"Ibilisi akamchukua mpaka Yerusalemu, kwenye mnara wa hekalu, akamwambia, “Kama wewe ni Mwana wa Mungu, jitupe chini kwa maana imeandikwa, Atakuagizia malaika zake wakulinde na ya kwamba,Mikononi mwao watakuchukua,Usije ukajikwaa mguu wako katika jiwe,Yesu akajibu akamwambia, Imenenwa, Usimjaribu Bwana Mungu wako"