Askofu Shoo Hajasema anaunga mkono Mkataba. Kasema uwekezaji

Askofu Shoo Hajasema anaunga mkono Mkataba. Kasema uwekezaji

Ni kitu hichohicho tu, Kanisa la Luteri washalambishwa asali
 
Naangalia maoni ya wasomaji, na maneno ya rais, ufahamu ni tatizo. Kuna dalili za kushabikia maoni ya Askofu Shoo kama ahueni kufuatia Waraka wa Katoliki kumbe ni uzi ule ule! Katoliki hawakupinga Uwekezaji.

Tatizo ni Mkataba. Askofu Shoo anasema anaunga mkono Uwekezaji. Hajasema anaunga mkono Mkataba! Rais naye anaongeza hakuna wa kutugawa! Nani kawagawa? Sema juu ya MKataba! Kuna kundi linaonekana kujawa furaha ya matumaini ya kuungwa mkonoi na KKKT! Hawajiulizi uwekezaji nani kaukataa?

Nionavyo KKKT na Katoliki wako pamoja. Katoliki wameenda mbali zaidi na kuukosoa mkataba kwa maandishi. Ninayo hisia kwamba siku chache zijazo baada ya rais kuwapisha jukwaa lao, KKT watakuja na msimamo halisi unaohusu Mkataba.
Alikuwa na bifu ba Dkt Magufuli, so hana namna nyingine zaidi ya kuunga mkono
 
Alikuwa na bifu ba Dkt Magufuli, so hana namna nyingine zaidi ya kuunga mkono
1692628177184.png
 
Attachment
 

Attachments

  • 1692628279155.jpg
    1692628279155.jpg
    23.3 KB · Views: 1
Hawa walianza pamoja dini zote, kundi kubwa pamoja na Waislamu, wakaelezwa na Prifessor Mbarawa na timu yake weeeee tukadhani wameelewa. Msemaji wa siku ile Padri Katima, kada wa CHADEMA, akapemyeza ya kwake kuwasemea wenziye Mufti akagutu. Wakasubiri Bunge, likaafiki. Wakaenda Mahakamani, wakatupwa. Hapo ndiyo Pd Kitima akaishiwa subira akawaacha wenziye akaja na Waraka wa dini moja akaona wenziye hawatukani vya kutosha. Akarudia yale yale yaliyofafanuliwa na Mbarawa au Mahakama. Pd Kitima ni RC kada wa CHADEMA ambacho ni Chama cha KKKT. Bila shaka wanamshangaa wanasubiri waone his next steps. Wakiona anawaharibia watamfix.
Una maana kutuambia kwamba viongozi wa dini ndio walienda mahakamani?

Wewe .mpumbavu mmoja hivi unaijua nguvu ya TEC au unaongea as if unaongelea Yanga au Simba Sports Club?

Jitambue kwanza kabla ya kuelezea ujinga wako humu!
Na uondowe kubazi usoni ili uione Dunia kwa macho yako badala ya tumbo lako!

Na kisha uje na majibu ya hizi hoja hapa!
Hoja kuu zinazohitaji majibu ni hizi hapa

1.) Tofauti ya ‘Makubaliano’ na ‘Mkataba’ ni ipi hasa kiasi mseme ule sio mkataba, kwamba ni makubaliano tu ya awali, na je Mkataba huo (makubaliano hayo) ni wa miaka mingapi? (UKOMO)

2.) Ni kwa faida ya nani kwamba DPW anapewa haki ya bandari zote za Tanganyika, kwamba hakuna mwekezaji mwingine yeyote anaweza kuja kufanya uwekezaji kwenye bandari za Tanganyika bila udalali wa DPW, je, ukiritimba huu ni kwa faida ya nani?

3.) Ni kwa faida ya nani, DPW apewe haki ya kudai kipande chochote cha ardhi yenye ukubwa wowote anaoutaka yeye ndani ya ‘Territory’ ya Tanganyika na sisi tumpe ardhi hiyo kwa kuondoa watu na miradi yote ndani ya eneo alilolitaka, na tumpatie bire kabisa kwa gharama zetu sisi, hata fidia tulipe sisi ili kuondoa watu kumpisha, huu uwendawazimu ni kwa faida ya nani?

