Askofu Renatus Nkwande asikitishwa na uongo wa Polisi kuhusu wana CHADEMA waliokamatwa ndani ya Kanisa

Askofu Renatus Nkwande asikitishwa na uongo wa Polisi kuhusu wana CHADEMA waliokamatwa ndani ya Kanisa

Awamu hii itatuharibia nchi kama haya ndio maagizo yake kwa vyombo vinavyoitikia ndio kwenye kila kitu kinachoitwa amri halali.
 
Mpaka sasa hivi tunaendelea kushughulikia sakata la kukamatwa kwa viongozi na wanachama wa CHADEMA walipokuwa kwenye misa jana Kawekamo, Mwanza. Waliopo mahabusu ni katibu wa kanda ya Victoria, Mwenyekiti wa Ilemela, katibu wa Nyamagana na wanachama wengine jumla yao ni 20.

OCD asubuhi ya leo, alitueleza wanatuhumiwa kwa kufanya vurugu kanisani na kwamba alipigiwa simu na viongozi wa kanisa. Ilibidi tukauone uongozi wa kanisa Katoliki jimbo la Mwanza, tumeonana na msaidizi wa baba Askofu na akatuwezesha kuongea na askofu Mkuu Renatus Nkwande.

Askofu mkuu jimbo katoliki Mwanza, Renatus Nkwande amesikitishwa sana na uongo wa jeshi la polisi na kuthibitisha kwamba hakukuwa na vurugu yoyote kwenye misa hiyo. Na alipokea matoleo ya wanachama hao wa Chadema na kusali pamoja nao. Akawakaribisha wale chakula pamoja nae.

Wakati wanakwenda kunawa polisi wakavamia eneo hilo na kuanza kukamata kila aliyekuwa na sare za Chadema. Awali asubuhi, walikwishakamata wanachama watano akiwemo mama yake mzazi na John Pambalu ambaye naye alikuwa anaigia kanisani hapo kwa ajili ya ibada hiyo.

Baba askofu Renatus Nkwande kamuelekeza msaidizi wake tukaenda naye hadi Kirumba na ameongea na OCD, sasa OCD akageuza kwa si kanisa lilimpigia simu bali ni waumini wawili mmojawapo anaitwa Gerald Joseph na kusema kanisani kuna wana CHADEMA wanaleta vurugu, hivyo wanataka msaada.

Msaidizi wa Askofu Renatus Nkwande, kawasiliana na (OCD) sasa Askofu mkuu jimbo katoliki Mwanza, Nkwande amemtuma katibu wake, Padre Nyanda na tunaendelea kumsubiri hapa Kirumba.

Tumemueleza Baba Askofu masuala kadhaa, lakini pia jinsi ambavyo tunaona inapendeza watu kutendewa

1. Jeshi la polisi liwaachie wote bila masharti yoyote (kwa kuwa hakuna kosa kisheria ambalo wamevunja)

2. Au ikiwezekana, baba Askofu, jimbo katoliki Mwanza, Renatus Nkwande, akawadhamini waumini wake.

Tutaendelea kuwajulisha kila hatua. Ahsante.
Hii inalazimisha sana Mungu aitandike laana
 
Mimi ni Mkatoliki ila nawaomba sana Kanisa Katoliki nchini Tanzania wasiingizwe katika Mtego huu wa Mzozo wa Kisiasa baina ya CHADEMA na Mamlaka zote zilizo chini ya Serikali ya Chama Tawala cha CCM. Kuna Hatari naanza Kuiona.
Kwanini?

Sent from my CPH2179 using JamiiForums mobile app
 
Police watalifungulia mashtaka Kanisa Katoriki kama litaendelea kuruhusu wana CDM kuingia makanisani kwao na kuwafanyua vurugu waumini wengine.
 
Kanisa haliwezi kujitenga na kutetea haki. Ukiona kanisa limejitenga na kutetea haki, jua siyo kanisa la Kristo hilo. Ni wachumia tumbo tu.
 
Mpaka sasa hivi tunaendelea kushughulikia sakata la kukamatwa kwa viongozi na wanachama wa CHADEMA walipokuwa kwenye misa jana Kawekamo, Mwanza. Waliopo mahabusu ni katibu wa kanda ya Victoria, Mwenyekiti wa Ilemela, katibu wa Nyamagana na wanachama wengine jumla yao ni 20.

