Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani huyo mama Hadi akawa mwenyekiti was bungee la Katiba wananchi walikua hawaelewi katiba ni nini!!?Maneno ya Mwenyekiti CCM Taifa kuwa Watanzania wanapaswa kuelimishwa kuhusu Katiba ili ndo mchakato uanze ni kauli inayofanania na ile ya wakoloni walitaka uhuru ucheleweshwe kwa sababu Watanganyika walikuwa hawana uelewa wa masuala ya kujitawala.
View attachment 2876154
Ni ulevi wa madaraka na uditekta dhidi ya Tanzania na Watanzania ndiyo unampa jeuri anayewaza hivyo kutamka hadharani.
Tazama video uelimike zaidi
Aisee..Huyu Askofu ni wa wapi? Ujasiri wake si wa "nchi" hii!
Tafadhali mwenye wasifu wake auweke humu.
View attachment 2877356
Tuombe hata akiendewa usiku wa manane na Maajenti wa CCM kumtishia kumuua asiogope aendelee na Ujasiri huu huu.Huyu Askofu ni wa wapi? Ujasiri wake si wa "nchi" hii!
Tafadhali mwenye wasifu wake auweke humu.
View attachment 2877356
MREMBO MAMBOProfesa wa wapi huyu, hovyo kabisa
Jamaa kadondokewa na kopo la unga tayari kajiita propesaMREMBO MAMBO