Askofu Ruwaichi amuunga mkono Rais Ruto kupinga Ushoga hadharani!

Askofu Ruwaichi amuunga mkono Rais Ruto kupinga Ushoga hadharani!

Wakuu,

Askofu mkuu Jimbo Katoliki la Dar es Salaam anaongea na waandishi wa habari juu ya Pugu Marathoni lakini pia amegusia swala la maadili ya jamii. Amesema amefurahishwa na kauli dhabiti ya Rais Ruto wa Kenya juu ya kulinda maadili ya nchi hiyo na kupinga hadharani mambo ya ushoga.

Lakini pia Askofu Ruwaichi amesema Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam alitoa kauli dhabiti juu ya maadili lakini kiongozi mwenzake wa serikali akasema hiyo si kauli ya serikali! Ameuliza hapo kauli ya serikali ni ipi?

My take; Kwa nguvu na kasi ya msukumo juu ya ushoga unaoendelea duniani bila sisi kuchora mstari wa wazi na jamii ya kimataifa kuelewa msimamo wetu huko mbele tutapata shida kubwa hizo haki zitapoanza kudaiwa na watu potential bila woga hapa kwetu.

Mama yetu Mh Rais Samia pia aligusia umuhimu wa kulinda maadili yetu na kwa msimamo wake na dini yake nafahamu hawezi kuyumba kwenye hili na mfano mzuri ni serikali kupiga marufuku vitabu vya shule vinavyochochea hayo.

Nchi za wenzetu haya mambo yalianza kama mchezo na pengine hakuna aliyeamini itafikia hatua ya kuhalalishwa kisheria na hata kufundishwa mashuleni! Sasa tusisubiri tufike huko maana kijamii tunaanza kuzoeshwa tuone kawaida! Tunaona watangazaji maarufu, mastaa na hata shughuli mbalimbali za burudani jamii ya mashoga wanajitokeza wazi bila woga.

Tusipoziba ufa tutajenga ukuta! Tuanze kuchukua hatua sasa, tusifanye mzaha na maadili ya msingi yanayolinda utu wetu.



Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Na yule Askofu aliyevunja ukimya juzi na kutangaza hadharan kuwa yeye ni shoga kule US vipi?
 
Na yule Askofu aliyevunja ukimya juzi na kutangaza hadharan kuwa yeye ni shoga kule US vipi?
Ushoga, dhambi, uhalifu hauna sura wala dini! Hapa tukemee ushoga! Tukitaka kuchunguzana hakuna jamii itayopona HAIPO! Tujikite kwenye tatizo na kulikemea badala ya kutafutana.

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
Vitendo vya ushoga vinanuka kwenye jamii na Kanisa ni sehemu yake. Kanisa litaonekana linanuka zaidi sababu ya nafasi yake kwenye jamii.

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
Wakuu,

Askofu mkuu Jimbo Katoliki la Dar es Salaam anaongea na waandishi wa habari juu ya Pugu Marathoni lakini pia amegusia swala la maadili ya jamii. Amesema amefurahishwa na kauli dhabiti ya Rais Ruto wa Kenya juu ya kulinda maadili ya nchi hiyo na kupinga hadharani mambo ya ushoga.

Lakini pia Askofu Ruwaichi amesema Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam alitoa kauli dhabiti juu ya maadili lakini kiongozi mwenzake wa serikali akasema hiyo si kauli ya serikali! Ameuliza hapo kauli ya serikali ni ipi?

My take; Kwa nguvu na kasi ya msukumo juu ya ushoga unaoendelea duniani bila sisi kuchora mstari wa wazi na jamii ya kimataifa kuelewa msimamo wetu huko mbele tutapata shida kubwa hizo haki zitapoanza kudaiwa na watu potential bila woga hapa kwetu.

Mama yetu Mh Rais Samia pia aligusia umuhimu wa kulinda maadili yetu na kwa msimamo wake na dini yake nafahamu hawezi kuyumba kwenye hili na mfano mzuri ni serikali kupiga marufuku vitabu vya shule vinavyochochea hayo.

Nchi za wenzetu haya mambo yalianza kama mchezo na pengine hakuna aliyeamini itafikia hatua ya kuhalalishwa kisheria na hata kufundishwa mashuleni! Sasa tusisubiri tufike huko maana kijamii tunaanza kuzoeshwa tuone kawaida! Tunaona watangazaji maarufu, mastaa na hata shughuli mbalimbali za burudani jamii ya mashoga wanajitokeza wazi bila woga.

Tusipoziba ufa tutajenga ukuta! Tuanze kuchukua hatua sasa, tusifanye mzaha na maadili ya msingi yanayolinda utu wetu.



Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Ni muda wa jamii nzima kuungana kwa pamoja, viongozi wa dini, asasi za kiraia, wadau wa serikali na mamlaka zote kupinga ushoga na usagaji ili kuokoa vizazi vyetu
 
Huwezi kuwa na uchumi tegemezi kisha uanze kupiga hesabu za kuyavimbia mataifa ya ulaya na marekani, hao viongozi wa serikali watakuwa wanasema tu chini chini, lakini hawawezi kuweka msimamo wa wazi utambulike mbele ya jumuia ya kimaifa, wanajua jeuri hiyo kama nchi hatuna.
Mbona Ruto na Museveni wamekaza.

Hata hao West bado pia ni wategemezi kwetu kwa malighafi ndio maana kila kukicha wanapishana tu na wachina kuikamata Africa kwahio hata sisi tunaweza kushikilia hapo,Jana Macron baada ya ziara yake DRC kupingwa kwa maandamano ametamka wazi kwamba Ufaransa haitajihusisha na mambo ya ndani ya nchi za Afrika,kwahio hawa wanatakiwa waone tunalikataa hili kwa dhati hawataweza.
 
Mbona Ruto na Museveni wamekaza.

Hata hao West bado pia ni wategemezi kwetu kwa malighafi ndio maana kila kukicha wanapishana tu na wachina kuikamata Africa kwahio hata sisi tunaweza kushikilia hapo,Jana Macron baada ya ziara yake DRC kupingwa kwa maandamano ametamka wazi kwamba Ufaransa haitajihusisha na mambo ya ndani ya nchi za Afrika,kwahio hawa wanatakiwa waone tunalikataa hili kwa dhati hawataweza.
Wasiwasi wangu ni huyu aliyepo juu ana ubavu wa kukataa kama Museven na Ruto? Bado tuna safari ndefu
 
Makanisa ya magharibi [ RC, Anglican, Lutheran and so on ]

Ni suala la muda tu, nyie waamini hamna nguvu ya maamuzi juu ya makanisa yao na taratibu zao especially Afrika.
Nani kakudanganya broo?? Waamini wanayo nguvu kubwa sana. Iko hivi: Ukiona kiongozi wa kanisa mahalia anazingua, Unachukua maamuzi chap na Unajiondokea mwenyewe na hatothubutu kukufuata.

Ikumbukwe kwamba sio lazima uwe muumini wa kanisa fulani ili uingie mbinguni au kuwa katika dhehebu sio sharti mojawapo la kuokoka. Anayebisha atujuze mistari au vifungu vya Biblia. Nimekaa pale nasubiria.
 
Bosi hanuniwi.

Wakizuia arv na mafuta kwa mwezi mmoja tu, mawaziri wote wanageuka kuwa mabalozi wa ushoga.
Ruto atamke lakin asitekeleze tamko, akianza kuwanyanyasa al shabab wanaanza kukinukisha.

Familia zimesahau majukumu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka had machoziiiii khaaaah
 
Huwezi kuwa na uchumi tegemezi kisha uanze kupiga hesabu za kuyavimbia mataifa ya ulaya na marekani, hao viongozi wa serikali watakuwa wanasema tu chini chini, lakini hawawezi kuweka msimamo wa wazi utambulike mbele ya jumuia ya kimaifa, wanajua jeuri hiyo kama nchi hatuna.
Serikali ilishatoa msimamo wake kuhusu ushoga, shida wananchi hawataki kuamini na kuukubali.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huwezi kuwa na uchumi tegemezi kisha uanze kupiga hesabu za kuyavimbia mataifa ya ulaya na marekani, hao viongozi wa serikali watakuwa wanasema tu chini chini, lakini hawawezi kuweka msimamo wa wazi utambulike mbele ya jumuia ya kimaifa, wanajua jeuri hiyo kama nchi hatuna.
Hizi nchi maskini zimeshawekwa kitanzini, hakuna kitu wataweza kumpinga beberu........hasa hizi nchi za kiafrika zinazoendeshwa na viongozi mafisadi na wabinafsi na hivyo kushindwa kujenga uchumi unaojitegemea na himilivu, wanaishia kuwa ombaomba kwa mabeberu, na beberu anawakamatia hapohapo, usipokubali masharti unakufa njaa....​
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Vibaraka hawa wanaojiita serikali hawana uwezo wa kupinga ushoga!

Mabeberu yakidinda kule ulaya unashangaa samia analegeza ushungi taratibu anawapa ruksa watu wakatafunane.

HILI NALO TUTALITIZAMA.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbavu zangu mie, uwiiiiiiiiiih.
 
Back
Top Bottom