OCD asubuhi ya leo, alitueleza wanatuhumiwa kwa kufanya vurugu kanisani na kwamba alipigiwa simu na viongozi wa kanisa. Ilibidi tukauone uongozi wa kanisa Katoliki jimbo la Mwanza, tumeonana na msaidizi wa baba Askofu na akatuwezesha kuongea na askofu Mkuu Renatus Nkwande.

Askofu mkuu jimbo katoliki Mwanza, Renatus Nkwande amesikitishwa sana na uongo wa jeshi la polisi na kuthibitisha kwamba hakukuwa na vurugu yoyote kwenye misa hiyo. Na alipokea matoleo ya wanachama hao wa Chadema na kusali pamoja nao. Akawakaribisha wale chakula pamoja nae.

Wakati wanakwenda kunawa polisi wakavamia eneo hilo na kuanza kukamata kila aliyekuwa na sare za Chadema. Awali asubuhi, walikwishakamata wanachama watano akiwemo mama yake mzazi na John Pambalu ambaye naye alikuwa anaigia kanisani hapo kwa ajili ya ibada hiyo.

Baba askofu Renatus Nkwande kamuelekeza msaidizi wake tukaenda naye hadi Kirumba na ameongea na OCD, sasa OCD akageuza kwa si kanisa lilimpigia simu bali ni waumini wawili mmojawapo anaitwa Gerald Joseph na kusema kanisani kuna wana CHADEMA wanaleta vurugu, hivyo wanataka msaada.

Msaidizi wa Askofu Renatus Nkwande, kawasiliana na (OCD) sasa Askofu mkuu jimbo katoliki Mwanza, Nkwande amemtuma katibu wake, Padre Nyanda na tunaendelea kumsubiri hapa Kirumba.

Tumemueleza Baba Askofu masuala kadhaa, lakini pia jinsi ambavyo tunaona inapendeza watu kutendewa

1. Jeshi la polisi liwaachie wote bila masharti yoyote (kwa kuwa hakuna kosa kisheria ambalo wamevunja)

2. Au ikiwezekana, baba Askofu, jimbo katoliki Mwanza, Renatus Nkwande, akawadhamini waumini wake.

Tutaendelea kuwajulisha kila hatua. Ahsante.
Polisi Wa Tanzania wamezoea sana kusema uongo
 
Hao wanatafuta ugomvi na kutaka kulifitinisha kanisa na serikali, na wala hawasali kutoka rohoni na ni njia tuu mojawapo ya maandamano Kwa mgongo wa kanisa
IVI MAOMBI YAO KWANI HAYAWEZI KUPOKELEWA BILA SARE ZA CHAMA?
 
Mpaka sasa hivi tunaendelea kushughulikia sakata la kukamatwa kwa viongozi na wanachama wa CHADEMA walipokuwa kwenye misa jana Kawekamo, Mwanza. Waliopo mahabusu ni katibu wa kanda ya Victoria, Mwenyekiti wa Ilemela, katibu wa Nyamagana na wanachama wengine jumla yao ni 20.

OCD asubuhi ya leo, alitueleza wanatuhumiwa kwa kufanya vurugu kanisani na kwamba alipigiwa simu na viongozi wa kanisa. Ilibidi tukauone uongozi wa kanisa Katoliki jimbo la Mwanza, tumeonana na msaidizi wa baba Askofu na akatuwezesha kuongea na askofu Mkuu Renatus Nkwande.

Askofu mkuu jimbo katoliki Mwanza, Renatus Nkwande amesikitishwa sana na uongo wa jeshi la polisi na kuthibitisha kwamba hakukuwa na vurugu yoyote kwenye misa hiyo. Na alipokea matoleo ya wanachama hao wa Chadema na kusali pamoja nao. Akawakaribisha wale chakula pamoja nae.

Wakati wanakwenda kunawa polisi wakavamia eneo hilo na kuanza kukamata kila aliyekuwa na sare za Chadema. Awali asubuhi, walikwishakamata wanachama watano akiwemo mama yake mzazi na John Pambalu ambaye naye alikuwa anaigia kanisani hapo kwa ajili ya ibada hiyo.

Baba askofu Renatus Nkwande kamuelekeza msaidizi wake tukaenda naye hadi Kirumba na ameongea na OCD, sasa OCD akageuza kwa si kanisa lilimpigia simu bali ni waumini wawili mmojawapo anaitwa Gerald Joseph na kusema kanisani kuna wana CHADEMA wanaleta vurugu, hivyo wanataka msaada.

