Askofu Renatus Nkwande asikitishwa na uongo wa Polisi kuhusu wana CHADEMA waliokamatwa ndani ya Kanisa

Askofu Renatus Nkwande asikitishwa na uongo wa Polisi kuhusu wana CHADEMA waliokamatwa ndani ya Kanisa

huyo ndio Sirro bana untouchable and unadvisable, nilishasema mwaka huu hapindui hamkuelewa, mtu na chanjo kapiga lakini kapaukaaaa wale mamalishe wasio hata na ndala miguuni wana afadhali, nchi inaingia pabaya sana na wanaoiingiza ni hawa policiciem aka wachumia uteuzi, tuna shida sana kwenye jeshi hili chini ya siro
 
Mpaka sasa hivi tunaendelea kushughulikia sakata la kukamatwa kwa viongozi na wanachama wa CHADEMA walipokuwa kwenye misa jana Kawekamo, Mwanza. Waliopo mahabusu ni katibu wa kanda ya Victoria, Mwenyekiti wa Ilemela, katibu wa Nyamagana na wanachama wengine jumla yao ni 20.

OCD asubuhi ya leo, alitueleza wanatuhumiwa kwa kufanya vurugu kanisani na kwamba alipigiwa simu na viongozi wa kanisa. Ilibidi tukauone uongozi wa kanisa Katoliki jimbo la Mwanza, tumeonana na msaidizi wa baba Askofu na akatuwezesha kuongea na askofu Mkuu Renatus Nkwande.

Askofu mkuu jimbo katoliki Mwanza, Renatus Nkwande amesikitishwa sana na uongo wa jeshi la polisi na kuthibitisha kwamba hakukuwa na vurugu yoyote kwenye misa hiyo. Na alipokea matoleo ya wanachama hao wa Chadema na kusali pamoja nao. Akawakaribisha wale chakula pamoja nae.

Wakati wanakwenda kunawa polisi wakavamia eneo hilo na kuanza kukamata kila aliyekuwa na sare za Chadema. Awali asubuhi, walikwishakamata wanachama watano akiwemo mama yake mzazi na John Pambalu ambaye naye alikuwa anaigia kanisani hapo kwa ajili ya ibada hiyo.

Baba askofu Renatus Nkwande kamuelekeza msaidizi wake tukaenda naye hadi Kirumba na ameongea na OCD, sasa OCD akageuza kwa si kanisa lilimpigia simu bali ni waumini wawili mmojawapo anaitwa Gerald Joseph na kusema kanisani kuna wana CHADEMA wanaleta vurugu, hivyo wanataka msaada.

Msaidizi wa Askofu Renatus Nkwande, kawasiliana na (OCD) sasa Askofu mkuu jimbo katoliki Mwanza, Nkwande amemtuma katibu wake, Padre Nyanda na tunaendelea kumsubiri hapa Kirumba.

Tumemueleza Baba Askofu masuala kadhaa, lakini pia jinsi ambavyo tunaona inapendeza watu kutendewa

1. Jeshi la polisi liwaachie wote bila masharti yoyote (kwa kuwa hakuna kosa kisheria ambalo wamevunja)

2. Au ikiwezekana, baba Askofu, jimbo katoliki Mwanza, Renatus Nkwande, akawadhamini waumini wake.

Tutaendelea kuwajulisha kila hatua. Ahsante.
Ipo siku haya yote yatakuwa historia. Uonevu na mateso vyote vyitalipwa
 
Ni fikra zangu kuwa hapa Tanzania shetani ameingia kwenye utawala!!! Hapa siyo suala la akili, busara au hekima. Ni ushetani kuingilia mambo ya msikitini, kanisani au mahali po pote pa ibada!
 
