Askofu Shoo Hajasema anaunga mkono Mkataba. Kasema uwekezaji

Askofu Shoo Hajasema anaunga mkono Mkataba. Kasema uwekezaji

Ahahahahaha! TEC is just a "Tea Party Meeting". Haina Clerical justification yoyote na ndio maana Tamko lake sio Tamko la Kanisa Katoliki. Kanisa Katoliki Tanzania na Ulimwenguni yanongozwa na Tamko la Jimbo Katoliki na Msemaji wake ni Askofu wa Jimbo Katoliki husika. TEC is just a Tea Party Meeting! Ahahahahaha!!!!
Naomba niendelee kukufunza Kijana, TEC ina clerical justification kwa sababu wanachama wake wote ni waklero. Kwenye hao waklero Kuna Cardinal ambaye ana titular church kule Rome, na Rome Ina Askofu wake ambaye ni Papa. Umeona hio chain?

Usiwe Mjinga be well informed
 
Naangalia maoni ya wasomaji, na maneno ya rais, ufahamu ni tatizo. Kuna dalili za kushabikia maoni ya Askofu Shoo kama ahueni kufuatia Waraka wa Katoliki kumbe ni uzi ule ule! Katoliki hawakupinga Uwekezaji.

Tatizo ni Mkataba. Askofu Shoo anasema anaunga mkono Uwekezaji. Hajasema anaunga mkono Mkataba! Rais naye anaongeza hakuna wa kutugawa! Nani kawagawa? Sema juu ya MKataba! Kuna kundi linaonekana kujawa furaha ya matumaini ya kuungwa mkonoi na KKKT! Hawajiulizi uwekezaji nani kaukataa?

Nionavyo KKKT na Katoliki wako pamoja. Katoliki wameenda mbali zaidi na kuukosoa mkataba kwa maandishi. Ninayo hisia kwamba siku chache zijazo baada ya rais kuwapisha jukwaa lao, KKT watakuja na msimamo halisi unaohusu Mkataba.
Kumuelewa kunahitaji Akili nyingi..[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hakuna ubaya. Na, je! lazima niamini na kukubali?
Hapana, sio lazima uaamini au ukubali..

Lakini unadhani utakuwa ni mtu wa namna gani wewe unayeamini kuwa Kassimu Majaliwa ni Waziri Mkuu wa Uingereza halafu akatokea mtu akakwambia kuwa, hapana huyo ni Waziri Mkuu wa JMT na wewe ukang'ang'ana kusema si lazima niamini wala kukubali hilo kwa sababu mimi najua Kassimu Majaliwa ni PM wa Uingereza..?

Haya. Akili kumkichwa. Tafakari hili kwa wakati wako.

Kwa heri, usiku mwema ndugu yangu
 
Kweli kumwelewa Shoo inahitaji akili sn
Hakuna Cha kuhitaji akili hapo...Askofu alikuwa wazi...anaunga mkono uwekezaji....serikali iwe tayari kukosolewa...tunavyokosoa msiseme tunachanganya dinina siasa ...amani na usalama wa nchi ni muhimu.
Shoo hajasema anaunga mkono mkataba wa DPWorld...
TEC wanaunga mkono uwekezaji
Ila kwenye bandari TEC wanasema kusiwe na mwekezaji mmoja
TEC wanapinga mkataba na uwekezaji wa DP World peke yao..
 
Naangalia maoni ya wasomaji, na maneno ya rais, ufahamu ni tatizo. Kuna dalili za kushabikia maoni ya Askofu Shoo kama ahueni kufuatia Waraka wa Katoliki kumbe ni uzi ule ule! Katoliki hawakupinga Uwekezaji.

Tatizo ni Mkataba. Askofu Shoo anasema anaunga mkono Uwekezaji. Hajasema anaunga mkono Mkataba! Rais naye anaongeza hakuna wa kutugawa! Nani kawagawa? Sema juu ya MKataba! Kuna kundi linaonekana kujawa furaha ya matumaini ya kuungwa mkonoi na KKKT! Hawajiulizi uwekezaji nani kaukataa?

Nionavyo KKKT na Katoliki wako pamoja. Katoliki wameenda mbali zaidi na kuukosoa mkataba kwa maandishi. Ninayo hisia kwamba siku chache zijazo baada ya rais kuwapisha jukwaa lao, KKT watakuja na msimamo halisi unaohusu Mkataba.
Wenye akili tumeelewa msimamo wake. Tunapokosoa tusiambiwe tunachanganya siasa na dini
 
Wew mweny ufaham nikuulize

Kama viongoz wa dini walienda ikulu kupeleaka maoni yao WHY WATOE WALAKA KABLA YA KUJUA KAMA MAONI YAO YAMEFANYIWA KAZI AMA LAA?

I DECLARE HATA KAMA INGEKUA BAKWATA AU TAASISI YOYOTE YA DINI YA KIISLAM NINGEPINGANA NA WALAKA WAO
Ni waraka siyo walaka unaandika kama umelewa au.kuvimbiwa kitimoto.
 
Naomba niendelee kukufunza Kijana, TEC ina clerical justification kwa sababu wanachama wake wote ni waklero. Kwenye hao waklero Kuna Cardinal ambaye ana titular church kule Rome, na Rome Ina Askofu wake ambaye ni Papa. Umeona hio chain?

