Uchaguzi 2020 Askofu Niwemugizi ataka walioenguliwa wote warejeshwe kwenye kinyang’anyiro, Uchaguzi uwe wa Haki

Ukweli ndio huo sasa watahaha kutafuta uraia wake
 
Anayefananisha siasa na Mpira wa miguu hajielewi. Siasa ni maisha
Hahaha haya bhana kama unajua ni maisha kwa nini uweke mtu ambae hajui hata kujaza form?
Sasa huyi ataweza kusaidia maisha yako?
 
Hahaha haya bhana kama unajua ni maisha kwa nini uweke mtu ambae hajui hata kujaza form?
Sasa huyi ataweza kusaidia maisha yako?
Haahaa kwani uchaguzi ni mtihani? Hii tume imeshindwa kazi, huwezi wapitishia wananchi viongozi wao kwa kigezo cha kujaza fomu vizuri.Hata Benki watu na elimu zao hukosea kujaza fomu za kutolea pesa na wasaidizi was Benki huwaelekeza.
 
Vipi kamanda Askofu Shoo na kamanda Mwamakula, wamesemaje hao maaskofu makamanda 😂?
Haaahaa, vipi askofu gwajima? Maana juzi kajaribu kuhonga mashekh kawe ili wampigie kura baada ya kuhaidi kugeuza misikiti kuwa Sunday school
 
Vipi kamanda Askofu Shoo na kamanda Mwamakula, wamesemaje hao maaskofu makamanda 😂?
Unatuaminisha kuwa watetea Haki wote ni CDM?CCM huwa inatetea uovu na waovu ambao wamepachikwa mjina la wasojulikana.
 
Kwamba kamanda Askofu anataka kuwapangia NEC, kama mtu hana umakini kwenye kujaza tu fomu hawezi pia kuwa na umakini kwenye mambo muhimu mengine ya uongozi.
Waacheni wananchi wawachuje hao wasiokuwa na umakini wa kughushi tunaoaminishwa na Tume na Watu wake.Wapiga kura wanafahamu wasiofaa kuwa viongozi.
 
Wakukujibu hayupo,Polepole yupo busy na kampeni za Baba yao,hawa waliotumwa na Bashiru ni wepesi kwenye kujibu maswali kama hayo.
 
Kwamba kamanda Askofu anataka kuwapangia NEC, kama mtu hana umakini kwenye kujaza tu fomu hawezi pia kuwa na umakini kwenye mambo muhimu mengine ya uongozi.
Mkuu unaamini kweli ktk hili?
Yaani Mh Msukuma (MB) na std 7 ajaze fomu kwa usahihi kuliko Mh Devotha Minja (MB) a University graduate !!

CCM wakati fulani iache Upimbi yaani ndo chama pekee chenye wabunge zaidi ya 6 std 7 halafu eti wako sahihi zaidi kuliko wagombea wa Upinzani wenye elimu zaidi yao tena Kwa mbali zaidi !!

Huyu Mnyampara wa Barabara aache ku-panic ajue limemfika !!
 
Kwamba kamanda Askofu anataka kuwapangia NEC, kama mtu hana umakini kwenye kujaza tu fomu hawezi pia kuwa na umakini kwenye mambo muhimu mengine ya uongozi.
Yaani akitokea mtu akasema kweli bac Ni kosa nchi hii bhana
 
Atupe mrejesho wa Corona kwanza. Tanzania nzima halikuwa na lockdown. Ila yeye alikataza watu wasiende kusali. Askofu ana ajenda gani sijui!
 
Anaamini Roma inatawala dunia hadi leo
"Askofu Ataka..."
Heil JPM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…