Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
- Thread starter
- #21
Mkuu the boss una maana gani?Hakuna watu wanapigania Tanganyika kama warundi...
The irony of it😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu the boss una maana gani?Hakuna watu wanapigania Tanganyika kama warundi...
The irony of it😅
Katiba Mpya ndio suluhishoSerikali tatu halikwepeki Katiba mpya Katiba mpya Katiba mpya.
Una umri gani kijana?Askofu Kobe ana laana ya kutelekeza mtoto wake wa damu, lissu naye risasi za mbowe zilimlemaza sio miguu tu Hadi ubongo zililemaza, asa ukiwasikiliza watu hawa na ukawaelewa basi ujue uwendawazimu unakunyemelea.
Wanajua ila wanafanya kwa maslahi ya TaifaIna maana CCM bunge la mbumbuu na Samia na Mwanasheria mkuu wa serikali hawajui kama Dubai sio nchi?
Hawapiganiagi Ziwani huwa wanapigania Kamenge na Gitega.Hakuna watu wanapigania Tanganyika kama warundi...
The irony of it😅
Tunatakiwa tuidai kwa nguvu zetu zote.Katiba Mpya ndio suluhisho
Kakobe mrundi..Mkuu the boss una maana gani?
Kuna kipindi nlikuwa nakuona kama unapoint za msingi lkn siku hizi umekua mpumbavu kuliko vitoto vya 2006Hakuna watu wanapigania Tanganyika kama warundi...
The irony of it😅
Hakuna aliyeshindwa kujibu hoja za lissu au yeyote Yule, sema kina lissu na co akili zao zimeshajityuni kukataa tu chochote kinachofanywa na serikali watu kama hawa hata upige zeze na kinubi, imba mapambio yote hawawezi wakaelewa make wameamua kukataa tu bila sababu yoyote ya maana.Risasi ikamlemaza Lissu ubongo halafu bado mnashindwa kujibu hoja zake? basi nyie mtakuwa ndio mazezeta kabisa.
Na huyo mtoto wa damu aliyetelekezwa na Kakobe, wewe ndie mama wa mtoto?!
Afadhali yangu mie kuliko wewe unayezidiwa akili Hadi na nyumbu za Serengeti.WEWE ni mpumbavu
Hizo ni mbinu zenu CCM za kutugawa Watanganyika.Kakobe mrundi..
Amefufuka baada ya kufyata mkia kwa Jiwe🤣
Umri ni namba tu, it ain't nothing.
Hao WanaCCM wamekosa hoja kabisa 😆WEWE ni mpumbavu
Nimecheka sanaa sijui kwanini eti piga makofi huku ukisema Tanganyika Tanganyikaa🤣🤣🤣
Mbongo hawezi kukaa siku bila kuzungumza neno "laana"Askofu Kobe ana laana ya kutelekeza mtoto wake wa damu, lissu naye risasi za mbowe zilimlemaza sio miguu tu Hadi ubongo zililemaza, asa ukiwasikiliza watu hawa na ukawaelewa basi ujue uwendawazimu unakunyemelea.