Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Vifutu wote tupa nje.
Pambafu.
Pambafu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na habari za YESU zitasemwa na nani kama siku ya ufufuo wapakwa mafuta wataongelea habari za panga pangua za samia?Maharamia lazima wasemwe maana hakuna namna kwenye uongozi wa mama Samia atawacha
9. Biswalo Mganga- DPP#HABARI Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Askofu Dk. Frederick Shoo amesema wale wote waliokuwa wanajifanya vifutu, kwa sasa chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan, wakae mguu sawa, wakae tayari./https://bit.ly/3sR1WwS
NB:
Kwa kusaidia niwataje tu vifutu ili kumraisishia Rais wetu kazi...
1. Dr. Bashiru - Huyu Rais kashafanya kazi nzuri sana. Na tayari jana karudi home kwake Msewe.... Wiki hii ndio atanunua gari lake binafsi
2. Chalamila - RC Mbeya
3. Ole Sabaya
4. Salum Hapi
5. Pole Pole
6. Mpogolo
7. Jafo - Tayari kaporomoshwa
8 Doto James
9.
10.
Haongelei serikalini, anaongelea kanisani.Samahani, hayo yanahusiana vipi na ufufuko? Ya kaisari tumwachie kaisari. Leo siku muhimu, pangua pangua ni kazi ya mama Samia si ya YESU. Leo tungeelezana habari za ufufuo.
Exactly....kumbe huyu mzee akili yake sio nzuriSamahani, hayo yanahusiana vipi na ufufuko? Ya kaisari tumwachie kaisari. Leo siku muhimu, pangua pangua ni kazi ya mama Samia si ya YESU. Leo tungeelezana habari za ufufuo.
Jerry Muro#HABARI Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Askofu Dk. Frederick Shoo amesema wale wote waliokuwa wanajifanya vifutu, kwa sasa chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan, wakae mguu sawa, wakae tayari./https://bit.ly/3sR1WwS
NB:
Kwa kusaidia niwataje tu vifutu ili kumraisishia Rais wetu kazi...
1. Dr. Bashiru - Huyu Rais kashafanya kazi nzuri sana. Na tayari jana karudi home kwake Msewe.... Wiki hii ndio atanunua gari lake binafsi
2. Chalamila - RC Mbeya
3. Ole Sabaya
4. Salum Hapi
5. Pole Pole
6. Mpogolo
7. Jafo - Tayari kaporomoshwa
8 Doto James
9.
10.
Kweli viongozi wa dini wa karne hii ni shida mno. Wanaweza kuwa washirikina au wapiga ramli chonganishiSamahani, hayo yanahusiana vipi na ufufuko? Ya kaisari tumwachie kaisari. Leo siku muhimu, pangua pangua ni kazi ya mama Samia si ya YESU. Leo tungeelezana habari za ufufuo.
Miluzi mingi hupoteza mbwa porini, rais kuwa macho. Wanamtandao na waleeeeee wameanza kubweka utapoteza njia. Askofu Gwajima alisema ukitaka usifike safari yako mapema anza kuogopa mibweko ya mbwa njiani.Saa hizi naona kila mtu ni mshauri wa Rais!
Yaani, wewe, kwa uwezo wa kuchapa kazi na kuonyesha matokeo bayana wa Mheshimiwa Balozi Dr. Bashiru Ally Kakurwa ; ni kuendeshwa kwenye magari ya kazini lililokuwa linakupa kijiba cha roho! Kwa kweli Umasikini wa akili ni mbaya sana!#HABARI Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Askofu Dk. Frederick Shoo amesema wale wote waliokuwa wanajifanya vifutu, kwa sasa chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan, wakae mguu sawa, wakae tayari./https://bit.ly/3sR1WwS
NB:
Kwa kusaidia niwataje tu vifutu ili kumraisishia Rais wetu kazi...
1. Dr. Bashiru - Huyu Rais kashafanya kazi nzuri sana. Na tayari jana karudi home kwake Msewe.... Wiki hii ndio atanunua gari lake binafsi
2. Chalamila - RC Mbeya
3. Ole Sabaya
4. Salum Hapi
5. Pole Pole
6. Mpogolo
7. Jafo - Tayari kaporomoshwa
8 Doto James
9.
10.
No hovyo sanaJamaa namuonaga vipi! Mungu anisamehe bure!
Lkn yote hayo yanatokana na aliyekuwa mteuzi wao maana pamoja na hizo kashfa kwa wastaafu hakuna siku tulisikia amemkemea.Jamaa namuonaga vipi! Mungu anisamehe bure!
Huo ndiyo ukomo wa kuwaza na kufikiri.CCM ni chama kikubwa Nyalandu amesharejea na kijiji cha Bavicha kadhaa kutoka Ufipa!