ujinga wa chadema ni kuwa wanataka kuleta siasa kila mahali sasa wewe unaendaje na sare za chadema kanisani? unamaanaisha nini? kaa ukijuwa kuwa kwa mfano kuna jezi za simba na yanga hayo mavazi yanatakiwa kuvaliwa maeneo husika uyaingiza sehemu isiyo husika unaleta mtafaruku kwa mpenzi ambaye hapendi timu unayoipenda wewe ndiyo maana kanisani hakuna uniform unaingia na nguo za nyumbani ukiona wamevaa uniform wanakwaya hao sasa wewe unaingia na sare ya chama unawauzi ambaoo siyo wanachama wa chadema na huo siy mkutano wa siasa ni kanisani POLISI PIGA SANA HAO HUKO KITUONI ILI WAIJE WAKARUDIA TENA NA IWE FUNZO KWA WENGINE
Sasa mburula wewe na wapumbavu wenzako mnayo mandate ya kuregulate kanisa katoliki? Moto ukiwashwa hapa utaingia shimoni ujifukie mbwa wewe!. Askofu mkuu amesema hakuna vurugu na tena alikuwa anakula pamoja nao! Subiri kidogo! labda wapotezee!
 
Mpaka sasa hivi tunaendelea kushughulikia sakata la kukamatwa kwa viongozi na wanachama wa CHADEMA walipokuwa kwenye misa jana Kawekamo, Mwanza. Waliopo mahabusu ni katibu wa kanda ya Victoria, Mwenyekiti wa Ilemela, katibu wa Nyamagana na wanachama wengine jumla yao ni 20.

OCD asubuhi ya leo, alitueleza wanatuhumiwa kwa kufanya vurugu kanisani na kwamba alipigiwa simu na viongozi wa kanisa. Ilibidi tukauone uongozi wa kanisa Katoliki jimbo la Mwanza, tumeonana na msaidizi wa baba Askofu na akatuwezesha kuongea na askofu Mkuu Renatus Nkwande.

Askofu mkuu jimbo katoliki Mwanza, Renatus Nkwande amesikitishwa sana na uongo wa jeshi la polisi na kuthibitisha kwamba hakukuwa na vurugu yoyote kwenye misa hiyo. Na alipokea matoleo ya wanachama hao wa Chadema na kusali pamoja nao. Akawakaribisha wale chakula pamoja nae.

Wakati wanakwenda kunawa polisi wakavamia eneo hilo na kuanza kukamata kila aliyekuwa na sare za Chadema. Awali asubuhi, walikwishakamata wanachama watano akiwemo mama yake mzazi na John Pambalu ambaye naye alikuwa anaigia kanisani hapo kwa ajili ya ibada hiyo.

Baba askofu Renatus Nkwande kamuelekeza msaidizi wake tukaenda naye hadi Kirumba na ameongea na OCD, sasa OCD akageuza kwa si kanisa lilimpigia simu bali ni waumini wawili mmojawapo anaitwa Gerald Joseph na kusema kanisani kuna wana CHADEMA wanaleta vurugu, hivyo wanataka msaada.

Msaidizi wa Askofu Renatus Nkwande, kawasiliana na (OCD) sasa Askofu mkuu jimbo katoliki Mwanza, Nkwande amemtuma katibu wake, Padre Nyanda na tunaendelea kumsubiri hapa Kirumba.

Tumemueleza Baba Askofu masuala kadhaa, lakini pia jinsi ambavyo tunaona inapendeza watu kutendewa

1. Jeshi la polisi liwaachie wote bila masharti yoyote (kwa kuwa hakuna kosa kisheria ambalo wamevunja)

2. Au ikiwezekana, baba Askofu, jimbo katoliki Mwanza, Renatus Nkwande, akawadhamini waumini wake.

Tutaendelea kuwajulisha kila hatua. Ahsante.
Siku Askofu atakayoenda kuwadhamini ndio siku URAIA wake utaanza kudadavuliwa na wa Uhamiaji.
 
