Askofu Ruwa'ichi: Asante mliovaa barakoa, nawalaumu msiovaa. Hali ni tete, tumetofautiana na Serikali

Askofu Ruwa'ichi: Asante mliovaa barakoa, nawalaumu msiovaa. Hali ni tete, tumetofautiana na Serikali

Asante mleta mada kwa hoja ba taarifa.
Nikukumbushe kudili na mteule wa VATICAN utahitaji akili kubwa saaanaaaa kuliko kudili na akina MWINGIRA, RASHID GWAJIBOY au MWAMAKULA.
Ukitaka kinuke dar, dom mpaka Chattle asumbuliwe mteule wa VATICAN aiseeee mtu atatoka mbio dar mpaka chato bila breki tena kwa miguuu
 
Wewe jamaa kilaza sana, hao virus wanatumia medium fulani ili waweze kufika kwa mtu mwingine. Mfano majimaji n.k. airbone disease hujui zinavyotokea?
 
Cha kushangaza 'wanaoishi kwa sadaka' ndio wanaoogopa kufa kuliko wanaoishi kwa jasho lao.. Inaonekana huko madhabahuni ni kunono ndio maana wengi wanaogopa kupaacha na kwenda 'kwa Baba' wakihisi kule juu hawatapata maslahi manono kuliko wanayoyapata hapa Duniani!
Maana wajinga hujiua kwa ukaidi wao, wapumbavu hujiangamiza kwa kujiamini kwao-Mithali 1:32
Tumia kweli mkuu na siyo propaganda na utashi wako binafsi badala ya sayansi.
 
Maana wajinga hujiua kwa ukaidi wao, wapumbavu hujiangamiza kwa kujiamini kwao-Mithali 1:32
Tumia kweli mkuu na siyo propaganda na utashi wako binafsi badala ya sayansi.
Screenshot_20210220-092436.png
Screenshot_20210220-092512.png
 
Back
Top Bottom