Stan Mashamba
JF-Expert Member
- Apr 22, 2020
- 3,183
- 2,479
Asante Baba Askofu kwa kutimiza wajibu wako. Mchungaji mwema hulinda kondoo wake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huna haja kutukana mkuu.Idiot, kwani serikali imekataza kuvaa barakoa????
Acha uoga, wanaokufa wako ndani ya wigo wa kitakwimu za uzazi na vifo. Wakifa wawili wakazaliwa watatu hapo kimahesabu 'mzani unaenda vizuri.Watu wanakufa huku, wewe unaleta hizo hekaya zenu za kwenye Biblia.
Sawa dogo, ukikua utaachaAcha uoga, wanaokufa wako ndani ya wigo wa kitakwimu za uzazi na vifo. Wakifa wawili wakazaliwa watatu hapo kimahesabu mzani unaenda vizuri.
Ni nature, ndivyo Mungu alivyoumba Dunia akaiweka kwenye Ecosystem. Lazima kuwe na population balance. Waingie wengi, watoke wachache. The net effect population growth.Sawa dogo, ukikua utaacha
Atakumbushwa fadhira aliyopewa.
Ataambiwa hana shukrani. Lakini kwa askofu mwenye msimamo usioyumba kama huyu masimango hayamtetereshi.
Kwahiyo Mungu ameshindwa kuwakomboa akina Kijazi? mkuu, Mungu hakuwapa akili kwa bahati mbaya, huko aliko atakuwa anawaangalia na kuwasikitikia msivyotumia akili alizowapatia mnabaki kumtupia lawama yeye.Mkombozi ni MUNGU PEKEE
hizo nyingine ni mbwembwe
Nawasikitikia wazazi wako kwa hasara waliyopata, Kilangila.Acha uoga, wanaokufa wako ndani ya wigo wa kitakwimu za uzazi na vifo. Wakifa wawili wakazaliwa watatu hapo kimahesabu mzani unaenda vizuri.