leonard kamalamo
Member
- Apr 24, 2020
- 39
- 16
Ametoa maoni yake,mahakama siyo MUNGUHomilia ya Baba Askofu Shoo wakati wa maziko ya Mama Mkwe wake na Mbowe imenistua - Baba Askofu Shoo amepata wapi nguvu za kuituhumu serikali kuwa inamuonea Mbowe ili hali kesi yake iko mahakamani?
Ukiambiwa uielezee serikali ya Tanzania kwa njia ya picha, utachora picha ya kitu gani? Huo mchoro wa piacha ya serikali ndio na wewe unataka iwe hivyo?Homilia ya Baba Askofu Shoo wakati wa maziko ya Mama Mkwe wake na Mbowe imenistua - Baba Askofu Shoo amepata wapi nguvu za kuituhumu serikali kuwa inamuonea Mbowe ili hali kesi yake iko mahakamani?
Muulize mumeoSamia- unasema Samia yupi?
Homilia ya Baba Askofu Shoo wakati wa maziko ya Mama Mkwe wake na Mbowe imenistua - Baba Askofu Shoo amepata wapi nguvu za kuituhumu serikali kuwa inamuonea Mbowe ili hali kesi yake iko mahakama
Hapo Kama utaona wakukujibu. Hata yule aliesema mkamuulize aseme ukweli. Askofu shoo haogopi kaamua kuchana mkeka.Kwani tafsiri ya serikali ya kidemokrasia ni nini vile ?
Hebu tujikumbushe maana kisha itakuwa rahisi kumuelewa Askofu Shoo
Anza kwa kumwonya IGPHairuhusiwi kusema chochote wakati kesi ikiwa mahakamani.
Homilia ya Baba Askofu Shoo wakati wa maziko ya Mama Mkwe wake na Mbowe imenistua - Baba Askofu Shoo amepata wapi nguvu za kuituhumu serikali kuwa inamuonea Mbowe ili hali kesi yake iko mahakamani?
Kama mna nguvu hizo mtoeni basi mahabusu tuone
Mahakama uchwara hizi zisizo huru au!?Homilia ya Baba Askofu Shoo wakati wa maziko ya Mama Mkwe wake na Mbowe imenistua - Baba Askofu Shoo amepata wapi nguvu za kuituhumu serikali kuwa inamuonea Mbowe ili hali kesi yake iko mahakamani?
Kwani uongo kila kitu kipo wazi?!Homilia ya Baba Askofu Shoo wakati wa maziko ya Mama Mkwe wake na Mbowe imenistua - Baba Askofu Shoo amepata wapi nguvu za kuituhumu serikali kuwa inamuonea Mbowe ili hali kesi yake iko mahakamani?
Baba askofu Mungu wangu ninayemwabudu akubariki Sana huo ndio ukweli ambao hata sisi makapuku tunauona ila viongozi wa dini wanapokaa kimya inaumiza na kukera SanaHomilia ya Baba Askofu Shoo wakati wa maziko ya Mama Mkwe wake na Mbowe imenistua - Baba Askofu Shoo amepata wapi nguvu za kuituhumu serikali kuwa inamuonea Mbowe ili hali kesi yake iko mahakamani?
Rais samia alipata wapi nguvu na ujasiri wa kumuhukumu mbowe wakati kesi ipo mahakamani?Homilia ya Baba Askofu Shoo wakati wa maziko ya Mama Mkwe wake na Mbowe imenistua - Baba Askofu Shoo amepata wapi nguvu za kuituhumu serikali kuwa inamuonea Mbowe ili hali kesi yake iko mahakamani?
Aliye wananga wadada wacheza mpira wa miguu kuwa wana sura ngumu na vifuani hamna kitu.Samia- unasema Samia yupi?
Sijui kama umenielewa. Kwa Kifupi hao hao waliombambikia kesi watamtoa wenyewe na tayari wameshaanza, au hujui?Kama mna nguvu hizo mtoeni basi mahabusu tuone
Askofu shoo ni mojawapo wa mabwanyenye wa kimachame na ni mfuasi wa chadema. Analeta siasa za chadema kwenye uaskofu wake. Ajue kkkt sio kanisa la wanachadema na walutheri hawajamtuma kutumikia familia ya mbowe. Kama askofu ajue hatakiwi kuleta hisia zake binafsi kwenye utumishi wake.Homilia ya Baba Askofu Shoo wakati wa maziko ya Mama Mkwe wake na Mbowe imenistua - Baba Askofu Shoo amepata wapi nguvu za kuituhumu serikali kuwa inamuonea Mbowe ili hali kesi yake iko mahakamani?