Mimi ni Mkatoliki ila nawaomba sana Kanisa Katoliki nchini Tanzania wasiingizwe katika Mtego huu wa Mzozo wa Kisiasa baina ya CHADEMA na Mamlaka zote zilizo chini ya Serikali ya Chama Tawala cha CCM. Kuna Hatari naanza Kuiona.
Ww ni mkatoliki mnafiki tu watu wakienda kanisani kumuomba Mungu ni kosa ama huo ukatoliki wako uko wapi unao penda watu kuonewa hata wanapo mkimbuka mwenyezi Mungu.
 
Mpaka sasa hivi tunaendelea kushughulikia sakata la kukamatwa kwa viongozi na wanachama wa CHADEMA walipokuwa kwenye misa jana Kawekamo, Mwanza. Waliopo mahabusu ni katibu wa kanda ya Victoria, Mwenyekiti wa Ilemela, katibu wa Nyamagana na wanachama wengine jumla yao ni 20.

OCD asubuhi ya leo, alitueleza wanatuhumiwa kwa kufanya vurugu kanisani na kwamba alipigiwa simu na viongozi wa kanisa. Ilibidi tukauone uongozi wa kanisa Katoliki jimbo la Mwanza, tumeonana na msaidizi wa baba Askofu na akatuwezesha kuongea na askofu Mkuu Renatus Nkwande.

Askofu mkuu jimbo katoliki Mwanza, Renatus Nkwande amesikitishwa sana na uongo wa jeshi la polisi na kuthibitisha kwamba hakukuwa na vurugu yoyote kwenye misa hiyo. Na alipokea matoleo ya wanachama hao wa Chadema na kusali pamoja nao. Akawakaribisha wale chakula pamoja nae.

Wakati wanakwenda kunawa polisi wakavamia eneo hilo na kuanza kukamata kila aliyekuwa na sare za Chadema. Awali asubuhi, walikwishakamata wanachama watano akiwemo mama yake mzazi na John Pambalu ambaye naye alikuwa anaigia kanisani hapo kwa ajili ya ibada hiyo.

Baba askofu Renatus Nkwande kamuelekeza msaidizi wake tukaenda naye hadi Kirumba na ameongea na OCD, sasa OCD akageuza kwa si kanisa lilimpigia simu bali ni waumini wawili mmojawapo anaitwa Gerald Joseph na kusema kanisani kuna wana CHADEMA wanaleta vurugu, hivyo wanataka msaada.

Msaidizi wa Askofu Renatus Nkwande, kawasiliana na (OCD) sasa Askofu mkuu jimbo katoliki Mwanza, Nkwande amemtuma katibu wake, Padre Nyanda na tunaendelea kumsubiri hapa Kirumba.

Tumemueleza Baba Askofu masuala kadhaa, lakini pia jinsi ambavyo tunaona inapendeza watu kutendewa

1. Jeshi la polisi liwaachie wote bila masharti yoyote (kwa kuwa hakuna kosa kisheria ambalo wamevunja)

2. Au ikiwezekana, baba Askofu, jimbo katoliki Mwanza, Renatus Nkwande, akawadhamini waumini wake.

Tutaendelea kuwajulisha kila hatua. Ahsante.
Haya yamesemwa na CHADEMA na siyo askofu mkuu wa MZ. CHADEMA siyo msemaji wa askofu mkuu wa MZ
 
Sifa kuu ya kuajiriwa kuwa polisi ni kuwa na mbio na urefu .halafu uwe ulipata O au kuiba vyeti vya shule
 
Rais SAMIA ni mtu safi aliyezungukwa na mashetani yaliyokuwa kwenye utawala wa Magufuli.
 
Sijapendezwa kukamatwa kwao, pia sijapendezwa na kitendo cha waumini kwenda kanisani wakiwa wamevalia sare za chama. Kanisa halipaswi kuruhusu hili kwa kuwa kila muumini akiamua kuvaa sare za chama chake kanisani sijui kama itapendeza.
 
