Interlacustrine R
JF-Expert Member
- Jan 22, 2022
- 7,186
- 14,274
Chafya...[emoji1784]Ongeza sauti wakusikie, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chafya...[emoji1784]Ongeza sauti wakusikie, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
share the source hereNa yule Askofu aliyevunja ukimya juzi na kutangaza hadharan kuwa yeye ni shoga kule US vipi?
Uko sahihBosi hanuniwi.
Wakizuia arv na mafuta kwa mwezi mmoja tu, mawaziri wote wanageuka kuwa mabalozi wa ushoga.
Ruto atamke lakin asitekeleze tamko, akianza kuwanyanyasa al shabab wanaanza kukinukisha.
Familia zimesahau majukumu.
Sahih hiliHuwezi kuwa na uchumi tegemezi kisha uanze kupiga hesabu za kuyavimbia mataifa ya ulaya na marekani, hao viongozi wa serikali watakuwa wanasema tu chini chini, lakini hawawezi kuweka msimamo wa wazi utambulike mbele ya jumuia ya kimaifa, wanajua jeuri hiyo kama nchi hatuna.
Kila siku tunajinadi hatufungamani na upande wowote, naamini huu msimamo tunauendeleza hata kwenye masuala mengine kama hayo ya ushoga, hata kama ikiwa ni kimya kimya.
Na ashawajulia manyumbu wake wanapenda MIHEMKO ya kupinga ushoga bila kutumia akili, basi na kenyewe kakapiga kambi humo humo.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na anajua kuwachota akili manyumbu wake.
mh!Naomba kuwasilisha, msimamo wa Serikali ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania kuhusu Ushoga ni huu hapa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2535743
kaziaMkuu, mbona unaongea kwa kificho kiasi hicho? Eti kuna nchi moja...si Bora ungeweka wazi e.g. kuna mji mmoja/baadhi ya miji hapa Tz....... kuliko kusema (kwa kuzunguka-zunguka) kuna nchi moja ............Unaogopa nini?
Kwa nini ushoga ni mwingi pwani maeneo ambayo uislam unatamalaki kuliko maeneo yaliyoshamiri Ukristo?Makanisa ya magharibi [ RC, Anglican, Lutheran and so on ]
Ni suala la muda tu, nyie waamini hamna nguvu ya maamuzi juu ya makanisa yao na taratibu zao especially Afrika.
Ndugu utapigania familia yako wakati walimu nao wamo? Watoto shule na mtaani wamo? Utapeleka watoto Kanisa nako wamo? Hiyo familia utaifungia ndani tu? Hakuna cha kupigania familia ni kupigania Taifa lisiingie huko, likiingia na kuwa huru utashtuka siku mwanao nae anajitangaza anakuletea na mchumba wa jinsia moja!apo MSD wanapewa KY bure hela.wameshalipa mabeberu na serikali inajua kabisa na hawana cha kufanya cha muhimu kila mtu aipiganie familia yake na jamii yake inayomzunguka kuondokana na ili janga tukisema tuitegmee serikali tutashangaa mitaala ya kufundisha jinsi ya kufanya ushoga imeanzishwa mashuleni awa jamaa wananguvu na wanafuatilia kinoma nakumbuka kuna punga moja kule instagram nililitukana sana yeye pamoja NGO yao cha ajabu kuna nafasi zilitokea pale job za kwenda Luxembourg nilinyimwa VISA na wakanichana kabisa sababu ya kuninyima ..
NakaziaKwa nini ushoga ni mwingi pwani maeneo ambayo uislam unatamalaki kuliko maeneo yaliyoshamiri Ukristo?
Papa alikazia nchi ambazo ni uhalifu kugundulika ni shoga na wengine hunyongwa na kusema hii si sawa maana ushoga ni dhambi ila si jinai. Lakini mimi binafsi nampinga kwenye hilo maana madhara na matokeo ya ushoga ni makubwa kuliko hao wachache wanaofanyiwa ukatili au kunyongwa.
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Kuna report ya FBI imevuja ikichunguza Wakatoliki wanaotetea misingi ya asili ya Kanisa! FBI wanawaita "Extremists Catholics"Vyombo vya habari huko Ulaya hasa Ulaya Magharibi na Marekani ni mawakala wa shetani na hawalitaki Kanisa Katoliki kwa sababu lina misingi yake thabiti na misimamo isiyoyumbishwa ndiyo maana wanatumia muda mwingi kulichafua Kanisa.
Wapuuzi hao hata wake zao wakina hospital kujifungua wengi wao hawana malinda.Ukweli ndiyo huo.
Mtu mzima akikuuliza madhara ya kunywa sumu dawa yake mpe aionje ajipe majibu.Ushoga una madhara gani kwenye jamii,toa mfano wa madhara hayo.
Ushoga ni dhambi,ushoga ni uchafu,ushoga ni uhuni,kama ng'ombe,punda,kuku,hata bata hawafanyi ushoga kasoro tu nguruwe ambaye ni mnyama mchafu kuliko wote na mbuzi ambaye amepungukiwa akili pia ana mkia mfupi kuliko wanyama wote,hivyo mtu anayefagilia ushoga ni nguruwe na pia ni mbuzi na hata hao wanyama ni nafuu kwa sababu nyama yao inaliwa lakini shoga hana faida yoyote.Ushoga una madhara gani kwenye jamii,toa mfano wa madhara hayo.
Mtu mzima akikuuliza madhara ya kunywa sumu dawa yake mpe aionje ajipe majibu.
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Hivi tukisema nchi ina tatizo la umeme maana yake hakuna tatizo la maji, afya kupo sawa, ulinzi upo n.k?Hivi mkuu; are u serious kweli kwamba Ushoga ni Tatizo la nyakati zetu linalohitaji majibu?? e.g. Wewe hapo kijijini kwenu; Maji, Shule(Elimu), Zahanati(Afya), Barabara/mawasiliano n.k. mmejitosheleza? Usalama (Amani) ukoje? Sisi huku hususan kipindi hiki cha kilimo kuna uvunjifu mkubwa wa Amani baina ya Wakulima na Wafugaji ukihusisha pia Mali asili(W/pori) na Misitu(maeneo tengefu). Lakini pia nasikia huko maeneo /nyanja zingine kuna kitu kinaitwa Tozo, Panyarodi/Vibaka, Utapeli/wizi wa kimtandao, Utekaji esp.watoto wadogo, n.k. Vipi hayo na mengineyo huyaoni ila umeona Ushoga tuu tena ambapo wewe hauhusiki nao kabisa. Si Ukomae na hali yako uwaache hao Wafu wazike wafu wao?