Na ndo inavyotakiwa ili usiharibu shughuli.Shoo pale amepuliza na kungata kidogo
Amekuwa kinafikinafi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na ndo inavyotakiwa ili usiharibu shughuli.Shoo pale amepuliza na kungata kidogo
Amekuwa kinafikinafi
Wewe unadhani anaunga mkono uwekezaji gani? Maana uwekezaji uko tangu Awamu ya MkapaSi kweli uwekezaji ni jambo lingine na mkataba ni jambo lingine
Makonda alimgomea Shoo kumpatanisha na Mbowe Lakini akamkubalia Shujaa JPM kumpatanisha na Ruge!Na ndo inavyotakiwa ili usiharibu shughuli.
Mbna mbali uko Ni Sasa HV ndio anapaswa kutupishaHuyu mama apite kushoto 2025. Hana uwezo wa kuongoza hili Taifa kabisa.
Aidha, Askofu anasema maoni yao kuhusu suala hilo walikwishayawasilisha kwa Rais katika ujumla wao walipopewa nafasi kuonana naye; na Rais akawaambia atayafanyia kazi. Inaonekana Rais hajawapa majibu vinginevyo angempongeza. Sasa hayo maoni yao ni Rais na Viongozi wa dini mbalimbali wanaoyafahamu. Huu unaona ndiyo ujumbe wenyewe .Naangalia maoni ya wasomaji, na maneno ya rais, ufahamu ni tatizo. Kuna dalili za kushabikia maoni ya Askofu Shoo kama ahueni kufuatia Waraka wa Katoliki kumbe ni uzi ule ule! Katoliki hawakupinga Uwekezaji.
Tatizo ni Mkataba. Askofu Shoo anasema anaunga mkono Uwekezaji. Hajasema anaunga mkono Mkataba! Rais naye anaongeza hakuna wa kutugawa! Nani kawagawa? Sema juu ya MKataba! Kuna kundi linaonekana kujawa furaha ya matumaini ya kuungwa mkonoi na KKKT! Hawajiulizi uwekezaji nani kaukataa?
Nionavyo KKKT na Katoliki wako pamoja. Katoliki wameenda mbali zaidi na kuukosoa mkataba kwa maandishi. Ninayo hisia kwamba siku chache zijazo baada ya rais kuwapisha jukwaa lao, KKT watakuja na msimamo halisi unaohusu Mkataba.
Huo ndo mtego ambao wajinga wengi hawajuelewa. Askofu kajibu kimtego no direct answerNaangalia maoni ya wasomaji, na maneno ya rais, ufahamu ni tatizo. Kuna dalili za kushabikia maoni ya Askofu Shoo kama ahueni kufuatia Waraka wa Katoliki kumbe ni uzi ule ule! Katoliki hawakupinga Uwekezaji.
Tatizo ni Mkataba. Askofu Shoo anasema anaunga mkono Uwekezaji. Hajasema anaunga mkono Mkataba! Rais naye anaongeza hakuna wa kutugawa! Nani kawagawa? Sema juu ya MKataba! Kuna kundi linaonekana kujawa furaha ya matumaini ya kuungwa mkonoi na KKKT! Hawajiulizi uwekezaji nani kaukataa?
Nionavyo KKKT na Katoliki wako pamoja. Katoliki wameenda mbali zaidi na kuukosoa mkataba kwa maandishi. Ninayo hisia kwamba siku chache zijazo baada ya rais kuwapisha jukwaa lao, KKT watakuja na msimamo halisi unaohusu Mkataba.
Mkataba ufanyiwe marekebishoUwekezaji ndio Mkataba
Wew mweny ufaham nikuulizeNaangalia maoni ya wasomaji, na maneno ya rais, ufahamu ni tatizo. Kuna dalili za kushabikia maoni ya Askofu Shoo kama ahueni kufuatia Waraka wa Katoliki kumbe ni uzi ule ule! Katoliki hawakupinga Uwekezaji.
Tatizo ni Mkataba. Askofu Shoo anasema anaunga mkono Uwekezaji. Hajasema anaunga mkono Mkataba! Rais naye anaongeza hakuna wa kutugawa! Nani kawagawa? Sema juu ya MKataba! Kuna kundi linaonekana kujawa furaha ya matumaini ya kuungwa mkonoi na KKKT! Hawajiulizi uwekezaji nani kaukataa?
