MzeeKipusa
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 2,705
- 4,967
Zumaridi = Geordavie = Mwakasege ,Hii tabia yawanadini kumuinua huyu na kumgandamiza yule nitabia mbaya na yakishetani wajirekebishe waanze kuyachukulia mambo kwa usawa na adabu
Mbona zumaridi aliposema mlinyanyua midomo juu , huyo Mwakasege anauhalali gani acheni ujingaJamiiForums imevamiwa na viumbe vya ajabu kabisa, ambavyo sasa havitaki kutafuta maarifa tena, havitaki tena kusoma vinataka kuangalia videos ,za tic toc zisizo na tija wala afya kwa akili zao.
Maisha ya rohoni ni mapana sana kuliko maisha ya mwilini. Wengi hatuzijui siri za rohoni, lakini tu wabishi, badala ya kujifunza.
Mtu akisema kwamba yeye ni mchawi na ameenda kuzimu mara nyingi na amekutana live na shetani anaaminika kirahisi sana.
Mtumishi wa Mungu akisema ameenda mbinguni kwa baba yake mnapinga, why?
Mna laana nyie.
What is astral projection?
Kama mtu anaweza kuuacha mwili wake hapa Ŕegent Estate, akasafiri na roho yake hadi Washington Dc kisha akarudi katika mwili wake (this is something which even science ime prove kwamba kinawezekana) inakuwaje mnakataa mtu kwenda mbinguni?
Je Mungu anafanya mapenzi yake kwetu au ni sisi tunamfundisha Mungu kufanya kazi yake?
Tuache ubishi, tutafute maarifa na ufahamu, hasa wa mambo ya rohoni maana ndio msingi wa mambo ya mwilini.
Mshana Jr karibu kwa neno
yeahZumaridi = Geordavie = Mwakasege ,
Is that what you mean?
You have nailed it...JamiiForums imevamiwa na viumbe vya ajabu kabisa, ambavyo sasa havitaki kutafuta maarifa tena, havitaki tena kusoma vinataka kuangalia videos ,za tic toc zisizo na tija wala afya kwa akili zao.
Maisha ya rohoni ni mapana sana kuliko maisha ya mwilini. Wengi hatuzijui siri za rohoni, lakini tu wabishi, badala ya kujifunza.
Mtu akisema kwamba yeye ni mchawi na ameenda kuzimu mara nyingi na amekutana live na shetani anaaminika kirahisi sana.
Mtumishi wa Mungu akisema ameenda mbinguni kwa baba yake mnapinga, why?
Mna laana nyie.
What is astral projection?
Kama mtu anaweza kuuacha mwili wake hapa Ŕegent Estate, akasafiri na roho yake hadi Washington Dc kisha akarudi katika mwili wake (this is something which even science ime prove kwamba kinawezekana) inakuwaje mnakataa mtu kwenda mbinguni?
Je Mungu anafanya mapenzi yake kwetu au ni sisi tunamfundisha Mungu kufanya kazi yake?
Tuache ubishi, tutafute maarifa na ufahamu, hasa wa mambo ya rohoni maana ndio msingi wa mambo ya mwilini.
Mshana Jr karibu kwa neno
Tena akapigwa miti, akamdatisha hadi Simon Petro hadi kufikia kutangaza ndoa
Wafuasi wa mwakasege wanajarbu kupambanaJumbe za rohoni ni kwa wale walio rohoni, ujumbe unaweza ukaja mkiwa mia Moja ,lakin Target ni kwa ajir ya mtu Moja,
Utabiri mwepesi kwa mtu wa rohoni ni kuambiwa mwisho wa Dunia umekaribia,maana yeye muda wote amejiandaa, haogopi kufa, haogopi kutoa Mali zake kama sadaka au msaada,maana unapozama rohoni sana kipimo Cha kwanza ni kuthamini maisha ya wenzako kuliko ya kwako, kipimo Cha pili ni kupokea jumbe za kidunia katika pande mbilimbili, (yaan in physical nature and in spiritual ways)hapa ndio mtu anaweza toa hoja ,wale wanaoishi katika mwili wakamuona ni kama akili zimemruka,,,,uwepo wa Mungu wa mbinguni ni spiritual pia,na uwepo wa shetan pia ni spiritual, ,kama uko kwa huyo wa mbinguni wenzako utawatambua wanapotoa jumbe zao(mf yule ana Mungu,na yule mh, si wa Mungu ninayemuamin ,japo anamtaja)......na wale walio wa upande wa shetan wanatambuana, ukija wewe wa Mungu Mkuu hawatakutambua ,ila utawachanganya,
Hitimisho ujumbe wa mwakasege siyo wa watu wote,ila walioitwa kwa upande ambao mwakasege yupo,hamna haja ya kugombana,
Amani ya Mungu Mkuu wa mbinguni iwe nanyi
kwani we unakubaligi uwepo wa nini?Mimi sikubali kuwepo wa roho, kuwepo kwa Mungu, kuwepo kwa shetani, kuwepo kwa uchawi, astral projection na ujinga mwingine woote unaofanana na huo.
