Farolito
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 12,001
- 27,175
Inabidi sisi kama wananchi pamoja na taasisi za dini tukaze,akiona msimamo ni mkali hawezi kulegea maana anajua hana support yeyoteWasiwasi wangu ni huyu aliyrpo juu ana ubavu wa kukataa kama Museven na Ruto? Bado tuna safari ndefu