Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Kabisa aiseeNi aibu na fedheha.Hata ukiwa mjinga wa darasani haimaanishi unakosa ama kupungukiwa na busara.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa aiseeNi aibu na fedheha.Hata ukiwa mjinga wa darasani haimaanishi unakosa ama kupungukiwa na busara.
Nilishawahi kukupa Passport yangu na ukagundua kuwa Mimi ni Mnyarwanda? Swine...!!Unakumbuka yaliyotokea kwenu Rwanda
Acha kupanic wewe muhutuNilishawahi kukupa Passport yangu na ukagundua kuwa Mimi ni Mnyarwanda? Swine...!!
Mamaake Pambalu si akasali Parokia ya Butimba ambako ndo jirani na nyumbani kwakeMpaka sasa hivi tunaendelea kushughulikia sakata la kukamatwa kwa viongozi na wanachama wa CHADEMA walipokuwa kwenye misa jana Kawekamo, Mwanza. Waliopo mahabusu ni katibu wa kanda ya Victoria, Mwenyekiti wa Ilemela, katibu wa Nyamagana na wanachama wengine jumla yao ni 20.
OCD asubuhi ya leo, alitueleza wanatuhumiwa kwa kufanya vurugu kanisani na kwamba alipigiwa simu na viongozi wa kanisa. Ilibidi tukauone uongozi wa kanisa Katoliki jimbo la Mwanza, tumeonana na msaidizi wa baba Askofu na akatuwezesha kuongea na askofu Mkuu Renatus Nkwande.
Askofu mkuu jimbo katoliki Mwanza, Renatus Nkwande amesikitishwa sana na uongo wa jeshi la polisi na kuthibitisha kwamba hakukuwa na vurugu yoyote kwenye misa hiyo. Na alipokea matoleo ya wanachama hao wa Chadema na kusali pamoja nao. Akawakaribisha wale chakula pamoja nae.
Wakati wanakwenda kunawa polisi wakavamia eneo hilo na kuanza kukamata kila aliyekuwa na sare za Chadema. Awali asubuhi, walikwishakamata wanachama watano akiwemo mama yake mzazi na John Pambalu ambaye naye alikuwa anaigia kanisani hapo kwa ajili ya ibada hiyo.
Baba askofu Renatus Nkwande kamuelekeza msaidizi wake tukaenda naye hadi Kirumba na ameongea na OCD, sasa OCD akageuza kwa si kanisa lilimpigia simu bali ni waumini wawili mmojawapo anaitwa Gerald Joseph na kusema kanisani kuna wana CHADEMA wanaleta vurugu, hivyo wanataka msaada.
Msaidizi wa Askofu Renatus Nkwande, kawasiliana na (OCD) sasa Askofu mkuu jimbo katoliki Mwanza, Nkwande amemtuma katibu wake, Padre Nyanda na tunaendelea kumsubiri hapa Kirumba.
Tumemueleza Baba Askofu masuala kadhaa, lakini pia jinsi ambavyo tunaona inapendeza watu kutendewa
1. Jeshi la polisi liwaachie wote bila masharti yoyote (kwa kuwa hakuna kosa kisheria ambalo wamevunja)
2. Au ikiwezekana, baba Askofu, jimbo katoliki Mwanza, Renatus Nkwande, akawadhamini waumini wake.
Tutaendelea kuwajulisha kila hatua. Ahsante.
Mbuyu ulianza kama mchicha,Leo lipo salama kwa upeo wako mdogoTaifa liko salama mkuu,achana na maneno ya makamamanda wa mitandaoni
Hatari gani unayoiona?Mimi ni Mkatoliki ila nawaomba sana Kanisa Katoliki nchini Tanzania wasiingizwe katika Mtego huu wa Mzozo wa Kisiasa baina ya CHADEMA na Mamlaka zote zilizo chini ya Serikali ya Chama Tawala cha CCM. Kuna Hatari naanza Kuiona.
Wakulaumiwa ni Jeshi la Polisi. Askofu Mkuu atoe ushahidi wa uongo kisa asiwe upande wa CHADEMA?Mimi ni Mkatoliki ila nawaomba sana Kanisa Katoliki nchini Tanzania wasiingizwe katika Mtego huu wa Mzozo wa Kisiasa baina ya CHADEMA na Mamlaka zote zilizo chini ya Serikali ya Chama Tawala cha CCM. Kuna Hatari naanza Kuiona.