In fact, I dare say, so far in the annals of humanity, it can be shown that, any claim of a supernatural event, is either an outright lie, or something that cannot be ruled out as a poorly understood natural event.
Hapo vipi?
Paragraph ya mwisho umeteleza kidogo mkuu, Usiende huko.Tatizo Ufunuo wa Yohana umewatia ujinga Wakristo wengi.
Yohana hakuwa na ufunuo wowote, yeye alikuwa anaandika maandiko yake kumpiga spana kaisari Nero kwa mafumbo aliyekuwa akitesa Wakristo, hakuna ufunuo wowote.
Ni sawa na enzi za yule shetani wa Chato hats sisi Watanzania tulilazimika kuandika kwa mafumbo kuepuka utawala wake wa mkono wa chuma.
Kifupi mtu kwenye uelewa na haua mambo ya astral projection kamwe hawezi kuamini katika dini yeyote sembuse kiongozi wa dini kusema kaenda mbinguni na kurudi.JamiiForums imevamiwa na viumbe vya ajabu kabisa, ambavyo sasa havitaki kutafuta maarifa tena, havitaki tena kusoma vinataka kuangalia videos ,za tic toc zisizo na tija wala afya kwa akili zao.
Maisha ya rohoni ni mapana sana kuliko maisha ya mwilini. Wengi hatuzijui siri za rohoni, lakini tu wabishi, badala ya kujifunza.
Mtu akisema kwamba yeye ni mchawi na ameenda kuzimu mara nyingi na amekutana live na shetani anaaminika kirahisi sana.
Mtumishi wa Mungu akisema ameenda mbinguni kwa baba yake mnapinga, why?
Mna laana nyie.
What is astral projection?
Kama mtu anaweza kuuacha mwili wake hapa Ŕegent Estate, akasafiri na roho yake hadi Washington Dc kisha akarudi katika mwili wake (this is something which even science ime prove kwamba kinawezekana) inakuwaje mnakataa mtu kwenda mbinguni?
Je Mungu anafanya mapenzi yake kwetu au ni sisi tunamfundisha Mungu kufanya kazi yake?
Tuache ubishi, tutafute maarifa na ufahamu, hasa wa mambo ya rohoni maana ndio msingi wa mambo ya mwilini.
Mshana Jr karibu kwa neno
This is a good way of Arguing!Kifupi mtu kwenye uelewa na haua mambo ya astral projection kamwe hawezi kuamini katika dini yeyote sembuse kiongozi wa dini kusema kaenda mbinguni na kurudi.
Swali langu huyo Musa na Elia wanafananaje, weusi au wazungu. Na alijuaje ndo kina Musa.
Mi zamani nilikuwa napenda kusoma hadithi na kumbuka kuna kitabu kiliitwa 'Is it Possible' nlikisoma sana mpaka ni kawa naota npo na Lerionka porini akiwa na kibuyu chake cha maziwa tunapiga story.
Its mind illusion through dreams
Kuacha ubishi hakuna maana ya kukubali kila kitu kisa aliyesema anaaminika kuwa ni mchungaji..!!!JamiiForums imevamiwa na viumbe vya ajabu kabisa, ambavyo sasa havitaki kutafuta maarifa tena, havitaki tena kusoma vinataka kuangalia videos ,za tic toc zisizo na tija wala afya kwa akili zao.