4.) Ni kwa faida ya nani, kwamba sisi tuliowekeza matrillion ya mikopo kuendeleza bandari na tukiwa kama wamiliki wa rasimali ya bandari, tupate 0% ya faida itakayotokana na uendeshaji wa huduma za kibandari, yaani ni kana kwamba yeye kawekeza 100% na hivyo achukue 100%? Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

5.) Ni kwa faida ya nani, kwamba mkataba unahusisha bandari za Tanganyika tu na sio za Zanzibar, ilihali bandari ni suala la Muungano? Je, Zanzibar haitaki kunufaika au yenyewe haitaki matunda ya mkataba huu? Ukizingatia walioongia huu mkataba wote ni waZanzibari, kuanzia Samiah Suluhu Hassan, Makame Mbarawah, Hamza Johari na wenzao, kwamba hawataki Zanzibar yao ipate matunda mazuri ya mkataba huu?!

6.) Ni kwa faida ya nani kusema kwamba, hata DPW akavunja mkataba na kukiuka kanuni na taratibu zote zinazotambulika kimataifa, bado hatutaweza kuvunja , kuusema vibaya au kujitoa kwenye mkataba, milele! Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

7.) Ni kwa faida ya nani kwamba pamoja na kuwa DPW watachukua 100% ya faida, bado tena faida hiyo watapewa Msamaha wa kodi kwa 100%, yaani hata hicho wanachovuna nacho hatuchukui kodi, na wakti huo huo tunakamuliwa kodi za miamala, uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

Baadhi ya mambo kama sio size ya ubongo wako,ni vema ukaishia kusoma na kukaa kimya.
Hatuongelei kitanda cha mtu hapa.
Tunaongelea raslimali za taifa ambalo ni nyumbani kwa watanzania milioni 62.
 
Naangalia maoni ya wasomaji, na maneno ya rais, ufahamu ni tatizo. Kuna dalili za kushabikia maoni ya Askofu Shoo kama ahueni kufuatia Waraka wa Katoliki kumbe ni uzi ule ule! Katoliki hawakupinga Uwekezaji.

Tatizo ni Mkataba. Askofu Shoo anasema anaunga mkono Uwekezaji. Hajasema anaunga mkono Mkataba! Rais naye anaongeza hakuna wa kutugawa! Nani kawagawa? Sema juu ya MKataba! Kuna kundi linaonekana kujawa furaha ya matumaini ya kuungwa mkonoi na KKKT! Hawajiulizi uwekezaji nani kaukataa?

Nionavyo KKKT na Katoliki wako pamoja. Katoliki wameenda mbali zaidi na kuukosoa mkataba kwa maandishi. Ninayo hisia kwamba siku chache zijazo baada ya rais kuwapisha jukwaa lao, KKT watakuja na msimamo halisi unaohusu Mkataba.


View: https://youtu.be/PmpUtW84nzw
 
Una maana kutuambia kwamba viongozi wa dini ndio walienda mahakamani?

Wewe .mpumbavu mmoja hivi unaijua nguvu ya TEC au unaongea as if unaongelea Yanga au Simba Sports Club?

Jitambue kwanza kabla ya kuelezea ujinga wako humu!
Na uondowe kubazi usoni ili uione Dunia kwa macho yako badala ya tumbo lako!

Na kisha uje na majibu ya hizi hoja hapa!
Hoja kuu zinazohitaji majibu ni hizi hapa

1.) Tofauti ya ‘Makubaliano’ na ‘Mkataba’ ni ipi hasa kiasi mseme ule sio mkataba, kwamba ni makubaliano tu ya awali, na je Mkataba huo (makubaliano hayo) ni wa miaka mingapi? (UKOMO)

2.) Ni kwa faida ya nani kwamba DPW anapewa haki ya bandari zote za Tanganyika, kwamba hakuna mwekezaji mwingine yeyote anaweza kuja kufanya uwekezaji kwenye bandari za Tanganyika bila udalali wa DPW, je, ukiritimba huu ni kwa faida ya nani?

3.) Ni kwa faida ya nani, DPW apewe haki ya kudai kipande chochote cha ardhi yenye ukubwa wowote anaoutaka yeye ndani ya ‘Territory’ ya Tanganyika na sisi tumpe ardhi hiyo kwa kuondoa watu na miradi yote ndani ya eneo alilolitaka, na tumpatie bire kabisa kwa gharama zetu sisi, hata fidia tulipe sisi ili kuondoa watu kumpisha, huu uwendawazimu ni kwa faida ya nani?