Usiwe Mjinga be well informed
Sijui kama unanielewa au sijui kama unajua unaongelea TEC ipi! Mfumo wa Kanisa Katoliki upo hivi; Jumuiya, Kigango, Parokia, Dekania, Jimbo (la Kawaida au Kuu) na mwisho ni Vatican. Hata kama Padre kakosea, anaanzia Mahakama ya Jimbo (ambayo Hakimu wake ni Askofu! Ahahahahaha!!!) na Rufaa ni Vatican. Haya TEC ipo wapi hapo? Achana na mambo ya Ukardinali maana Kardinali HANA mamlaka yoyote kwa Askofu wa Jimbo. Kwahiyo simzungumzii hapa.
 
Hapana, sio lazima uaamini au ukubali..

Lakini unadhani utakuwa ni mtu wa namna gani wewe unayeamini kuwa Kassimu Majaliwa ni Waziri Mkuu wa Uingereza halafu akatokea mtu akakwambia kuwa, hapana huyo ni Waziri Mkuu wa JMT na wewe ukang'ang'ana kusema si lazima niamini wala kukubali hilo kwa sababu mimi najua Kassimu Majaliwa ni PM wa Uingereza..?

Haya. Akili kumkichwa. Tafakari hili kwa wakati wako.

Kwa heri, usiku mwema ndugu yangu
Dah! Mfano wako ni off point kabisa! Lakini naheshimu maoni yako! Ahahahahaha!!!
 
Hakuna Cha kuhitaji akili hapo...Askofu alikuwa wazi...anaunga mkono uwekezaji....serikali iwe tayari kukosolewa...tunavyokosoa msiseme tunachanganya dinina siasa ...amani na usalama wa nchi ni muhimu.
Shoo hajasema anaunga mkono mkataba wa DPWorld...
TEC wanaunga mkono uwekezaji
Ila kwenye bandari TEC wanasema kusiwe na mwekezaji mmoja
TEC wanapinga mkataba na uwekezaji wa DP World peke yao..
Hata show hajasema anataka DP world wapewe
 
Naangalia maoni ya wasomaji, na maneno ya rais, ufahamu ni tatizo. Kuna dalili za kushabikia maoni ya Askofu Shoo kama ahueni kufuatia Waraka wa Katoliki kumbe ni uzi ule ule! Katoliki hawakupinga Uwekezaji.

Tatizo ni Mkataba. Askofu Shoo anasema anaunga mkono Uwekezaji. Hajasema anaunga mkono Mkataba! Rais naye anaongeza hakuna wa kutugawa! Nani kawagawa? Sema juu ya MKataba! Kuna kundi linaonekana kujawa furaha ya matumaini ya kuungwa mkonoi na KKKT! Hawajiulizi uwekezaji nani kaukataa?

Nionavyo KKKT na Katoliki wako pamoja. Katoliki wameenda mbali zaidi na kuukosoa mkataba kwa maandishi. Ninayo hisia kwamba siku chache zijazo baada ya rais kuwapisha jukwaa lao, KKT watakuja na msimamo halisi unaohusu Mkataba.
Niliamuwa kunyamaza kimya na naendelea kunyamaza kimya.

Hakuna mwenye misuli na ubavu wa kuligawa taifa hili/
Hakuna mwenye misuli na ubavu wa kuuza taifa hili.

Hakuna mwenye misuli na ubavu wa kuharibu amani na salama tuliojenga kwenye taifa hili.

Hayo itoshe kuwa ujumbe wangu kwenu. - mama Samia - KKkT Arusha 21/08/2023.

Kukuza kusimamia na kuenzi maadili yetu ni kazi ya kanisa.
 
Swala la uwekezaji sio mjadala Tena labda huko Korea kaskazini lkn hapa nchini hatuna hoja ya kukubali ama kupinga uwekezaji hapa hoja ni DUBAI PORTS WORLD kama mtu Hana hoja apige kimya ajadili mengine!!!
Waluteri wajadili kujenga na kusimamia shule zao vizuri nyingi zimedorora saaana na elimu haitolewi Kwa kiwango!
 
Eti wajinga wengi isije kuwa wew ndo mjinga [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Nikichambua hutuba ya huyo askofu ni kuwa viongozi wa dini zote hawakuunga mkono mkataba bali waliunga/wanaunga mkono uwekezaji.

Between lines !!!Kwa kutumia hio hutuba ya askofu kuna makundi matatu ya viongozi wa dini

01. Wanaunga mkono mkataba baada ya kuelewa/kueleweshwa.

02.Kuna viongozi wa kidini bado hawajaelewa kilichomo kweny mkataba wataelewa mda si mrefu,mfano ni KKKT.

03.Kuna viongozi wa kidini wao shida yao ni DP WORLD. Mwakilishi wa CATHOLIC alipeleka maoni ya wa-catholic,ajabu wametoa walaka wa kukataa mkataba na uwekezaji kipindi ambacho bado serikal inafanyia kazi maoni yao.Vipi kama serikal itafanyia kazi maoni yao je watakuja na walaka mpya.

Kwanin wamekua na haraka ya kutoa walaka wakati maoni bado yanafanyiwa kazi?
Serikali ingekuwa inafanyia kazi maoni usingemsikia Waziri Mabarawa akiitetea DPW,Usingewasikia akina Msando na wengine kuzunguka nchini nzima kuitetea DPW.Ukweli ni kuwa serikali ilishafunga TEC sio wajinga kuja na waraka.Lakini Kila Mmoja atafakari anafanya lolote kwa maslahi ya nani?Mimi binafsi nimefuatilia DPW na Djibouti NJ imegundua DPW ni impeliast company hivyo hupaswi kudeal nayo kwa hisia unshitaji utaalamu wa hali juu sana kudeal nao.
 
Back
Top Bottom