Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 15,133
- 11,914
Umeongea meengi, lakini hujaweka hoja yoyote. Kwani kwenye Waraka wa TEC Kuna mahali wamesema walishauri hivi na imefanyika tofauti? Na je, ukishauriwa, ni lazima ufanye kama ulivyoshauriwa? We wa wapi?Ni kama ukienda kucheza miaka mitatu SAUTI. Walipoenda walienda kama TEC, BAKWATA na CCT. Hawakwenda kama taasisi moja bali tatu. Unatarajia kwa utofauti wao pia watoe maoni yao kwa njia moja, wakati mmoja, namna moja?? Huku wakiwa hawana ushawishi wa aina moja, msukumo mmoja na ujasiri wa aina moja...
Lini iliishawahi kuwashauri basi hata hao Maaskofu? Wao wenyewe ni madikteta wa hali juu ndani ya Kanisa Katoliki, unazungumzia ushauri? Lini Kanisa Katoliki liliishawahi kuomba ushauri kutoka kwa Walei (yaani wasiojua?) Unazungumza nini wewee?
Eti unaleta hoja za eti mlisoma nini? Ujinga mtupu! Wewe uliyesoma zamani una mchango gani kwenye nchi hii? Mbona mlisoma zamani ndio mmeifikisha nchi hii kwenye umaskini na ufisadi wa hali ya juu?