Wasubiri matrilioni ya dola toka kwa waumini toka AFRIKA na mimawe yao kwenye egiJamaa anasema 'wametoa misaada matrioni ya dola' mi sijui unaelimu gani, ila unajua unachokisema? Au umejisahau unafananisha na hela ya tz? Hii siyo Facebook, hebu tueleze matrion mangapi ya dola yameshatolewa?