Astral projection mnaona inawezekana, ila mtu kwenda mbinguni na karudi haiwezekani. Rethink

Astral projection mnaona inawezekana, ila mtu kwenda mbinguni na karudi haiwezekani. Rethink

Jemima Mrembo

JF-Expert Member
Joined
Jul 19, 2021
Posts
2,864
Reaction score
8,328
JamiiForums imevamiwa na viumbe vya ajabu kabisa, ambavyo sasa havitaki kutafuta maarifa tena, havitaki tena kusoma vinataka kuangalia videos ,za tic toc zisizo na tija wala afya kwa akili zao.

Maisha ya rohoni ni mapana sana kuliko maisha ya mwilini. Wengi hatuzijui siri za rohoni, lakini tu wabishi, badala ya kujifunza.

Mtu akisema kwamba yeye ni mchawi na ameenda kuzimu mara nyingi na amekutana live na shetani anaaminika kirahisi sana.

Mtumishi wa Mungu akisema ameenda mbinguni kwa baba yake mnapinga, why?

Mna laana nyie.
What is astral projection?
Kama mtu anaweza kuuacha mwili wake hapa Ŕegent Estate, akasafiri na roho yake hadi Washington Dc kisha akarudi katika mwili wake (this is something which even science ime prove kwamba kinawezekana) inakuwaje mnakataa mtu kwenda mbinguni?

Je Mungu anafanya mapenzi yake kwetu au ni sisi tunamfundisha Mungu kufanya kazi yake?

Tuache ubishi, tutafute maarifa na ufahamu, hasa wa mambo ya rohoni maana ndio msingi wa mambo ya mwilini.

Mshana Jr karibu kwa neno
 
JamiiForums imevamiwa na viumbe vya ajabu kabisa, ambavyo sasa havitaki kutafuta maarifa tena, havitaki tena kusoma vinataka kuangalia videos ,za tic toc zisizo na tija wala afya kwa akili zao.

Maisha ya rohoni ni mapana sana kuliko maisha ya mwilini. Wengi hatuzijui siri za rohoni, lakini tu wabishi, badala ya kujifunza.

Mtu akisema kwamba yeye ni mchawi na ameenda kuzimu mara nyingi na amekutana live na shetani anaaminika kirahisi sana.

Mtumishi wa Mungu akisema ameenda mbinguni kwa baba yake mnapinga, why?

Mna laana nyie.
What is astral projection?
Kama mtu anaweza kuuacha mwili wake hapa Ŕegent Estate, akasafiri na roho yake hadi Washington Dc kisha akarudi katika mwili wake (this is something which even science ime prove kwamba kinawezekana) inakuwaje mnakataa mtu kwenda mbinguni?

Je Mungu anafanya mapenzi yake kwetu au ni sisi tunamfundisha Mungu kufanya kazi yake?

Tuache ubishi, tutafute maarifa na ufahamu, hasa wa mambo ya rohoni maana ndio msingi wa mambo ya mwilini.

Mshana Jr karibu kwa neno
Mkivimbiwa ugali mkalala usiku haya ndo matatizo yenyewe
 
Aise inawezekana kwenda mbinguni humu jf ni mada za uchawi na utajiri wa kishirikina ndo zinaweza capture attention ya watu
Za uchawi ndio wanaamini sana. Mchawi akisema alienďa kuzimu kuonana na shetani, ni habari ya kuaminika 100%
 
JamiiForums imevamiwa na viumbe vya ajabu kabisa, ambavyo sasa havitaki kutafuta maarifa tena, havitaki tena kusoma vinataka kuangalia videos ,za tic toc zisizo na tija wala afya kwa akili zao.

Maisha ya rohoni ni mapana sana kuliko maisha ya mwilini. Wengi hatuzijui siri za rohoni, lakini tu wabishi, badala ya kujifunza.

Mtu akisema kwamba yeye ni mchawi na ameenda kuzimu mara nyingi na amekutana live na shetani anaaminika kirahisi sana.

