Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 11,936
- 15,196
Dua na mbio mzee. Yaani unamuona simba anakuja kisa unasoma kitabu cha mungu usikimbie?Madaktari wanatibu lakini Mungu ndiye Mponyaji!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dua na mbio mzee. Yaani unamuona simba anakuja kisa unasoma kitabu cha mungu usikimbie?Madaktari wanatibu lakini Mungu ndiye Mponyaji!
M/Mungu amtangulie baba Askofu.Askofu alindwe
Kwahio tumsubiri tukikesha na kuimba au maabara tukitafuta chanjo ?
Kwenye hili, tunakoenda heshima haitakuwepo tena ....yangu macho
"Unataka kugusa Nyati sehemu za SIRI"
Kirusi kimesha ingia pentagon, kuweni wapole.Maji yamezidi mchele
Ndugai yuko wapi?Kirusi kimesha ingia pentagon, kuweni wapole.
Maji yamekorogeka na topeMaji yamezidi mchele
hayo nayo ni mawazo pia kwakuwa yanapita katika akili ya binadamu mwenye utashi. Funia nzima inavaa barakoa, kwa hiyo Dunia nzima ni wajinga?Anaitegemea barakoa imwokoe, pole yake huyo Askofu
Yu wapi Mh. Christopher Ole sendeka Mbunge wa Jimbo la Simanjiro?Kipindi cha misiba sio spika,misiba ukimaliza utamsikia .
Wengine wana PhD ya majalalaniKwamba viongozi wa serikali hawaoni hali halisi inavyokinzana na kauli zao? Kwamba wanajaribu kuiaminisha dunia Jua linachomoza Kusini na sio kule ambako hata mbayuwayu wanajua? Tuna majuha kweli nchi hii! Lowest IQ zinapatikana Tanzania I agree.
Kipimo cha IQ kipo mkuuHakuna kipimo cha kupima IQ ya mtu
Na kama kipo labda useme zile GPA za wanachuo wanazotambaga nazo.