Mpaka sasa hivi tunaendelea kushughulikia sakata la kukamatwa kwa viongozi na wanachama wa CHADEMA walipokuwa kwenye misa jana Kawekamo, Mwanza. Waliopo mahabusu ni katibu wa kanda ya Victoria, Mwenyekiti wa Ilemela, katibu wa Nyamagana na wanachama wengine jumla yao ni 20.

OCD asubuhi ya leo, alitueleza wanatuhumiwa kwa kufanya vurugu kanisani na kwamba alipigiwa simu na viongozi wa kanisa. Ilibidi tukauone uongozi wa kanisa Katoliki jimbo la Mwanza, tumeonana na msaidizi wa baba Askofu na akatuwezesha kuongea na askofu Mkuu Renatus Nkwande.

Askofu mkuu jimbo katoliki Mwanza, Renatus Nkwande amesikitishwa sana na uongo wa jeshi la polisi na kuthibitisha kwamba hakukuwa na vurugu yoyote kwenye misa hiyo. Na alipokea matoleo ya wanachama hao wa Chadema na kusali pamoja nao. Akawakaribisha wale chakula pamoja nae.

Wakati wanakwenda kunawa polisi wakavamia eneo hilo na kuanza kukamata kila aliyekuwa na sare za Chadema. Awali asubuhi, walikwishakamata wanachama watano akiwemo mama yake mzazi na John Pambalu ambaye naye alikuwa anaigia kanisani hapo kwa ajili ya ibada hiyo.

Baba askofu Renatus Nkwande kamuelekeza msaidizi wake tukaenda naye hadi Kirumba na ameongea na OCD, sasa OCD akageuza kwa si kanisa lilimpigia simu bali ni waumini wawili mmojawapo anaitwa Gerald Joseph na kusema kanisani kuna wana CHADEMA wanaleta vurugu, hivyo wanataka msaada.

Msaidizi wa Askofu Renatus Nkwande, kawasiliana na (OCD) sasa Askofu mkuu jimbo katoliki Mwanza, Nkwande amemtuma katibu wake, Padre Nyanda na tunaendelea kumsubiri hapa Kirumba.

Tumemueleza Baba Askofu masuala kadhaa, lakini pia jinsi ambavyo tunaona inapendeza watu kutendewa

1. Jeshi la polisi liwaachie wote bila masharti yoyote (kwa kuwa hakuna kosa kisheria ambalo wamevunja)

2. Au ikiwezekana, baba Askofu, jimbo katoliki Mwanza, Renatus Nkwande, akawadhamini waumini wake.

Tutaendelea kuwajulisha kila hatua. Ahsante.
Poleni lakini habari haijaandikwa vizuri, heading tu ndio angalau inaeleweka
 
Mimi ni Mkatoliki ila nawaomba sana Kanisa Katoliki nchini Tanzania wasiingizwe katika Mtego huu wa Mzozo wa Kisiasa baina ya CHADEMA na Mamlaka zote zilizo chini ya Serikali ya Chama Tawala cha CCM. Kuna Hatari naanza Kuiona.
Unakumbuka yaliyotokea kwenu Rwanda
 
Aisee Nchi ilipofika ni pabaya sana kwa kweli baadae wataanza kusema tuliombee Taifa wakati huu ukatili wao ndio wanautengeneza.
Iko pazuri sana sana kwani kuna mapito lazima kuyapatia ili kufukia mabadiliko ya kweli na baadhi ya mapito ndio haya. Wananchi wanatakiwa kupitia na kuona mengi magumu ktk nyanja zote, kisiasa, kiuchumi, kijamii. Hapo watamfahamu adui yao, watapatwa hasira kila uchao, watajenga ujasiri wa kukemea, kukataa uovu huo...... Historia ipo wazi kabisa haya ni mapito ya Lazima na ukiona hivi haswa ktk vi-nchi vyenye wajinga na wanafiki wengi ujue kumekaribia kukukucha.
 
