MchunguZI
JF-Expert Member
- Jun 14, 2008
- 4,011
- 2,185
Na Rais kasema Changamoto zitafanyiwa kazi
View: https://www.instagram.com/p/CwNN1xyqJg5/?igshid=MTc4MmM1YmI2Ng==
Tatizo la rais wetu alikuja na sera za NGO! Aliamini NGO ni bora, kumbe hivyo ni vijiwe vya kujinufaisha kimaisha tu na kuleta sera kama hizi za ushoga.
Huwezi kuendesah serikali kwa mtindo wa NGO!