Ni ombi au agizo?
Ni wazo la mtu yeyote mwenye busara hasa kwa binadamu aliyekamilika.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni ombi au agizo?
Wewe hutaki kama nani?
Anayefananisha siasa na Mpira wa miguu hajielewi. Siasa ni maishaSiasa ni sawa na game la mpira ukishika ndani ya 18 hiyo ni penalty
Hahaha haya bhana kama unajua ni maisha kwa nini uweke mtu ambae hajui hata kujaza form?Anayefananisha siasa na Mpira wa miguu hajielewi. Siasa ni maisha
Haahaa kwani uchaguzi ni mtihani? Hii tume imeshindwa kazi, huwezi wapitishia wananchi viongozi wao kwa kigezo cha kujaza fomu vizuri.Hata Benki watu na elimu zao hukosea kujaza fomu za kutolea pesa na wasaidizi was Benki huwaelekeza.Hahaha haya bhana kama unajua ni maisha kwa nini uweke mtu ambae hajui hata kujaza form?
Sasa huyi ataweza kusaidia maisha yako?
Haaahaa, vipi askofu gwajima? Maana juzi kajaribu kuhonga mashekh kawe ili wampigie kura baada ya kuhaidi kugeuza misikiti kuwa Sunday schoolVipi kamanda Askofu Shoo na kamanda Mwamakula, wamesemaje hao maaskofu makamanda 😂?
Unatuaminisha kuwa watetea Haki wote ni CDM?CCM huwa inatetea uovu na waovu ambao wamepachikwa mjina la wasojulikana.Vipi kamanda Askofu Shoo na kamanda Mwamakula, wamesemaje hao maaskofu makamanda 😂?
Waacheni wananchi wawachuje hao wasiokuwa na umakini wa kughushi tunaoaminishwa na Tume na Watu wake.Wapiga kura wanafahamu wasiofaa kuwa viongozi.Kwamba kamanda Askofu anataka kuwapangia NEC, kama mtu hana umakini kwenye kujaza tu fomu hawezi pia kuwa na umakini kwenye mambo muhimu mengine ya uongozi.
Wakukujibu hayupo,Polepole yupo busy na kampeni za Baba yao,hawa waliotumwa na Bashiru ni wepesi kwenye kujibu maswali kama hayo.Natanguliza shukrani zangu za dhati kwetu ninyi nyote mnaosoma uzi huu ama kijiswali hicho kidogo. Asalaam alaykm!
Nataka niulize kajiswali kadogo. Je, kazi za wasimamizi wa uchaguzi ni kuwaengua wagombea kwa mitego midogo midogo au kuwasaidia ili wapate sifa za kugombea?
Ni kwanini wasimamizi wa uchaguzi anapoona mgombea amekosea kujaza form au kuna kitu amekisahau asichukue nafasi yake kama kiongozi kumwelekeza ajaze vizuri? Anashindwa nini kumpigia simu kamaameondoka arudi ili aijaze vizuri?
Kwanini refa ndio anakua adui wa mchezaji badala ya kumwelekeza kufuata utaratibu?
Kwanini refa ndio anamtegeshea penati mchezaji?
Nia ni kuwaengua au kupata wagombea watakaoshindana ili mshindi apatikane kwa njia halali?
Ni sahihi kuwachagulia wananchi mgombea badala ya wao?
Mkuu unaamini kweli ktk hili?Kwamba kamanda Askofu anataka kuwapangia NEC, kama mtu hana umakini kwenye kujaza tu fomu hawezi pia kuwa na umakini kwenye mambo muhimu mengine ya uongozi.
Ndo maana wahamiaji wote halali na haramu hugombea kupitia CCMTunaye kiongozi Asiye penda Haki demokrasia wala ubinadam.
Hapa ndipo tatizo linapoanzia.
Yaani akitokea mtu akasema kweli bac Ni kosa nchi hii bhanaKwamba kamanda Askofu anataka kuwapangia NEC, kama mtu hana umakini kwenye kujaza tu fomu hawezi pia kuwa na umakini kwenye mambo muhimu mengine ya uongozi.
ASKOFU NIWEMUGIZI ATAKA WALIOENGULIWA WARUDISHWE WOTE, UCHAGUZI UWE WA HAKI
Mimi naamini kwamba amani msingi wake ni haki. Pale ambapo kuna haki, amani itatawala." Askofu Niwemugizi aiomba Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC kutenda haki kwenye mchakato mzima wa kupata viongozi wa nchi oktoba 28,2020.
Wale wanaoenguliwa waenguliwe kwa misingi sahihi, sio kwa sababu za ovyoovyo. Lakini, kwa bahati mbaya picha tunayoiona upande fulani umeathirika sana na hii engua engua, wakati upande mwingine hamna.Hii inaweza kuleta doa katika mchakato mzima wa uchaguzi huu.
Upande flani unaonekana hakuna walioenguliwa, wameenguliwa wa upande mmoja. Tulitarajia mchakato uonekane ni wa haki kabisa tangu wakati wa w
Atuoeatu kutafuta kuteuliwa, ionekane kweli watu wameteuliwa kwa haki, na wale wanaoengeuliwa waenguliwe kwa misingi inayokubalika
Ni vizuri wadau wote wahusika wa mchakato wa uchaguzi, kila mmoja afanye wajibu wake, sasa ni bahati mbaya kidogo kwamba tunaongea wakati matayarisho ya awali ya uchaguzi yamekamilika.
ASKOFU NIWEMUGIZI ATAKA WALIOENGULIWA WARUDISHWE WOTE, UCHAGUZI UWE WA HAKI
Mimi naamini kwamba amani msingi wake ni haki. Pale ambapo kuna haki, amani itatawala." Askofu Niwemugizi aiomba Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC kutenda haki kwenye mchakato mzima wa kupata viongozi wa nchi oktoba 28,2020.
Wale wanaoenguliwa waenguliwe kwa misingi sahihi, sio kwa sababu za ovyoovyo. Lakini, kwa bahati mbaya picha tunayoiona upande fulani umeathirika sana na hii engua engua, wakati upande mwingine hamna.Hii inaweza kuleta doa katika mchakato mzima wa uchaguzi huu.
Upande flani unaonekana hakuna walioenguliwa, wameenguliwa wa upande mmoja. Tulitarajia mchakato uonekane ni wa haki kabisa tangu wakati wa watu kutafuta kuteuliwa, ionekane kweli watu wameteuliwa kwa haki, na wale wanaoengeuliwa waenguliwe kwa misingi inayokubalika
Ni vizuri wadau wote wahusika wa mchakato wa uchaguzi, kila mmoja afanye wajibu wake, sasa ni bahati mbaya kidogo kwamba tunaongea wakati matayarisho ya awali ya uchaguzi yamekamilika.