Askofu Renatus Nkwande asikitishwa na uongo wa Polisi kuhusu wana CHADEMA waliokamatwa ndani ya Kanisa

Askofu Renatus Nkwande asikitishwa na uongo wa Polisi kuhusu wana CHADEMA waliokamatwa ndani ya Kanisa

Mipolisi ya Tanzania ni mipumbafu sana!

Kama waliambiwa kuna vurugu je walipofika walizikuta vurugu zimekwisha au bado? Mipolisi ya nchi hii ni mipumbafu sana. Haina akili. Inakwenda kama misukule.

Mtu anaweza kwenda polisi kushitaki ametukanwa na mtu kisha yenyewe yakakurupuka kwenda kumkamata bila hata kuuliza ni tusi aina gani alilotukanwa mlalamikaji.

Upumbafu!
 
Bavicha mnachekesha sana. Askofu aende kudhamini🤣🤣🤣🤣😁😁😁🤣
 
Nilidhani kanisa katoliki Lina miongozo ya mavazi na askofu anatakiwa kuisimamia hiyo miongozo

kazi sana
 
Nkwande ana hekima sana, kwa kifupi heading ilipaswa iwe ASKOFU NKWANDE ASIKITISHWA NA UONGO WA SIRRO[ndio kawatuma hao polisi] KUMSINGIZIA ROHO MTAKATIFU na KUMSINGIZIA PADRE , eti misa ikiendelea padre alipiga simu polisi kuwa CHADEMA wanafanya fujo. patheti!
 
Maaskofu wetu ujinga kama huu mlipaswa kuukemea! Hili si tukio la kawaida, kesho mtakuja kukamatwa nyie madhabahuni! Waamini wanaona na sio wajinga.
Hii sio hali ya kusemwa na Askofu mmoja au wawili. Ni kutoa waraka comprehensive kwa serikali
 
Ni aibu na fedheha.Hata ukiwa mjinga wa darasani haimaanishi unakosa ama kupungukiwa na busara.
Ni aibu na fedheha.Hata ukiwa mjinga wa darasani haimaanishi unakosa ama kupungukiwa na busara.h
Ni hatari sana kuchanganya dini na siasa. UFA mmoja ambao Mwalimu alionya mwaka 1995 ni UDINI. Tusilete mchezo na Bomu la udini. Polisi wako SAHIHI.
 
Taifa liko salama mkuu,achana na maneno ya makamamanda wa mitandaoni
Ndio maana hata box la kura tunashindwa kulitumia ipasavyo, na tumeikituamulia wakutuongoza tunakaa kimya tuu kazi yetu kubwa nikushangila vya nnje ya nchi.
 
Red alarm imewaka sasa... Nachukua note namna udhalimu unavokaribia hatima!
 
Amani ya nchi inawekwa rehani pasipo sababu zozote,hizi chuki zinazopandikizwa na utawala kupitia jeshi la Polisi zinasadikisha kuamini ufa mkuu katika taifa.
Inapandikiza chuki za kiimani ajabu hakuna kiongozi wa juu anatolea ufafanuzi Wala tamko,je kwa nini kuendelea kawaamini viongozi wanaotuelekeza shimoni?
 
Mpaka sasa hivi tunaendelea kushughulikia sakata la kukamatwa kwa viongozi na wanachama wa CHADEMA walipokuwa kwenye misa jana Kawekamo, Mwanza. Waliopo mahabusu ni katibu wa kanda ya Victoria, Mwenyekiti wa Ilemela, katibu wa Nyamagana na wanachama wengine jumla yao ni 20.

OCD asubuhi ya leo, alitueleza wanatuhumiwa kwa kufanya vurugu kanisani na kwamba alipigiwa simu na viongozi wa kanisa. Ilibidi tukauone uongozi wa kanisa Katoliki jimbo la Mwanza, tumeonana na msaidizi wa baba Askofu na akatuwezesha kuongea na askofu Mkuu Renatus Nkwande.

Askofu mkuu jimbo katoliki Mwanza, Renatus Nkwande amesikitishwa sana na uongo wa jeshi la polisi na kuthibitisha kwamba hakukuwa na vurugu yoyote kwenye misa hiyo. Na alipokea matoleo ya wanachama hao wa Chadema na kusali pamoja nao. Akawakaribisha wale chakula pamoja nae.

Wakati wanakwenda kunawa polisi wakavamia eneo hilo na kuanza kukamata kila aliyekuwa na sare za Chadema. Awali asubuhi, walikwishakamata wanachama watano akiwemo mama yake mzazi na John Pambalu ambaye naye alikuwa anaigia kanisani hapo kwa ajili ya ibada hiyo.

