Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtumishi wa Mungu huyo .! Ana maono ya haki anachokisema kinatoka rohoni na si mdomoni hamna undumilakuwili moyoni mwake.Homilia ya Baba Askofu Shoo wakati wa maziko ya Mama Mkwe wake na Mbowe imenistua - Baba Askofu Shoo amepata wapi nguvu za kuituhumu serikali kuwa inamuonea Mbowe ili hali kesi yake iko mahakamani?
Jaribu kutumia brain.Homilia ya Baba Askofu Shoo wakati wa maziko ya Mama Mkwe wake na Mbowe imenistua - Baba Askofu Shoo amepata wapi nguvu za kuituhumu serikali kuwa inamuonea Mbowe ili hali kesi yake iko mahakamani?
Wewe unajiita mlutheri kwa sababu wazazi wako Ni walutheri.Mimi ni mlutheri na nakunywa bia kunae shida?
Wewe Ni mlutheri jina Kama walivyo wanaotumia majina ya kiislamu lkn uislamu hawaujui na hawaufuati.Mimi ni mlutheri na nakunywa bia kunae shida?
Homilia ya Baba Askofu Shoo wakati wa maziko ya Mama Mkwe wake na Mbowe imenistua - Baba Askofu Shoo amepata wapi nguvu za kuituhumu serikali kuwa inamuonea Mbowe ili hali kesi yake iko mahakamani?
Homilia ya Baba Askofu Shoo wakati wa maziko ya Mama Mkwe wake na Mbowe imenistua - Baba Askofu Shoo amepata wapi nguvu za kuituhumu serikali kuwa inamuonea Mbowe ili hali kesi yake iko mahakamani?
Nguvu yake imetoka kwenye mambo mawili:Homilia ya Baba Askofu Shoo wakati wa maziko ya Mama Mkwe wake na Mbowe imenistua - Baba Askofu Shoo amepata wapi nguvu za kuituhumu serikali kuwa inamuonea Mbowe ili hali kesi yake iko mahakamani?
[emoji41][emoji41]Hairuhusiwi kusema chochote wakati kesi ikiwa mahakamani.
Haja hukumu ameshauri wenye mamlaka kuwacha kuyatumia vibaya. Uonevu haujawahi kuwaacha wanayeonea salama. Uonevu huwakomaza wanaoonewa dhidi ya waonevu. Uonevu inawajengea wanaoonewa sauti moja na nguvu dhidi ya waonevu.Homilia ya Baba Askofu Shoo wakati wa maziko ya Mama Mkwe wake na Mbowe imenistua - Baba Askofu Shoo amepata wapi nguvu za kuituhumu serikali kuwa inamuonea Mbowe ili hali kesi yake iko mahakamani?
Mtumishi wa Mungu huyo .! Ana maono ya haki anachokisema kinatoka rohoni na si mdomoni hamna undumilakuwili moyoni mwake.
Je kuna ukweli mwingine tofauti na huo?Homilia ya Baba Askofu Shoo wakati wa maziko ya Mama Mkwe wake na Mbowe imenistua - Baba Askofu Shoo amepata wapi nguvu za kuituhumu serikali kuwa inamuonea Mbowe ili hali kesi yake iko mahakamani?
Kesi inayoheshimu sheria isingetolewa maamuzi na mamlaka ikijua iko mahakamani.Homilia ya Baba Askofu Shoo wakati wa maziko ya Mama Mkwe wake na Mbowe imenistua - Baba Askofu Shoo amepata wapi nguvu za kuituhumu serikali kuwa inamuonea Mbowe ili hali kesi yake iko mahakamani?
Kwani serikali haijawahi kumuonea mbowe?Homilia ya Baba Askofu Shoo wakati wa maziko ya Mama Mkwe wake na Mbowe imenistua - Baba Askofu Shoo amepata wapi nguvu za kuituhumu serikali kuwa inamuonea Mbowe ili hali kesi yake iko mahakamani?
Hata wewe huitaji akili ya kuwa umesomeka Sheria au kuwa na IQ kuubwa Sana, Mbowe anatuhumiwa kufadhili ugaidi Kwa Tsh laki 6, narudia, LAKI 6, maana halisi ya ugaidi kila mtu anaijua. Kama hujui hata bastola ndogo yenye thanani hafifu kuimiliki hata Kwa njia isiyo halali ni zaidi ya $ 500 kuinunua.Homilia ya Baba Askofu Shoo wakati wa maziko ya Mama Mkwe wake na Mbowe imenistua - Baba Askofu Shoo amepata wapi nguvu za kuituhumu serikali kuwa inamuonea Mbowe ili hali kesi yake iko mahakamani?
hiyo ni kesi au upuuzi tu. ndio maana hata Samia aliitolea hukumu akiwa jukwaaniHairuhusiwi kusema chochote wakati kesi ikiwa mahakamani.