leonard kamalamo
Member
- Apr 24, 2020
- 39
- 16
Ametoa maoni yake,mahakama siyo MUNGUHomilia ya Baba Askofu Shoo wakati wa maziko ya Mama Mkwe wake na Mbowe imenistua - Baba Askofu Shoo amepata wapi nguvu za kuituhumu serikali kuwa inamuonea Mbowe ili hali kesi yake iko mahakamani?