erick13
Senior Member
- Aug 20, 2009
- 163
- 59
Askofu Josephat Mwingira asema Raisi wa awamu ya tano atatoka nje ya madhehebu ya katoliki na uislam.
Pia askofu huyo mwenye makanisa kila pande ya nchi na wafuasi lukuki aliendelea kusema kwamba uongozi wa Raisi huyo utakuwa na nguvu sana na atabadilisha mambo mengi kwa kipindi kifupi sana (Maono kutoka mbinguni)
Akiri za kuambiwa changanya na za kwako ..Lengo ni mabadiliko.
jisikilizie mwenyewe Audio hii nime attach hapo wanajamvi
Pia askofu huyo mwenye makanisa kila pande ya nchi na wafuasi lukuki aliendelea kusema kwamba uongozi wa Raisi huyo utakuwa na nguvu sana na atabadilisha mambo mengi kwa kipindi kifupi sana (Maono kutoka mbinguni)
Akiri za kuambiwa changanya na za kwako ..Lengo ni mabadiliko.
jisikilizie mwenyewe Audio hii nime attach hapo wanajamvi