Askofu Ruwa'ichi: Asante mliovaa barakoa, nawalaumu msiovaa. Hali ni tete, tumetofautiana na Serikali

Askofu Ruwa'ichi: Asante mliovaa barakoa, nawalaumu msiovaa. Hali ni tete, tumetofautiana na Serikali

Serikali haiwezi kumfanya chochote Askofu na Mtumishi wa Mungu Baba Ruwaichi.
 
Watu wengi wamesoma lakini si wote waweza kutumia elimu kung'amua mambo.
 
Anaitegemea barakoa imwokoe, pole yake huyo Askofu
hayo nayo ni mawazo pia kwakuwa yanapita katika akili ya binadamu mwenye utashi. Funia nzima inavaa barakoa, kwa hiyo Dunia nzima ni wajinga?
 
Hakuna kipimo cha kupima IQ ya mtu, na kama kipo labda useme zile GPA za wanachuo wanazotambaga nazo.
 
Kwamba viongozi wa serikali hawaoni hali halisi inavyokinzana na kauli zao? Kwamba wanajaribu kuiaminisha dunia Jua linachomoza Kusini na sio kule ambako hata mbayuwayu wanajua? Tuna majuha kweli nchi hii! Lowest IQ zinapatikana Tanzania I agree.
Wengine wana PhD ya majalalani
 
Back
Top Bottom