cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Hutaki sasa??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hutaki sasa??
Who cares???Amina aminaaa...
Wapinga Ushoga, Tuendelee kupaza Sauti
Wee umewahi kukemea?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Lissu mbona hawezi kukemea na anaunga mkono? Anasema hiyo ni faragha mambo ya chumbani?
No 3 ni Irrelevant, yaan hakuna kitu hapooo.Hawa ndio visababishi vya ushoga.
1-SINGLE MOTHER'S :hawa wanachangia malezi mabovu ya mtoto utakuta mtoto wa kiume anapakwa wanja,lip stick wao wanafurahi tu wanaona kawaida.
2-BOARDING SCHOOL:kuanzia kindergarten-primary school...hizi shule ni viwanda vya kuzalisha mashoga mtoto ana miaka 5 mpaka 13 unampeleka boarding ili iweje? Umri huo ndio umri sahihi wa mtoto kuwa pamoja na wazazi muda wote wote kupata malezi stahiki.
Boarding ni maalumu kwa secondary tu.
3:MALEZI: mtoto wa kiume usimlee kimayai mlee kikatili peleka shamba, lima bustani, chota maji, pikia mbwa chakula, safisha mabanda ya kuku lisha kuku, kama upo ktk ujenzi mwambie amwagilie maji matofali kila siku mfanye mwanao awe busy kila muda.usimlee mtoto kimayai inatakiwa ajione tofauti na mwanamke.
4-USWAHILINI:Halina ubishi uku ndio mashoga wanapozalishwa kwa kasi ya ajabu.
Mie ntahamasisha na kuhalalishaa kabisa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wewe vipi? Ukipata nafasi utakemea?
Ndo hivyoooo.Duuh
Hata km sio, so?It means the one of them
Ouk endelea ku know.Now I know
Poleeeeeh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]No one! But tatzo sio la kuisha hili
Unauliza mie, kuumia wapi??Thanks, but hamuumii chochote?
Mshenzi ni wewe unayeandika utumbo.Ushenzi haupaswi kutetewa kwa vimaandiko uchwara.
Ushenzi ni ushenzi tu daima utabaki hivyo hata tukiziba macho, midomo na masikio yetu.
: Akili/Rangi
Kuwa kanisa katoliki lina ongoza kwa vitendo vya ushoga na ulawiti ?Mshenzi ni wewe unayeandika utumbo.
![]()
Pope Francis Won’t Budge on Gay Marriage: “Marriage Is Marriage”
He reiterated his support for civil unions, however.www.them.us
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Yesu alitetea kahaba pia, maana yake aliunga mkono ukahaba? Understand the message.Papa Francis atetea watu wanaojihisisha na Mapenzi ya jinsia moja
Hatimaye Papa Francis akubali kubariki ndoa za jinsia moja, kwa kudai mashoga nawo ni watoto wa Mungu na hakuna sababu ya kuwabagua. Je, makanisa Katoliki Afrika, Asia, Mexico, Brazil na kwingineko watakubaliana na uamuzi huu? Tukumbuke kwenye biblia haisomeka ndoa za jinsia moja au za ushoga...www.jamiiforums.com