Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Hata nini sikubali kuwa ipo.kwani we unakubaligi uwepo wa nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata nini sikubali kuwa ipo.kwani we unakubaligi uwepo wa nini?
😆😆 noma sana, kila la heri mkuu KirangaHata nini sikubali kuwa ipo.
Hukumu imeisha fanyika?Kuacha ubishi hakuna maana ya kukubali kila kitu kisa aliyesema anaaminika kuwa ni mchungaji..!!!
Kubisha kunatokana na mafundisho tuliyopewa kuwa mbinguni unafika baada ya hukumu unayopata baadabya kufa kwako. Haya ya mtu kufika mbinguni na kurudi kama unaenda Kishumundu na kurudi ni mapya kwetu
Ukawa unampigia puli?zamani nilikuwa napenda kusoma hadithi na kumbuka kuna kitabu kiliitwa 'Is it Possible' nlikisoma sana mpaka ni kawa naota npo na Lerionka porini akiwa na kibuyu chake cha maziwa
Zumaridi ni mungu wa ukoo wenu?Zumaridi na Yesu wanavyeo sawa alilonena Yesu Zu anaweza tengua inatakiwa uelewe naukumbuke walati wote
Zumaridi ni mzinzi anayèongozwa na maroho ya zinaa. Anawaza mjegejo tu muda woteKabisa zumaridi alienda pia
Hao wengine umejuaje kuwa hawafanyi hayo hao kwasababu zuma yake anayasema hadharani wengine wanayafanya gizani? Ukijua mambo ya watu kuna muda unaweza kumwona zuma ni mtakatifu.Zumaridi ni mzinzi anayèongozwa na maroho ya zinaa. Anawaza mjegejo tu muda wote
Hamna , mi ni mu RC pure ila ninaeruhusu tafakari ya Kila ninalosikia na kutoa nafasi ya watu kuyatafakari Yale ninayoamini pasipo kuwalazimisha waamini ninayoamini huku nikiwanyima uhuru wa kuyatafakari kwanza ,,,,,,unaamini Nini !?ili na mi nikutafakari ili nifanye maamuzi!!Wafuasi wa mwakasege wanajarbu kupambana
Kwa ufupi sana, jumbe za kiroho zinahitaji maandalizi, ukimwambia Mtu wiki ijayo mwisho wa Dunia wakati hujamwambia katika maisha yake Kuna viashiria vya kiroho, vinatambulikaje,? Na je Mungu anajidhihirisha vipi katika ulimwengu wa Sasa, unakuwa unamchanganya tuu,,, cjajua mwakasege alianzia wapi kusema hayo!!lakini ambao wamekuwa wakimfuatilia wanaweza kuwa walimwelewa, shida ni sisi tuliokuja kusikia pasipo ya kuwa sehemu ya utume wake,,,,ndio maana jumbe za kiroho kamwe hazitokuja kuwa za watu wote, sababu hata Mungu alisema wapo walioitwa, na hata Leo tunawaonaMkuu umedadavua kwa umakini sana, kama watu wanaamini mambo ya ulimwengu wa kiroho wa nguvu za giza kwamba yapo na watu wanayashiriki ikiwemo kupaa na nyungo usiku na kupita kwenye kuta kuwanga kwenye majumba ya watu na kufukua makaburi usiku kuchukua maiti, mambo ya chuma ulete, majini nk.
Iweje washindwe kuamini kwamba mambo ya kiroho ya ulimwengu wa nuru na yenyewe yapo na kuna watu wanaoyashiriki ikiwa ni pamoja na kuchukuliwa rohoni kwenda kuiona pepo au kuwasiliana na Malaika au Mungu?
Ni bora mtu kama ni muumini huna ushuhuda wa hayo mambo usikilize kwa wengine na wewe uombe kama kuna jambo unahitaji kupata ufunuo utafunuliwa tu, kuliko kujifanya ujuaji wa kupingapinga unajikuta unajifungia baraka za kuona mafunuo au maono.
Mimi kuna mambo mengi tu niliyaona kama ndoto au maono na yakaja kujidhihirisha live.
Na hata maono ya kushuka kwa viumbe vya ajabu duniani na kuanza kwa machafuko ya dhiki kuu yanayoongelewa kwenye ufunuo. Unaweza kuunganisha dots mambo ya UFO ambayo serikali ya marekani imeyafanya kuwa siri kubwa.
Kwa ufupi sana, jumbe za kiroho zinahitaji maandalizi, ukimwambia Mtu wiki ijayo mwisho wa Dunia wakati hujamwambia katika maisha yake Kuna viashiria vya kiroho, vinatambulikaje,? Na je Mungu anajidhihirisha vipi katika ulimwengu wa Sasa, unakuwa unamchanganya tuu,,, cjajua mwakasege alianzia wapi kusema hayo!!lakini ambao wamekuwa wakimfuatilia wanaweza kuwa walimwelewa, shida ni sisi tuliokuja kusikia pasipo ya kuwa sehemu ya utume wake,,,,ndio maana jumbe za kiroho kamwe hazitokuja kuwa za watu wote, sababu hata Mungu alisema wapo walioitwa, na hata Leo tunawaonaMkuu umedadavua kwa umakini sana, kama watu wanaamini mambo ya ulimwengu wa kiroho wa nguvu za giza kwamba yapo na watu wanayashiriki ikiwemo kupaa na nyungo usiku na kupita kwenye kuta kuwanga kwenye majumba ya watu na kufukua makaburi usiku kuchukua maiti, mambo ya chuma ulete, majini nk.
Iweje washindwe kuamini kwamba mambo ya kiroho ya ulimwengu wa nuru na yenyewe yapo na kuna watu wanaoyashiriki ikiwa ni pamoja na kuchukuliwa rohoni kwenda kuiona pepo au kuwasiliana na Malaika au Mungu?
Ni bora mtu kama ni muumini huna ushuhuda wa hayo mambo usikilize kwa wengine na wewe uombe kama kuna jambo unahitaji kupata ufunuo utafunuliwa tu, kuliko kujifanya ujuaji wa kupingapinga unajikuta unajifungia baraka za kuona mafunuo au maono.
Mimi kuna mambo mengi tu niliyaona kama ndoto au maono na yakaja kujidhihirisha live.
Na hata maono ya kushuka kwa viumbe vya ajabu duniani na kuanza kwa machafuko ya dhiki kuu yanayoongelewa kwenye ufunuo. Unaweza kuunganisha dots mambo ya UFO ambayo serikali ya marekani imeyafanya kuwa siri kubwa.
Bob Marley.Wapi nimeongelea kondoo? Emancipate yourself from mental slavery, none but yourself can free your mind.
Situnalea ila hatuoi ndoa makaratasi afu unaezakuta najibishana na binti yangu wa mwishoNdio mawazo yenu vitoto vya JF. Kupiga puli, kupinga ndoa na matusi.
Hebu tuseme nyumba yako inawaka moto. Ungetumia moto zaidi kuzima moto au ungetumia maji kuzima moto?Tuache ubishi, tutafute maarifa na ufahamu, hasa wa mambo ya rohoni maana ndio msingi wa mambo ya mwilini.
Mtu akipiga puli wewe kinakuuma nini mrembo unataka upigwe puli na wewe ? Si mnavaa za kubana MK-NDU na mnavimbisha mataco kwanini wasiwapige picha na kuwapiga puli ?Kupiga puli
Haha hahah hahahMtu akipiga puli wewe kinakuuma nini mrembo unataka upigwe puli na wewe ? Si mnavaa za kubana MK-NDU na mnavimbisha mataco kwanini wasiwapige picha na kuwapiga puli ?