Mtumishi wa Mungu akisema ameenda mbinguni kwa baba yake mnapinga, why?

Mna laana nyie.
What is astral projection?
Kama mtu anaweza kuuacha mwili wake hapa Ŕegent Estate, akasafiri na roho yake hadi Washington Dc kisha akarudi katika mwili wake (this is something which even science ime prove kwamba kinawezekana) inakuwaje mnakataa mtu kwenda mbinguni?

Je Mungu anafanya mapenzi yake kwetu au ni sisi tunamfundisha Mungu kufanya kazi yake?

Tuache ubishi, tutafute maarifa na ufahamu, hasa wa mambo ya rohoni maana ndio msingi wa mambo ya mwilini.

Mshana Jr karibu kwa neno
.
Hizi ni maoni zako zisizo na reference, ukristo unaongozwa na Roho kwa njia ya maelekezo na taratibu zilizoko kwenye Biblia. Nje hapo ni utapeli hata kama utatoka kwa Cadinal Pengo.
 
.
Hizi ni maoni zako zisizo na reference, ukristo unaongozwa na Roho kwa njia ya maelekezo na taratibu zilizoko kwenye Biblia. Nje hapo ni utapeli hata kama utatoka kwa Cadinal Pengo.
Tatizo Ufunuo wa Yohana umewatia ujinga Wakristo wengi.

Yohana hakuwa na ufunuo wowote, yeye alikuwa anaandika maandiko yake kumpiga spana kaisari Nero kwa mafumbo aliyekuwa akitesa Wakristo, hakuna ufunuo wowote.

Ni sawa na enzi za yule shetani wa Chato hats sisi Watanzania tulilazimika kuandika kwa mafumbo kuepuka utawala wake wa mkono wa chuma.
 
.
Hizi ni maoni zako zisizo na reference, ukristo unaongozwa na Roho kwa njia ya maelekezo na taratibu zilizoko kwenye Biblia. Nje hapo ni utapeli hata kama utatoka kwa Cadinal Pengo.
Cardinal Pengo anaingiaje hapa?
 
Tatizo Ufunuo wa Yohana umewatia ujinga Wakristo wengi.

Yohana hakuwa na ufunuo wowote, yeye alikuwa anaandika maandiko yake kumpiga spana kaisari Nero kwa mafumbo aliyekuwa akitesa Wakristo, hakuna ufunuo wowote.

Ni sawa na enzi za yule shetani wa Chato hats sisi Watanzania tulilazimika kuandika kwa mafumbo kuepuka utawala wake wa mkono wa chuma.

Pale unapojifanya unajua sana kumbe mtupu
 
JamiiForums imevamiwa na viumbe vya ajabu kabisa, ambavyo sasa havitaki kutafuta maarifa tena, havitaki tena kusoma vinataka kuangalia videos ,za tic toc zisizo na tija wala afya kwa akili zao.

Maisha ya rohoni ni mapana sana kuliko maisha ya mwilini. Wengi hatuzijui siri za rohoni, lakini tu wabishi, badala ya kujifunza.

Mtu akisema kwamba yeye ni mchawi na ameenda kuzimu mara nyingi na amekutana live na shetani anaaminika kirahisi sana.

Mtumishi wa Mungu akisema ameenda mbinguni kwa baba yake mnapinga, why?

Mna laana nyie.
What is astral projection?
Kama mtu anaweza kuuacha mwili wake hapa Ŕegent Estate, akasafiri na roho yake hadi Washington Dc kisha akarudi katika mwili wake (this is something which even science ime prove kwamba kinawezekana) inakuwaje mnakataa mtu kwenda mbinguni?

Je Mungu anafanya mapenzi yake kwetu au ni sisi tunamfundisha Mungu kufanya kazi yake?

Tuache ubishi, tutafute maarifa na ufahamu, hasa wa mambo ya rohoni maana ndio msingi wa mambo ya mwilini.

Mshana Jr karibu kwa neno
Mbona wakristo kwa Waislam mlimtolea povu Zumaridi mkamuona muongo!?
 
Back
Top Bottom