4.) Ni kwa faida ya nani, kwamba sisi tuliowekeza matrillion ya mikopo kuendeleza bandari na tukiwa kama wamiliki wa rasimali ya bandari, tupate 0% ya faida itakayotokana na uendeshaji wa huduma za kibandari, yaani ni kana kwamba yeye kawekeza 100% na hivyo achukue 100%? Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

5.) Ni kwa faida ya nani, kwamba mkataba unahusisha bandari za Tanganyika tu na sio za Zanzibar, ilihali bandari ni suala la Muungano? Je, Zanzibar haitaki kunufaika au yenyewe haitaki matunda ya mkataba huu? Ukizingatia walioongia huu mkataba wote ni waZanzibari, kuanzia Samiah Suluhu Hassan, Makame Mbarawah, Hamza Johari na wenzao, kwamba hawataki Zanzibar yao ipate matunda mazuri ya mkataba huu?!

6.) Ni kwa faida ya nani kusema kwamba, hata DPW akavunja mkataba na kukiuka kanuni na taratibu zote zinazotambulika kimataifa, bado hatutaweza kuvunja , kuusema vibaya au kujitoa kwenye mkataba, milele! Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

7.) Ni kwa faida ya nani kwamba pamoja na kuwa DPW watachukua 100% ya faida, bado tena faida hiyo watapewa Msamaha wa kodi kwa 100%, yaani hata hicho wanachovuna nacho hatuchukui kodi, na wakti huo huo tunakamuliwa kodi za miamala, uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?


View: https://youtu.be/PmpUtW84nzw
 
Askofu Dk. Shoo kaongea kwa busara sana. Amesema waliishawahi kwenda Ikulu na mapendekezo yao wakiwemo TEC, BAKWATA na wao CCT. Akasema anaamini walichoshauri kitashughulikiwa na wakiona imeenda tofauti basi wao watatoa Waraka. Hao TEC wamekurupuka!

Binafsi niwashauri TEC. Wawe makini sana na Baba Padre Dk. Kitima. Alikuwa Makamu Mkuu wa Chuo SAUT wakati nasoma pale 2006 - 2009. Ni mtu wa kukurupuka na kuongea kabla ya kufikiri. Hata wao Mababa Askofu wanalijua Hilo na wanajua pia ndio sababu ameshindwa kuupata Ubaba Askofu kutokana na hilo. Wawe makini asiwapotoshe!

Ni kama ukienda kucheza miaka mitatu SAUTI. Walipoenda walienda kama TEC, BAKWATA na CCT. Hawakwenda kama taasisi moja bali tatu. Unatarajia kwa utofauti wao pia watoe maoni yao kwa njia moja, wakati mmoja, namna moja?? Huku wakiwa hawana ushawishi wa aina moja, msukumo mmoja na ujasiri wa aina moja?

Msomi unayeshindwa kueleza ni lini walifanya mawasilisho yao Ikulu (kabla au baada ya mkataba kupitishwa na bunge). Msomi asiyeweza kusema majibu ya Ikulu kwa taasisi hizo ni yapi. Msomi usiyeweza kujua kwanini hasa TEC ametoa sasa hivi - je haiwezi kuwa walichoshauri ndio hakikuzingatiwa hata kwa uchache tu??

Ninadhani umekusudia kutuambia ulikuwa SAUT miaka hiyo. Au ulimfahamu Pd. Kitima lakini umeshindwa kutaja hata jambo moja alilokurupuka na kusema bila kufiriki na matokeo yake yalikuwa nini.

Tatizo la nchi hii ni kuwa na vijana walioenda vyuoni lakini uwezo wao wa kufanya tafakuri ni wa chini!! Ni nchi hii pekee ambapo umasikini ni sifa katika uongozi! Ni nchi hii pekee ambapo dereva wa halmashauri anatakiwa kuwa na elimu ya kidato cha nne lakini mbunge ajue kusoma na kuandika (sio lazima awe amemaliza shule ya msingi). Watu mnaotegemewa kufanya mambo kwa tafakuri ya kitaalamu ndio mnaoongoza kwa fikra za hovyo.
 
Wew mweny ufaham nikuulize

Kama viongoz wa dini walienda ikulu kupeleaka maoni yao WHY WATOE WALAKA KABLA YA KUJUA KAMA MAONI YAO YAMEFANYIWA KAZI AMA LAA?

I DECLARE HATA KAMA INGEKUA BAKWATA AU TAASISI YOYOTE YA DINI YA KIISLAM NINGEPINGANA NA WALAKA WAO
Bakwata ni CCM Tamko la nini?
 
