Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Huyo haki yake ni kuishia jela maisha yake yoteNa asije akapewa nafasi yoyote serikalini tofauti na nafasi ya kuwa mfungwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo haki yake ni kuishia jela maisha yake yoteNa asije akapewa nafasi yoyote serikalini tofauti na nafasi ya kuwa mfungwa
Na yule dogo wa Arusha mjini aliyetandika watu anaitwa nani vile?#HABARI Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Askofu Dk. Frederick Shoo amesema wale wote waliokuwa wanajifanya vifutu, kwa sasa chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan, wakae mguu sawa, wakae tayari./https://bit.ly/3sR1WwS
NB:
Kwa kusaidia niwataje tu vifutu ili kumraisishia Rais wetu kazi...
1. Dr. Bashiru - Huyu Rais kashafanya kazi nzuri sana. Na tayari jana karudi home kwake Msewe.... Wiki hii ndio atanunua gari lake binafsi
2. Chalamila - RC Mbeya
3. Ole Sabaya
4. Salum Hapi
5. Pole Pole
6. Mpogolo
7. Jafo - Tayari kaporomoshwa
8 Doto James
9.
10.
Kwani kuna ubaya gani kuwakemea watu wa hivyo wasiyo litakia mema taifa letu tulilo achiwa na baba wa taifa tukiwa tumeungana,tunapendana?Haya ndiyo yalikuwa mahubiri ya leo?...[emoji849][emoji849][emoji849]..
Huyo huyoKheri jmes aliyesema Lisu akirudi ni lethal injection
Nyalandu kurudi CCM ni chuki?Huo ndiyo ukomo wa kuwaza na kufikiri.
Kwa sasa watanzania wanafikiria ni vipi tutaliunganisha taifa mlilo ligawa kwa siasa za maji taka na ukabila na udini.
Wewe tena unakuja na huo uoza wa siasa za chuki kipindi hiki?
Ila hayati magufuli alipokuwa anachafua hali ya hewa kanisani haukuwahi kuona siasa si makanisani acha unafikiKwani church siku hizi ni sehemu ya siasa,chuki na fitna?
Church ishughulikie wanakondoo na sio kuingilia yasowahusu.
Tupendane jamani,hata Yesu alikula pamoja na watenda dhambi,tena hakupenda kunyoosheana vidole,kila asie na mapungufu awe wa kwanza kunyooshea wenzie vidole.
Hakuna utawala au mtu anaweza kufit demand za kila mtu.
Askofu ni kiongozi wa kiroho kwa wanadamu woote.Na habari za YESU zitasemwa na nani kama siku ya ufufuo wapakwa mafuta wataongelea habari za panga pangua za samia?
Mahubiri lazima yaakisi maisha halisi ya jamii.....dini na imani zinahusu maisha yote yote ya watu.... Ndio maana viongozi wa kisiasa hawakauki Mimbarani,hawakauki kuwaaihi watumishi wa dini/imani waombe kwa ajili ya mambo yote. Wewe ndiye unayetaka kutenga Si-hasa (maisha ya watu) na Dini/imani. KAMWE HUWEZI TENGANISHA VITU HIVI.Kwani church siku hizi ni sehemu ya siasa,chuki na fitna?
Church ishughulikie wanakondoo na sio kuingilia yasowahusu.
Tupendane jamani,hata Yesu alikula pamoja na watenda dhambi,tena hakupenda kunyoosheana vidole,kila asie na mapungufu awe wa kwanza kunyooshea wenzie vidole.
Hakuna utawala au mtu anaweza kufit demand za kila mtu.
MATAGA safari hii moto utawachoma sanachadema ni chama cha wakristo ?
Mbona jiwe alipokuwa anageuza sehemu ya ibada kuwa jukwaa la mikutano ya ccm hukuwahi kuuliza?Kwani church siku hizi ni sehemu ya siasa,chuki na fitna?
Church ishughulikie wanakondoo na sio kuingilia yasowahusu.
Tupendane jamani,hata Yesu alikula pamoja na watenda dhambi,tena hakupenda kunyoosheana vidole,kila asie na mapungufu awe wa kwanza kunyooshea wenzie vidole.
Hakuna utawala au mtu anaweza kufit demand za kila mtu.
Daima kichaa hashauriki na safari hii tupo na mama Samia ili kuhakikisha nchi inatawalika na kuhakikisha wajinga kama nyinyi hampati nafasi tena ya kulivuruga taifa letu.Nyalandu kurudi CCM ni chuki?
Wewe endelea kunywa mbege huko huko Ufipa!
Walifaa kumkataza basi,sasa leo hayupo mtashindia hayati this hayati that hamuoni mnatakiwa kujikosoa,acheni MUNGU amuhukumu.Ila hayati magufuli alipokuwa anachafua hali ya hewa kanisani haukuwahi kuona siasa si makanisani acha unafiki
Mnafiki tu huyo kipindi wananchi wanadhulumiwa na kuteseka walisafisha majizi kwa sadaka zao.Mbona jiwe alipokuwa anageuza sehemu ya ibada kuwa jukwaa la mikutano ya ccm hukuwahi kuuliza?
MATAGA hamtusumbui tena maana tushajua jinsi ya kuwashughulikiaMnafiki tu huyo haya sasa asubiri sadaka ziongezeke.
Wenzako wanavhukua kadi CCM wewe unasema uko na mama wakati umelala usingizi hapo Ufipa.Daima kichaa hashauriki na safari hii tupo na mama Samia ili kuhakikisha nchi inatawalika na kuhakikisha wajinga kama nyinyi hampati nafasi tena ya kulivuruga taifa letu.
Kuna mtu anaitwa BISWALO MGANGA huyu alijipa nhuvu kuliko za Mahakama#HABARI Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Askofu Dk. Frederick Shoo amesema wale wote waliokuwa wanajifanya vifutu, kwa sasa chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan, wakae mguu sawa, wakae tayari./https://bit.ly/3sR1WwS
NB:
Kwa kusaidia niwataje tu vifutu ili kumraisishia Rais wetu kazi...
1. Dr. Bashiru - Huyu Rais kashafanya kazi nzuri sana. Na tayari jana karudi home kwake Msewe.... Wiki hii ndio atanunua gari lake binafsi
2. Chalamila - RC Mbeya
3. Ole Sabaya
4. Salum Hapi
5. Pole Pole
6. Mpogolo
7. Jafo - Tayari kaporomoshwa
8 Doto James
9.
10.
First of all me sio politician..Mbona jiwe alipokuwa anageuza sehemu ya ibada kuwa jukwaa la mikutano ya ccm hukuwahi kuuliza?
Hata yesu aliwakemea mafarisayo kwa nguvu zoteWalifaa kumkataza basi,sasa leo hayupo mtashindia hayati this hayati that hamuoni mnatakiwa kujikosoa,acheni MUNGU amuhukumu.
Imeandikwa usihukumu ili usije ukahukumiwa nawe,au maandiko mliacha mnafata siasa?
Moja ya kazi za maaskofu ni kuwarejeza kwa upendo kundini waliopotea na sio kuhukumu.
Magu alikuwa anahubiri amani?First of all me sio politician..
And Magu hakuwa mtumishi wa MUNGU bali muumini,sasa tofauti yake na Magu ni nini ikiwa hawezi kusamehe na kuhubiri amani na mshikamano?