Baba askofu Renatus Nkwande kamuelekeza msaidizi wake tukaenda naye hadi Kirumba na ameongea na OCD, sasa OCD akageuza kwa si kanisa lilimpigia simu bali ni waumini wawili mmojawapo anaitwa Gerald Joseph na kusema kanisani kuna wana CHADEMA wanaleta vurugu, hivyo wanataka msaada.

Msaidizi wa Askofu Renatus Nkwande, kawasiliana na (OCD) sasa Askofu mkuu jimbo katoliki Mwanza, Nkwande amemtuma katibu wake, Padre Nyanda na tunaendelea kumsubiri hapa Kirumba.

Tumemueleza Baba Askofu masuala kadhaa, lakini pia jinsi ambavyo tunaona inapendeza watu kutendewa

1. Jeshi la polisi liwaachie wote bila masharti yoyote (kwa kuwa hakuna kosa kisheria ambalo wamevunja)

2. Au ikiwezekana, baba Askofu, jimbo katoliki Mwanza, Renatus Nkwande, akawadhamini waumini wake.

Tutaendelea kuwajulisha kila hatua. Ahsante.
CCM kwa makusudi kabisa wanataka kuanzisha vita nchi hii. Sijui wanadhani wao ndiyo watasalimika vita hii ikianza!
 
Police wa Tanzania pimeni mnayoagizwa kuyafanya na CCM kabla ya kuyatekeleza..simameni kwenye msingi wenu. Dunia inawashangaa kwa aibu hii.
 
Ni hatari sana kuchanganya dini na siasa. UFA mmoja ambao Mwalimu alionya mwaka 1995 ni UDINI. Tusilete mchezo na Bomu la udini. Polisi wako SAHIHI.
Kuna udini gani hapo umechanganywa na siasa.au mtu akishakua mwanasiasa haruhusiwi kuingia nyumba ya ibada.au mtu akivaa nguo tu basi ndo kuchanganya kwenyewe.tusifikie wakati wakujitoa ufahamu kiasi hicho.kuna awamu imepita rais alikua anaenda hadi kanisani na wafuasi wake na vyombo vya habari na anapata hadi wasaa anaongea mimbarani mambo yakisiasa lakini hakuna aliyeongea na lilipita.kinachofanyika sasa hivi ni watu kutaka kutumia vyeo vyao kuharibu huu utulivu tulionao Na huku nikufilisika kifikra.
 
Mpaka sasa hivi tunaendelea kushughulikia sakata la kukamatwa kwa viongozi na wanachama wa CHADEMA walipokuwa kwenye misa jana Kawekamo, Mwanza. Waliopo mahabusu ni katibu wa kanda ya Victoria, Mwenyekiti wa Ilemela, katibu wa Nyamagana na wanachama wengine jumla yao ni 20.

OCD asubuhi ya leo, alitueleza wanatuhumiwa kwa kufanya vurugu kanisani na kwamba alipigiwa simu na viongozi wa kanisa. Ilibidi tukauone uongozi wa kanisa Katoliki jimbo la Mwanza, tumeonana na msaidizi wa baba Askofu na akatuwezesha kuongea na askofu Mkuu Renatus Nkwande.

Askofu mkuu jimbo katoliki Mwanza, Renatus Nkwande amesikitishwa sana na uongo wa jeshi la polisi na kuthibitisha kwamba hakukuwa na vurugu yoyote kwenye misa hiyo. Na alipokea matoleo ya wanachama hao wa Chadema na kusali pamoja nao. Akawakaribisha wale chakula pamoja nae.

Wakati wanakwenda kunawa polisi wakavamia eneo hilo na kuanza kukamata kila aliyekuwa na sare za Chadema. Awali asubuhi, walikwishakamata wanachama watano akiwemo mama yake mzazi na John Pambalu ambaye naye alikuwa anaigia kanisani hapo kwa ajili ya ibada hiyo.

Baba askofu Renatus Nkwande kamuelekeza msaidizi wake tukaenda naye hadi Kirumba na ameongea na OCD, sasa OCD akageuza kwa si kanisa lilimpigia simu bali ni waumini wawili mmojawapo anaitwa Gerald Joseph na kusema kanisani kuna wana CHADEMA wanaleta vurugu, hivyo wanataka msaada.

Msaidizi wa Askofu Renatus Nkwande, kawasiliana na (OCD) sasa Askofu mkuu jimbo katoliki Mwanza, Nkwande amemtuma katibu wake, Padre Nyanda na tunaendelea kumsubiri hapa Kirumba.

