Wasubiri matrilioni ya dola toka kwa waumini toka AFRIKA na mimawe yao kwenye egiJamaa anasema 'wametoa misaada matrioni ya dola' mi sijui unaelimu gani, ila unajua unachokisema? Au umejisahau unafananisha na hela ya tz? Hii siyo Facebook, hebu tueleze matrion mangapi ya dola yameshatolewa?
Kafiri wewe, mbona nyie mnaabudu sanamu na tumenyamaza tuWasubiri matrilioni ya dola toka kwa waumini toka AFRIKA na mimawe yao kwenye egi
I BOW B4 THE IMPECABLES MIGHTY REVEERED HOLLY KINGDOM OF SAUDI ARABIA!
I can not agree moreToo late my dear friend! By the way ISIS wanafanya hiyo kazi bila malipo. You and I know Saudi kingdom is on its deathbed.
Unatatizo kuu magu kashakuzoesha mambo ya feki nawe umehamia hadi anga za juuHivi mataifa teule yapo mangapi? Uteule wake bado upo hadi leo? Huyu mungu huenda naye siyo mungu
Hahaha wivu wa maendeleo pole kwa kuwachukia waarabu, ila hawana mangosha kuleMe ni mwislam ila ishu y kusema hilo taifa linatoa misaada unatuongopea hakuna wenye roho mbaya na dharau km hao waarabu.
Acha uongo ww hujui tu saudia wanafanya nini hapa Africa!Saudi Arabia hatuoni misaada ikija huku afrika zaidi ya tende tena mwaka mwezi mmoja tu, kulikoni??
cc. Wasaudia Weusi waliopo Pwani ya Tanganyika & Zenji.