Maisha ya rohoni ni mapana sana kuliko maisha ya mwilini. Wengi hatuzijui siri za rohoni, lakini tu wabishi, badala ya kujifunza.
Mtu akisema kwamba yeye ni mchawi na ameenda kuzimu mara nyingi na amekutana live na shetani anaaminika kirahisi sana.
Mtumishi wa Mungu akisema ameenda mbinguni kwa baba yake mnapinga, why?
Mna laana nyie.
What is astral projection?
Kama mtu anaweza kuuacha mwili wake hapa Ŕegent Estate, akasafiri na roho yake hadi Washington Dc kisha akarudi katika mwili wake (this is something which even science ime prove kwamba kinawezekana) inakuwaje mnakataa mtu kwenda mbinguni?
Je Mungu anafanya mapenzi yake kwetu au ni sisi tunamfundisha Mungu kufanya kazi yake?
Tuache ubishi, tutafute maarifa na ufahamu, hasa wa mambo ya rohoni maana ndio msingi wa mambo ya mwilini.
Mshana Jr karibu kwa neno
Kumbe aligonganisha wanaume? Kweli wagangaji hawachagui chimboTena ameacha bifu uko mbingun
Jumbe za rohoni ni kwa wale walio rohoni, ujumbe unaweza ukaja mkiwa mia Moja ,lakin Target ni kwa ajir ya mtu Moja,
Utabiri mwepesi kwa mtu wa rohoni ni kuambiwa mwisho wa Dunia umekaribia,maana yeye muda wote amejiandaa, haogopi kufa, haogopi kutoa Mali zake kama sadaka au msaada,maana unapozama rohoni sana kipimo Cha kwanza ni kuthamini maisha ya wenzako kuliko ya kwako, kipimo Cha pili ni kupokea jumbe za kidunia katika pande mbilimbili, (yaan in physical nature and in spiritual ways)hapa ndio mtu anaweza toa hoja ,wale wanaoishi katika mwili wakamuona ni kama akili zimemruka,,,,uwepo wa Mungu wa mbinguni ni spiritual pia,na uwepo wa shetan pia ni spiritual, ,kama uko kwa huyo wa mbinguni wenzako utawatambua wanapotoa jumbe zao(mf yule ana Mungu,na yule mh, si wa Mungu ninayemuamin ,japo anamtaja)......na wale walio wa upande wa shetan wanatambuana, ukija wewe wa Mungu Mkuu hawatakutambua ,ila utawachanganya,
Hitimisho ujumbe wa mwakasege siyo wa watu wote,ila walioitwa kwa upande ambao mwakasege yupo,hamna haja ya kugombana,
Amani ya Mungu Mkuu wa mbinguni iwe nanyi
Wewe nadhani uliwai kutumbukia chooni wakati wa utoto sio bule[emoji14][emoji14][emoji14]JamiiForums imevamiwa na viumbe vya ajabu kabisa, ambavyo sasa havitaki kutafuta maarifa tena, havitaki tena kusoma vinataka kuangalia videos ,za tic toc zisizo na tija wala afya kwa akili zao.
Maisha ya rohoni ni mapana sana kuliko maisha ya mwilini. Wengi hatuzijui siri za rohoni, lakini tu wabishi, badala ya kujifunza.
Mtu akisema kwamba yeye ni mchawi na ameenda kuzimu mara nyingi na amekutana live na shetani anaaminika kirahisi sana.
Mtumishi wa Mungu akisema ameenda mbinguni kwa baba yake mnapinga, why?
Mna laana nyie.
What is astral projection?
Kama mtu anaweza kuuacha mwili wake hapa Ŕegent Estate, akasafiri na roho yake hadi Washington Dc kisha akarudi katika mwili wake (this is something which even science ime prove kwamba kinawezekana) inakuwaje mnakataa mtu kwenda mbinguni?
Je Mungu anafanya mapenzi yake kwetu au ni sisi tunamfundisha Mungu kufanya kazi yake?
Tuache ubishi, tutafute maarifa na ufahamu, hasa wa mambo ya rohoni maana ndio msingi wa mambo ya mwilini.
Mshana Jr karibu kwa neno