Askofu Ruwa'ichi: Asante mliovaa barakoa, nawalaumu msiovaa. Hali ni tete, tumetofautiana na Serikali

Askofu Ruwa'ichi: Asante mliovaa barakoa, nawalaumu msiovaa. Hali ni tete, tumetofautiana na Serikali

Njaa

IMG-20210219-WA0099.jpg
 
Wenye mgogoro wa afya, Covid ikiwatembelea ni changamoto sana... spana mkononi, hakuna kuhudhuria misiba wala nini, wao wataingalia tu hiyo misiba kwenye runinga na kujiuliza maswali kibao bila ya majibu...
 
Kwamba viongozi wa Serikali hawaoni hali halisi inavyokinzana na kauli zao? Kwamba wanajaribu kuiaminisha Dunia jua linachomoza Kusini na sio kule ambako hata mbayuwayu wanajua? Tuna majuha kweli nchi hii! Lowest IQ zinapatikana Tanzania I agree.
 
Back
Top Bottom