Hivi kwa akili yako kuvaa sare za chama ni kosa?Hao wanatafuta ugomvi na kutaka kulifitinisha kanisa na serikali, na wala hawasali kutoka rohoni na ni njia tuu mojawapo ya maandamano Kwa mgongo wa kanisa
IVI MAOMBI YAO KWANI HAYAWEZI KUPOKELEWA BILA SARE ZA CHAMA?
Kwa mtu mwenye akili, ataelewa kabisa kama ni kweli walienda kanisani na SARE basi hawakwenda Kwa ajiri ya kusali but to protestHivi kwa akili yako kuvaa sare za chama ni kosa?
Mbona ccm wanavaa safe zao za chama hadi kwenye misiba?
CHADEMA amekuwa adui wa Tanzania mahali popote anapoonekana na sare anasababisha vurugu ,hii ni ajabu,tuliwaambia kuwa serikali inakanyaga sheria tukaonekana vibaraka wa wazungu na mabeberu,leo wakitoka makanisani wataingia nyumba kwa nyumba kubaini wafuasi wa chadema na kuwashughulikia ipasavyo.Mpaka sasa hivi tunaendelea kushughulikia sakata la kukamatwa kwa viongozi na wanachama wa CHADEMA walipokuwa kwenye misa jana Kawekamo, Mwanza. Waliopo mahabusu ni katibu wa kanda ya Victoria, Mwenyekiti wa Ilemela, katibu wa Nyamagana na wanachama wengine jumla yao ni 20.
OCD asubuhi ya leo, alitueleza wanatuhumiwa kwa kufanya vurugu kanisani na kwamba alipigiwa simu na viongozi wa kanisa. Ilibidi tukauone uongozi wa kanisa Katoliki jimbo la Mwanza, tumeonana na msaidizi wa baba Askofu na akatuwezesha kuongea na askofu Mkuu Renatus Nkwande.
Askofu mkuu jimbo katoliki Mwanza, Renatus Nkwande amesikitishwa sana na uongo wa jeshi la polisi na kuthibitisha kwamba hakukuwa na vurugu yoyote kwenye misa hiyo. Na alipokea matoleo ya wanachama hao wa Chadema na kusali pamoja nao. Akawakaribisha wale chakula pamoja nae.
Wakati wanakwenda kunawa polisi wakavamia eneo hilo na kuanza kukamata kila aliyekuwa na sare za Chadema. Awali asubuhi, walikwishakamata wanachama watano akiwemo mama yake mzazi na John Pambalu ambaye naye alikuwa anaigia kanisani hapo kwa ajili ya ibada hiyo.
Baba askofu Renatus Nkwande kamuelekeza msaidizi wake tukaenda naye hadi Kirumba na ameongea na OCD, sasa OCD akageuza kwa si kanisa lilimpigia simu bali ni waumini wawili mmojawapo anaitwa Gerald Joseph na kusema kanisani kuna wana CHADEMA wanaleta vurugu, hivyo wanataka msaada.
Msaidizi wa Askofu Renatus Nkwande, kawasiliana na (OCD) sasa Askofu mkuu jimbo katoliki Mwanza, Nkwande amemtuma katibu wake, Padre Nyanda na tunaendelea kumsubiri hapa Kirumba.
Tumemueleza Baba Askofu masuala kadhaa, lakini pia jinsi ambavyo tunaona inapendeza watu kutendewa
1. Jeshi la polisi liwaachie wote bila masharti yoyote (kwa kuwa hakuna kosa kisheria ambalo wamevunja)
2. Au ikiwezekana, baba Askofu, jimbo katoliki Mwanza, Renatus Nkwande, akawadhamini waumini wake.
Tutaendelea kuwajulisha kila hatua. Ahsante.
Tozo ni madhara ya ukosefu wa chadema bungeniC
CHADEMA amekuwa adui wa Tanzania mahali popote anapoonekana na sare anasababisha vurugu ,hii ni ajabu,tuliwaambia kuwa serikali inakanyaga sheria tukaonekana vibaraka wa wazungu na mabeberu,leo wakitoka makanisani wataingia nyumba kwa nyumba kubaini wafuasi wa chadema na kuwashughulikia ipasavyo.
Sidhani kama umesoma sakata lenyewe badala yake umeanza kukurupuka kama uharo kama ilivyo adha yako.Kwanini Chadema wamejitoa kuwadhamini watu wao? hata kama wamekamatwa kwa kuonewa kama Mbowe lakini bado jukumu la kwanza lilikuwa ni Chadema wenyewe kuwadhamini watu wao, sio kuelekeza hiyo kazi kwa Kanisa Katoliki, au polisi wawaachie bila masharti, vipi kama wasipoachiwa?