Atakayeigusa Saudia, tutambomoa na kumfuta duniani

Wafalme wa saudia ni sawa na waungu watu mafisadi wa haribifu makatili nime mifano ya miradi iliyofadhiliwa na Saudia hapa Tanzania
 
Mmarekani yupo pale long time. TAifa la kikafiri hilo nowdays
 
Tunaelewa Wanafiki wanatumia Iran kama chambo lakini tunawahakikishia kuwa hakuna atakayeliweza taifa Teule SAudi Arabia katika vita vitakatifu. Marekani mwenyewe anamkubali Msaudia itakuwa nyie mbilikimo msio na shukrani?
UNAKUSUDIA NINI ULIPOSEMA TAIFA TEULE??
 
Tunaelewa Wanafiki wanatumia Iran kama chambo lakini tunawahakikishia kuwa hakuna atakayeliweza taifa Teule SAudi Arabia katika vita vitakatifu. Marekani mwenyewe anamkubali Msaudia itakuwa nyie mbilikimo msio na shukrani?
hahaha! US anamkubali saudi wakati ufalme huu umewekwa na Wao baada ya 'kumchinja' ikulu ya saudi faysal. Hujui kua fahad alikua trained US.? Hawa saudi wanapata msaada wa kijeshi kutoka US. Ufalme wa saudi ni kinyago kilichochongwa na US hakiwezi mtisha. Ogopa sana haya mataifa yaitwayo matakatifu, ndio yaongozwayo na wicked leaders na wanasurvive kwa cover ya utakatifu. Na bahati mbaya sisi 'waafrika' sababu ya 'ujinga' wa 'ushabiki wa dini' tunawatukuza.
 
Myaonayo hayo mjue Mwana wa Adam yu karibu kuja. Take from me Dunia ipembezoni sana tujiandaeni tu kiama ki karibu.
Kiama kwa ajiri ya soudia tuu ,vipi Somalia, Congo,Rwanda ,Burundi, CAR.Kosovo, zile vita zote hawakuwa binadamu ambao wameumbwa na Mungu
 
Dini ndio kila kitu kwetu wee usie kuwa na dini kaa kimya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…