Askofu Niwe Mugizi jimbo Katoliki Rulenge Ngara Kagera, kuongoza kampeni ya kupinga katiba mpya

Askofu Niwe Mugizi jimbo Katoliki Rulenge Ngara Kagera, kuongoza kampeni ya kupinga katiba mpya

Baba askofu Niwemugizi,naweka tofauti zangu zote na wakatoliki kando,nakuunga mkono kuhusu hilo,na wakristo wengi tukiwa sehemu ya watz wanayoitakia mema nchi yetu,tutapiga kura ya Hapana.Tutaungana kama watz,wote wakristo,waislam,wapagani,kupinga upuuzi huu wa watu wanaokula na kushiba na kuvimbewa hadi akili zinawapotea!

Siwalaumu lakini!Ukishiba kupita kiasi,tumbo likawa kubwa,huuoni utupu wako pale chini,na akili zako hivyo hivyo,hazioni utupu wake!No wonder jamaa wanafanya sherehe Dodoma kwa kituko kama hiki cha maandiko ya Sita(sisemi katiba maana haina heshima ya kuitwa hivyo).

Wewe kuku utaendelea kuvaa viatu sana, ulishafanywa kuwa msukule.
 
Mkuu,,,naww unakuwa km mgeni humu jukwaani unaletaje habari isiyokamilika?

Katika maneno haya hapa chini ni nini ambacho haujakielewa?

''Askofu Niwemgizi wa jimbo Katoriki jimbo kuu Rulenge amesema ataongoza kampeni ya kura ya hapana kupinga katiba mpya''
 
LOWASSA noma, ziara moja Maaskofu wamebadilika, na iwe hivyo ili watanzania wajionee wazi athari za siasa za LOWASSA katika nchi hii.
 
Haitoshi tu kusema kuwa nina mawazo ya kipumbavu ilhali umeshindwa kuyaainisha. Viongozi wa kidini wanapaswa kuhubiri amani, upendo na mshikamano na si kuhamasisha vurugu, utengano na mfarakano

Kwani yy amesema atahamasisha vurugu?kabla ya tamko lake wananchi walio wengi wanapinga hii katiba ya ccm kwa kuwa maoni yao yalitupiliwa mbali.Dawa yenu maccm inakuja kwa kasi sna,mmeshikwa pabaya kwa ss.

Ukawa+Warioba+Wazanzibar+Wakatoliki+Haki za binadamu e.t.c=NO KATIBA MPYA!
 
Sioni kitufe cha Like Mkuu, Pokea Like x1,000... Na Wakatoliki tukisimama bega kwa bega na Waislamu ndipo serikali itakapojua waamuzi ni wananchi wala sio kina Makonda.


Tena sio wakatoliki + waislamu pekee, ni muhimu kujua kuwa wananchi wote bila kujali dini zetu hatuna furaha na katiba isiyo ya maridhiano. Tukp pamoja na Askofu na kila raia mwenye kulipenda taifa
 
Mungu hawezi kukubali hili analolisema Askofu, huku ni kuhatarisha amani na upendo, mambo ambayo Kanisa Katoliki linatuelekeza kuyaishi.

ww huwezi kuwa mkatoliki,tulia kabisa!
 
Huyo askofu atakuwa alishiriki kuandika ule waraka uliosmwa Bungeni. Waumini tutawapuuza viongozi wa dini kama hao.

... Jisemee Wewe Mwenyewe, Mimi Mbona Ni Muumini Wao Lakini Nawaunga Mkono? Hiyo Ni Katiba Yenu Ccm
 
Nimejipa shughuli ya kuwajua East African Eagle na Chabruma. Nitawajua tu wao binafsi au kundi linalotumia ids zao. Wapo wenzao MSALANI faizaFox ambao michango yao yanaelimisha kiasi kuliko matusi ya hawa tai.

Aisee kwa kweli Chabruma, FaizaFox, Msalani na akina Simiyu yetu bla kuwasahau akina HotLady wana michango yenye kujenga sana humu. Wengine humu wamekaa tu wanasuburi mada zenye nia mbaya na amani ya nchi yetu ndiyo utawona wanavyotoa mapovu. Hi kuna sababu yoyote ya kushabikia hii mada inayohusiana na askofu KIBWETERE?
 
nami nitamsaidia ili tukamilishe kazi yetu
 
ww huwezi kuwa mkatoliki,tulia kabisa!

mkuu,mimi mkatoliki safi, nimebatizwa katika Parokia ya Mtakatifu Augustino UKonga naishi Ukonga na ni muumini safi wa jumuya ya mt. CECILIA hapo hapo Ukonga. Nawaheshimu sana viongozi wangu,lakini siwezi kamwe kuungana na viongozi wangu wa dini wenye mwelekeo wa kuhatarisha aman ya nchi. Kama muumni napaswa kuyaishi mapenzi mema(yakiwemo amani na upendo) yanayofundiswa na vitabu vitakatifu vya mungu na siyo vinginevyo.
 
Kinachokera ni kuona viongozi hao wa kiroho wakitoa matamko baada ya kushinikizwa na mtu anayeutamani urais kwa udi na uvumba

Ndugu yangu Chabruma hivi ukilala humuotagi huyo CCM mwenzio? Inaonekana kamfunika sana huyo unaemSupport EL atashinikizaje matamko kwa maaskofu ikiwa Bungeni alipiga KURA ya ndio,,,!
 
Last edited by a moderator:
On top, Kanisa linamjenga binadamu kimwili na kiroho huwezi kuhudumia roho ya mtu anayekandamizwa effectively. Ndio maana wanajenga shule hospital n.k...Mbona wakifanya hayo hamsemi wameingilia siasa? Shame upon you nendeni vijijini mkaendelee kuwadanganya wabibi wauza tumbaku na ugoro.

Umeonge #point makofi mengi kwako Mkirua
 
Last edited by a moderator:
Nipo nawe Baba Askofu. Nitatii neon lako na nitawapelekea ujumbe watu wote wenye nia njema
 
Wewe kuku utaendelea kuvaa viatu sana, ulishafanywa kuwa msukule.

Bora mie kuku nimevaa viatu huku nawika kama kawaida,hata nikiwa msukule,at least nina tumaini la kuwa timamu nikipata dawa,kuliko wewe kahaba wa mafisadi,wamekubaka kimwili na kiakili hadi umekufa,na hapo kwenye avatar yako umebebwa kwenye jeneza,unaenda kuzikwa,huna tumaini hata la kubakwa tena,ukahaba wako umefika mwisho,wewe na wazinzi wenzio wa kisiasa,mwisho wenu umefika,mabadiliko yataletwa na walio hai,be it kuku,misukule n.k but umeshawahi kuona wapi maiti akawa na athari yoyote kwenye jamii,zaidi ya kuwa takataka tu?!

Ewe takataka,ulale panapokustahili!
 
Back
Top Bottom