Hawa ndio visababishi vya ushoga.
1-SINGLE MOTHER'S :hawa wanachangia malezi mabovu ya mtoto utakuta mtoto wa kiume anapakwa wanja,lip stick wao wanafurahi tu wanaona kawaida.
2-BOARDING SCHOOL:kuanzia kindergarten-primary school...hizi shule ni viwanda vya kuzalisha mashoga mtoto ana miaka 5 mpaka 13 unampeleka boarding ili iweje? Umri huo ndio umri sahihi wa mtoto kuwa pamoja na wazazi muda wote wote kupata malezi stahiki.
Boarding ni maalumu kwa secondary tu.
3:MALEZI: mtoto wa kiume usimlee kimayai mlee kikatili peleka shamba, lima bustani, chota maji, pikia mbwa chakula, safisha mabanda ya kuku lisha kuku, kama upo ktk ujenzi mwambie amwagilie maji matofali kila siku mfanye mwanao awe busy kila muda.usimlee mtoto kimayai inatakiwa ajione tofauti na mwanamke.
4-USWAHILINI:Halina ubishi uku ndio mashoga wanapozalishwa kwa kasi ya ajabu.