Logikos
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 15,460
- 24,233
Duh Mkuu ukiumwa njaa si unatafuta chakula ?Kwa hyo wewe unaamini mzungu ndo atakuponya?
Ukisikia kiu si unakunywa maji ?
Ukiumwa au ukiugua sio unafuata wataalamu wanasema nini ?
Je kufanya hayo juu yanakuzuia vipi kufuata Imani yako (iwe ni mizimu, kupiga ramli au chochote kile unachokiamini )?
Ila tatizo la magonjwa ya kuambukiza kama hili uzembe / ukaidi wako wewe sio risk yako pekee bali na wengine (yaani hapa ule msemo wa mchuma janga hula na wakwao, ndio mahala pake)