Nionavyo KKKT na Katoliki wako pamoja. Katoliki wameenda mbali zaidi na kuukosoa mkataba kwa maandishi. Ninayo hisia kwamba siku chache zijazo baada ya rais kuwapisha jukwaa lao, KKT watakuja na msimamo halisi unaohusu Mkataba.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] BADO HAMJASEMA MPAKA MSEMEKuna mtu alikuja na uzi wa kupotosha ili awe wakwanza,nashukuru Moderators walirekebisha.
Kinachoungwa mkono ni Uwekezaji wa bandari na sio mkataba wa DP world.
Hawa walianza pamoja dini zote, kundi kubwa pamoja na Waislamu, wakaelezwa na Prifessor Mbarawa na timu yake weeeee tukadhani wameelewa. Msemaji wa siku ile Padri Katima, kada wa CHADEMA, akapemyeza ya kwake kuwasemea wenziye Mufti akagutu.Naangalia maoni ya wasomaji, na maneno ya rais, ufahamu ni tatizo. Kuna dalili za kushabikia maoni ya Askofu Shoo kama ahueni kufuatia Waraka wa Katoliki kumbe ni uzi ule ule! Katoliki hawakupinga Uwekezaji.
Tatizo ni Mkataba. Askofu Shoo anasema anaunga mkono Uwekezaji. Hajasema anaunga mkono Mkataba! Rais naye anaongeza hakuna wa kutugawa! Nani kawagawa? Sema juu ya MKataba! Kuna kundi linaonekana kujawa furaha ya matumaini ya kuungwa mkonoi na KKKT! Hawajiulizi uwekezaji nani kaukataa?
Nionavyo KKKT na Katoliki wako pamoja. Katoliki wameenda mbali zaidi na kuukosoa mkataba kwa maandishi. Ninayo hisia kwamba siku chache zijazo baada ya rais kuwapisha jukwaa lao, KKT watakuja na msimamo halisi unaohusu Mkataba.
Inauma lakini mustahamili tu mutazoea Bandari ndio hiyo imeenda poleni sanaUtake usitake hao jamaa hawakuja Tanzania.
Na hili mkalitazame...Naangalia maoni ya wasomaji, na maneno ya rais, ufahamu ni tatizo. Kuna dalili za kushabikia maoni ya Askofu Shoo kama ahueni kufuatia Waraka wa Katoliki kumbe ni uzi ule ule! Katoliki hawakupinga Uwekezaji.
Tatizo ni Mkataba. Askofu Shoo anasema anaunga mkono Uwekezaji. Hajasema anaunga mkono Mkataba! Rais naye anaongeza hakuna wa kutugawa! Nani kawagawa? Sema juu ya MKataba! Kuna kundi linaonekana kujawa furaha ya matumaini ya kuungwa mkonoi na KKKT! Hawajiulizi uwekezaji nani kaukataa?
Nionavyo KKKT na Katoliki wako pamoja. Katoliki wameenda mbali zaidi na kuukosoa mkataba kwa maandishi. Ninayo hisia kwamba siku chache zijazo baada ya rais kuwapisha jukwaa lao, KKT watakuja na msimamo halisi unaohusu Mkataba.
Hiyo ndio imeendaKuna mtu alikuja na uzi wa kupotosha ili awe wakwanza,nashukuru Moderators walirekebisha.
Kinachoungwa mkono ni Uwekezaji wa bandari na sio mkataba wa DP world.
Inauma lakini mustahamili tu mutazoea Bandari ndio hiyo imeenda poleni sanaNaangalia maoni ya wasomaji, na maneno ya rais, ufahamu ni tatizo. Kuna dalili za kushabikia maoni ya Askofu Shoo kama ahueni kufuatia Waraka wa Katoliki kumbe ni uzi ule ule! Katoliki hawakupinga Uwekezaji.
Tatizo ni Mkataba. Askofu Shoo anasema anaunga mkono Uwekezaji. Hajasema anaunga mkono Mkataba! Rais naye anaongeza hakuna wa kutugawa! Nani kawagawa? Sema juu ya MKataba! Kuna kundi linaonekana kujawa furaha ya matumaini ya kuungwa mkonoi na KKKT! Hawajiulizi uwekezaji nani kaukataa?
Nionavyo KKKT na Katoliki wako pamoja. Katoliki wameenda mbali zaidi na kuukosoa mkataba kwa maandishi. Ninayo hisia kwamba siku chache zijazo baada ya rais kuwapisha jukwaa lao, KKT watakuja na msimamo halisi unaohusu Mkataba.
Aaa Wapi !Bado mtasema tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Dp world karibuni Tanzania