenye Primitive stage...
Wapumbavu wapo kila mahala, na ukifuata sheria basi huwezi kutoa hukumu sahihi dhidi ya wapumbavu..
Ukishakuwa na file la mtu fulani na matendo yake mabaya kwa Taifa ni kutoa amri ashughulikiwe, tukiwamaliza hawa basi upumbavu utakuwa umeisha na waerevu watakaobaki watatungiwa sheria na kupewa demokrasia waifuate...Stage hii imepitiwa na mataifa yote tunayoyaita yameendelea..