Naangalia maoni ya wasomaji, na maneno ya rais, ufahamu ni tatizo. Kuna dalili za kushabikia maoni ya Askofu Shoo kama ahueni kufuatia Waraka wa Katoliki kumbe ni uzi ule ule! Katoliki hawakupinga Uwekezaji.

Tatizo ni Mkataba. Askofu Shoo anasema anaunga mkono Uwekezaji. Hajasema anaunga mkono Mkataba! Rais naye anaongeza hakuna wa kutugawa! Nani kawagawa? Sema juu ya MKataba! Kuna kundi linaonekana kujawa furaha ya matumaini ya kuungwa mkonoi na KKKT! Hawajiulizi uwekezaji nani kaukataa?

Nionavyo KKKT na Katoliki wako pamoja. Katoliki wameenda mbali zaidi na kuukosoa mkataba kwa maandishi. Ninayo hisia kwamba siku chache zijazo baada ya rais kuwapisha jukwaa lao, KKT watakuja na msimamo halisi unaohusu Mkataba.
Mbona huyu hapa karipoti vingine?

Hebu pandisheni clip ili kila mmoja asikie kwa usahihi ni kitu gani kilichosemwa kuliko kila mmoja na censor maudhui ili kufurahisha bwana riziki.
 
Wew mweny ufaham nikuulize

Kama viongoz wa dini walienda ikulu kupeleaka maoni yao WHY WATOE WALAKA KABLA YA KUJUA KAMA MAONI YAO YAMEFANYIWA KAZI AMA LAA?

I DECLARE HATA KAMA INGEKUA BAKWATA AU TAASISI YOYOTE YA DINI YA KIISLAM NINGEPINGANA NA WALAKA WAO
Naangalia umejiunga JF tangu 2014, lakini uandikaji wako ni kama kijana wa form2 kwa nini? Unaandika kama unazungumza na jilani. Kuna maneno ya kutumia wakati unaandika na kuna maneno kwa mazungumzo ya ana kwa ana!
 
Mbona huyu hapa karipoti vingine?

Hebu pandisheni clip ili kila mmoja asikie kwa usahihi ni kitu gani kilichosemwa kuliko kila mmoja na censor maudhui ili kufurahisha bwana riziki.
Unategemea nini kama mwandishi ni Rostam Aziz? au UVCCM? Wao wanasubili tu! Siku rais akisema mkataba utapitiwa, mara moja wanashangilia kwamba ni msikivu. Akitekeleza ilivyo, watasifia kwamba rais anaona mbali. Ni wale ambao husema A na B ni majibu sahihi.
 
Huo ndo mtego ambao wajinga wengi hawajuelewa. Askofu kajibu kimtego no direct answer
Eti wajinga wengi isije kuwa wew ndo mjinga [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Nikichambua hutuba ya huyo askofu ni kuwa viongozi wa dini zote hawakuunga mkono mkataba bali waliunga/wanaunga mkono uwekezaji.

Between lines !!!Kwa kutumia hio hutuba ya askofu kuna makundi matatu ya viongozi wa dini

01. Wanaunga mkono mkataba baada ya kuelewa/kueleweshwa.

02.Kuna viongozi wa kidini bado hawajaelewa kilichomo kweny mkataba wataelewa mda si mrefu,mfano ni KKKT.

03.Kuna viongozi wa kidini wao shida yao ni DP WORLD. Mwakilishi wa CATHOLIC alipeleka maoni ya wa-catholic,ajabu wametoa walaka wa kukataa mkataba na uwekezaji kipindi ambacho bado serikal inafanyia kazi maoni yao.Vipi kama serikal itafanyia kazi maoni yao je watakuja na walaka mpya.

Kwanin wamekua na haraka ya kutoa walaka wakati maoni bado yanafanyiwa kazi?
 
Katika Hili Mama kaharibu, Akisema aufute Mkataba kaharibu,

Akisema asisikilize maoni yetu wananchi na walio wengi Bado anaendelea kuharibu.

Ungekua wewe ni Rais na umeshafanya hili kosa unachomokaje kwenye huu mtego ambao ni wazi kabisa umeshanasa.
 
Naangalia maoni ya wasomaji, na maneno ya rais, ufahamu ni tatizo. Kuna dalili za kushabikia maoni ya Askofu Shoo kama ahueni kufuatia Waraka wa Katoliki kumbe ni uzi ule ule! Katoliki hawakupinga Uwekezaji...
BORA UMEWAFAFANULIA
87b9dffcede6ccc70be2e19089b2cb3f.jpg
 
Back
Top Bottom