Askofu wa kanisa la Ufunuo ashutumu viongozi wa Kanisa Katoliki kwa kuingilia masuala ya siasa

Askofu wa kanisa la Ufunuo ashutumu viongozi wa Kanisa Katoliki kwa kuingilia masuala ya siasa

ASKOFU Mkuu wa Makanisa ya Ufunuo, Paul Bendera ameongoza jopo la Maaskofu 6 na kutoa tamko Sakata la Bandari.

Askofu Charles Fortunatus aliekuwa miongoni mwa Maaskofu hao amewashutumu viongozi wa dhehebu la Kikatoliki kwakile alichodai kuwa wao ndio wamekuwa chanzo cha vurugu kwenye maeneo mengi duniani kutokana na wao kuingilia masuala ya Siasa.

"...MUNGU aliziamini sana dini, Lakini hizi hizi dini zimekuwa wa kwanza kuleta mvurugo katika Dunia hii.

Bila kuogopa kwa sababu tupo kwenye tamko la Kiaskofu, Sisi Wakristo na Waislamu tunaelewana lakini kwenye Wakristo tumegawanyika madhehebu mengi lakini ukisikia Nchi nyingi zilizovurugika Duniani dini kuu Mama ambayo ni Katoliki imekuwa ya kwanza kuanzisha vurugu Duniani kila mahali.

Mimi niiombe Serikali waishauri Katholiki wasijiingize kwenye masuala ya Siasa, washikilie kwenye upande mmoja tu wa Dini."

[emoji2424] Askofu Charles Fortunatus

View attachment 2725068
Huyu ni askofu kweli mbona kama panya road
 
ASKOFU Mkuu wa Makanisa ya Ufunuo, Paul Bendera ameongoza jopo la Maaskofu 6 na kutoa tamko Sakata la Bandari.

Askofu Charles Fortunatus aliekuwa miongoni mwa Maaskofu hao amewashutumu viongozi wa dhehebu la Kikatoliki kwakile alichodai kuwa wao ndio wamekuwa chanzo cha vurugu kwenye maeneo mengi duniani kutokana na wao kuingilia masuala ya Siasa.

"...MUNGU aliziamini sana dini, Lakini hizi hizi dini zimekuwa wa kwanza kuleta mvurugo katika Dunia hii.

Bila kuogopa kwa sababu tupo kwenye tamko la Kiaskofu, Sisi Wakristo na Waislamu tunaelewana lakini kwenye Wakristo tumegawanyika madhehebu mengi lakini ukisikia Nchi nyingi zilizovurugika Duniani dini kuu Mama ambayo ni Katoliki imekuwa ya kwanza kuanzisha vurugu Duniani kila mahali.

Mimi niiombe Serikali waishauri Katholiki wasijiingize kwenye masuala ya Siasa, washikilie kwenye upande mmoja tu wa Dini."

[emoji2424] Askofu Charles Fortunatus

View attachment 2725068
Namshukuru Mungu kunifanya kuwa Mkristo wa Kanisa Katoliki la Mitume, Kanisa lisiloyumbishwa wala kutishwa na mtu au kitu chochote chini ya jua hili.
 
Mqkanisa kama magenge ambayo hayana mifumo inayo eleweka njaa zinawaaongoza

Haya yanayoeleweka ndio yako hivi ??

In the book, "The Changing Face of the Priesthood," the Rev. Donald B. Cozzens suggests that the priesthood is, or is becoming, a gay profession
 
Haya yanayoeleweka ndio yako hivi ??

In the book, "The Changing Face of the Priesthood," the Rev. Donald B. Cozzens suggests that the priesthood is, or is becoming, a gay profession
Unapenda ishu za ushoga sana
 
Jamani hamuwezi kupambana na Kanisa Katoliki. Mtahangaika tu bure.
 
Kanisa la ufunio ilo ni kanisa au genge lakuiba sadaka na matoleo ya waumini iv ata wanamatawi mangap Tz
Makundi ya wahuni kuita makanisa ni zambi sana kwa Mungi
Mtakataana wenyewe. Sisi tuko zetu palee tunawazoom. Sasa hivi kila atakayekuwa na mawazo tofauti na hao jamaa atatukanwa matusi yote. Ila hata chizi atakayotoka jalalani hata akisema tu kwa bahati mbaya, naunga mkono Tamko, basi hapo hapo ataitwa mwelevu na ana akili nzr na pongezi gunia zima.
 
Huyu bendera ndiye mchungaji wa yule demu wa mwanza anayejiita mungu zumaridi au siye?
Ukifuatilia episodes za huyu mwamba wa Mungu mnaweza kupoteana. Yule zumaridi kwa huyu ni malaika. Dunia ina mambo mengi
 
Huyo bendera ni bendera fuata upepo. Huyo babu wa upako hata kuusoma mkataba hajausoma. Mimi siyo mkatoliki, lakini linapokuja swala la kulinda rasilimali za nchi acheni "catholic the giant" atusaidie.
 
Back
Top Bottom