Tumemueleza Baba Askofu masuala kadhaa, lakini pia jinsi ambavyo tunaona inapendeza watu kutendewa

1. Jeshi la polisi liwaachie wote bila masharti yoyote (kwa kuwa hakuna kosa kisheria ambalo wamevunja)

2. Au ikiwezekana, baba Askofu, jimbo katoliki Mwanza, Renatus Nkwande, akawadhamini waumini wake.

Tutaendelea kuwajulisha kila hatua. Ahsante.
ujinga wa chadema ni kuwa wanataka kuleta siasa kila mahali sasa wewe unaendaje na sare za chadema kanisani? unamaanaisha nini? kaa ukijuwa kuwa kwa mfano kuna jezi za simba na yanga hayo mavazi yanatakiwa kuvaliwa maeneo husika uyaingiza sehemu isiyo husika unaleta mtafaruku kwa mpenzi ambaye hapendi timu unayoipenda wewe ndiyo maana kanisani hakuna uniform unaingia na nguo za nyumbani ukiona wamevaa uniform wanakwaya hao sasa wewe unaingia na sare ya chama unawauzi ambaoo siyo wanachama wa chadema na huo siy mkutano wa siasa ni kanisani POLISI PIGA SANA HAO HUKO KITUONI ILI WAIJE WAKARUDIA TENA NA IWE FUNZO KWA WENGINE
 
Police wa Tanzania pimeni mnayoagizwa kuyafanya na CCM kabla ya kuyatekeleza..simameni kwenye msingi wenu. Dunia inawashangaa kwa aibu hii.
HAKUNA AIBU yoyote wana chadema waache ujinga hapo siyo mkutanoni kwa chadema ni kanisani
 
Mpaka sasa hivi tunaendelea kushughulikia sakata la kukamatwa kwa viongozi na wanachama wa CHADEMA walipokuwa kwenye misa jana Kawekamo, Mwanza. Waliopo mahabusu ni katibu wa kanda ya Victoria, Mwenyekiti wa Ilemela, katibu wa Nyamagana na wanachama wengine jumla yao ni 20.

OCD asubuhi ya leo, alitueleza wanatuhumiwa kwa kufanya vurugu kanisani na kwamba alipigiwa simu na viongozi wa kanisa. Ilibidi tukauone uongozi wa kanisa Katoliki jimbo la Mwanza, tumeonana na msaidizi wa baba Askofu na akatuwezesha kuongea na askofu Mkuu Renatus Nkwande.

Askofu mkuu jimbo katoliki Mwanza, Renatus Nkwande amesikitishwa sana na uongo wa jeshi la polisi na kuthibitisha kwamba hakukuwa na vurugu yoyote kwenye misa hiyo. Na alipokea matoleo ya wanachama hao wa Chadema na kusali pamoja nao. Akawakaribisha wale chakula pamoja nae.

Wakati wanakwenda kunawa polisi wakavamia eneo hilo na kuanza kukamata kila aliyekuwa na sare za Chadema. Awali asubuhi, walikwishakamata wanachama watano akiwemo mama yake mzazi na John Pambalu ambaye naye alikuwa anaigia kanisani hapo kwa ajili ya ibada hiyo.

Baba askofu Renatus Nkwande kamuelekeza msaidizi wake tukaenda naye hadi Kirumba na ameongea na OCD, sasa OCD akageuza kwa si kanisa lilimpigia simu bali ni waumini wawili mmojawapo anaitwa Gerald Joseph na kusema kanisani kuna wana CHADEMA wanaleta vurugu, hivyo wanataka msaada.

Msaidizi wa Askofu Renatus Nkwande, kawasiliana na (OCD) sasa Askofu mkuu jimbo katoliki Mwanza, Nkwande amemtuma katibu wake, Padre Nyanda na tunaendelea kumsubiri hapa Kirumba.

Tumemueleza Baba Askofu masuala kadhaa, lakini pia jinsi ambavyo tunaona inapendeza watu kutendewa

1. Jeshi la polisi liwaachie wote bila masharti yoyote (kwa kuwa hakuna kosa kisheria ambalo wamevunja)

2. Au ikiwezekana, baba Askofu, jimbo katoliki Mwanza, Renatus Nkwande, akawadhamini waumini wake.

Tutaendelea kuwajulisha kila hatua. Ahsante.

Hivi wakristo huwa hawana Fwatwa?!
 
Back
Top Bottom