Msaidizi wa Askofu Renatus Nkwande, kawasiliana na (OCD) sasa Askofu mkuu jimbo katoliki Mwanza, Nkwande amemtuma katibu wake, Padre Nyanda na tunaendelea kumsubiri hapa Kirumba.

Tumemueleza Baba Askofu masuala kadhaa, lakini pia jinsi ambavyo tunaona inapendeza watu kutendewa

1. Jeshi la polisi liwaachie wote bila masharti yoyote (kwa kuwa hakuna kosa kisheria ambalo wamevunja)

2. Au ikiwezekana, baba Askofu, jimbo katoliki Mwanza, Renatus Nkwande, akawadhamini waumini wake.

Tutaendelea kuwajulisha kila hatua. Ahsante.
Hivi wangekuwa masjid wanamuombea Dua SSH wangekamatwa?????
 
Kwa sasa wenye haki ya kwenda kanisani ni waumini wa chuma chakavu....
 
Mpaka sasa hivi tunaendelea kushughulikia sakata la kukamatwa kwa viongozi na wanachama wa CHADEMA walipokuwa kwenye misa jana Kawekamo, Mwanza. Waliopo mahabusu ni katibu wa kanda ya Victoria, Mwenyekiti wa Ilemela, katibu wa Nyamagana na wanachama wengine jumla yao ni 20.

OCD asubuhi ya leo, alitueleza wanatuhumiwa kwa kufanya vurugu kanisani na kwamba alipigiwa simu na viongozi wa kanisa. Ilibidi tukauone uongozi wa kanisa Katoliki jimbo la Mwanza, tumeonana na msaidizi wa baba Askofu na akatuwezesha kuongea na askofu Mkuu Renatus Nkwande.

Askofu mkuu jimbo katoliki Mwanza, Renatus Nkwande amesikitishwa sana na uongo wa jeshi la polisi na kuthibitisha kwamba hakukuwa na vurugu yoyote kwenye misa hiyo. Na alipokea matoleo ya wanachama hao wa Chadema na kusali pamoja nao. Akawakaribisha wale chakula pamoja nae.

Wakati wanakwenda kunawa polisi wakavamia eneo hilo na kuanza kukamata kila aliyekuwa na sare za Chadema. Awali asubuhi, walikwishakamata wanachama watano akiwemo mama yake mzazi na John Pambalu ambaye naye alikuwa anaigia kanisani hapo kwa ajili ya ibada hiyo.

Baba askofu Renatus Nkwande kamuelekeza msaidizi wake tukaenda naye hadi Kirumba na ameongea na OCD, sasa OCD akageuza kwa si kanisa lilimpigia simu bali ni waumini wawili mmojawapo anaitwa Gerald Joseph na kusema kanisani kuna wana CHADEMA wanaleta vurugu, hivyo wanataka msaada.

Msaidizi wa Askofu Renatus Nkwande, kawasiliana na (OCD) sasa Askofu mkuu jimbo katoliki Mwanza, Nkwande amemtuma katibu wake, Padre Nyanda na tunaendelea kumsubiri hapa Kirumba.

Tumemueleza Baba Askofu masuala kadhaa, lakini pia jinsi ambavyo tunaona inapendeza watu kutendewa

1. Jeshi la polisi liwaachie wote bila masharti yoyote (kwa kuwa hakuna kosa kisheria ambalo wamevunja)

2. Au ikiwezekana, baba Askofu, jimbo katoliki Mwanza, Renatus Nkwande, akawadhamini waumini wake.

Tutaendelea kuwajulisha kila hatua. Ahsante.
Mama mwislamu ameanza vita dhidi ya ukristo, je ataweza, atashinda?
 
Aisee.
Katiba inasema Serekali haina Dini, cha ajabu inakataza Dini.

Siku za nyuma iliwahi pia kukataza Lisu asiombewe.
 
Kanisa la kawekamo ni jirani kabisa na nyumbani kwa RPC wa Mwanza.
 
Maaskofu wetu ujinga kama huu mlipaswa kuukemea! Hili si tukio la kawaida, kesho mtakuja kukamatwa nyie madhabahuni! Waamini wanaona na sio wajinga.
Sasa wafanye Nini??, Hawana dola wafanyaje?,km ni kuongea ndio huko wanaongea lkn wenye nchi wameweka pamba masikioni.
 
Back
Top Bottom