Ryzen
JF-Expert Member
- Dec 6, 2012
- 7,301
- 8,706
Naomba niendelee kukufunza Kijana, TEC ina clerical justification kwa sababu wanachama wake wote ni waklero. Kwenye hao waklero Kuna Cardinal ambaye ana titular church kule Rome, na Rome Ina Askofu wake ambaye ni Papa. Umeona hio chain?Ahahahahaha! TEC is just a "Tea Party Meeting". Haina Clerical justification yoyote na ndio maana Tamko lake sio Tamko la Kanisa Katoliki. Kanisa Katoliki Tanzania na Ulimwenguni yanongozwa na Tamko la Jimbo Katoliki na Msemaji wake ni Askofu wa Jimbo Katoliki husika. TEC is just a Tea Party Meeting! Ahahahahaha!!!!
Usiwe Mjinga be well informed