Mpaka sasa hivi tunaendelea kushughulikia sakata la kukamatwa kwa viongozi na wanachama wa CHADEMA walipokuwa kwenye misa jana Kawekamo, Mwanza. Waliopo mahabusu ni katibu wa kanda ya Victoria, Mwenyekiti wa Ilemela, katibu wa Nyamagana na wanachama wengine jumla yao ni 20.

OCD asubuhi ya leo, alitueleza wanatuhumiwa kwa kufanya vurugu kanisani na kwamba alipigiwa simu na viongozi wa kanisa. Ilibidi tukauone uongozi wa kanisa Katoliki jimbo la Mwanza, tumeonana na msaidizi wa baba Askofu na akatuwezesha kuongea na askofu Mkuu Renatus Nkwande.

Askofu mkuu jimbo katoliki Mwanza, Renatus Nkwande amesikitishwa sana na uongo wa jeshi la polisi na kuthibitisha kwamba hakukuwa na vurugu yoyote kwenye misa hiyo. Na alipokea matoleo ya wanachama hao wa Chadema na kusali pamoja nao. Akawakaribisha wale chakula pamoja nae.

Wakati wanakwenda kunawa polisi wakavamia eneo hilo na kuanza kukamata kila aliyekuwa na sare za Chadema. Awali asubuhi, walikwishakamata wanachama watano akiwemo mama yake mzazi na John Pambalu ambaye naye alikuwa anaigia kanisani hapo kwa ajili ya ibada hiyo.

Baba askofu Renatus Nkwande kamuelekeza msaidizi wake tukaenda naye hadi Kirumba na ameongea na OCD, sasa OCD akageuza kwa si kanisa lilimpigia simu bali ni waumini wawili mmojawapo anaitwa Gerald Joseph na kusema kanisani kuna wana CHADEMA wanaleta vurugu, hivyo wanataka msaada.

Msaidizi wa Askofu Renatus Nkwande, kawasiliana na (OCD) sasa Askofu mkuu jimbo katoliki Mwanza, Nkwande amemtuma katibu wake, Padre Nyanda na tunaendelea kumsubiri hapa Kirumba.

Tumemueleza Baba Askofu masuala kadhaa, lakini pia jinsi ambavyo tunaona inapendeza watu kutendewa

1. Jeshi la polisi liwaachie wote bila masharti yoyote (kwa kuwa hakuna kosa kisheria ambalo wamevunja)

2. Au ikiwezekana, baba Askofu, jimbo katoliki Mwanza, Renatus Nkwande, akawadhamini waumini wake.

Tutaendelea kuwajulisha kila hatua. Ahsante.
HIi siyo nchi tena
 
Iko pazuri sana sana kwani kuna mapito lazima kuyapatia ili kufukia mabadiliko ya kweli na baadhi ya mapito ndio haya. Wananchi wanatakiwa kupitia na kuona mengi magumu ktk nyanja zote, kisiasa, kiuchumi, kijamii. Hapo watamfahamu adui yao, watapatwa hasira kila uchao, watajenga ujasiri wa kukemea, kukataa uovu huo...... Historia ipo wazi kabisa haya ni mapito ya Lazima na ukiona hivi haswa ktk vi-nchi vyenye wajinga na wanafiki wengi ujue kumekaribia kukukucha.
Hivi kuwa CHADEMA ni uhaini?
 
Sijawahi kusikia mkristo ameingia kanisani hata na kanzu akaambiwa ameleta fujo. Ila wahudu wa misa wanahakikisha Kuna usalama. Kama kutakuwa na hali ambayo haieleweki wanataratibu zao zinafuatwa wakisaidiana na mkuu wa kanisa akiwa m/kiti, paroko, wasimamizi na waumini. Sio mmoja wa waumini anaita askari na askari wanakuja kukamata tuu. Nini maana ya uongozi wa mahali au taasisi.

Kutumia nguvu kubwa bila akili utaangukia pua.
Yaani kanisa linasema hakuna fujo muumini mmoja anasema kuna fujo? hatari sn
 
Back
Top Bottom