Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmarekani yupo pale long time. TAifa la kikafiri hilo nowdaysMtu yeyote atakayejaribu kuligusa taifa takatifu la SAUDI ARABIA, tutambomoa na kumfuta katika ramani ya dunia. Taifa hili limesaidia watu maskini hususani Afrika na nchi nyingi zinazoendelea kwa misaada ya kijamii/kibinadamu tofauti na mataifa mengi ya ULAYA (majina kapuni) Saudi Arabia imetoa matrilioni ya Dola za Kimarekani katika miradi mbali mbali hususani maji, elimu, hospitali/afya, kwenye mataifa mbali mbali ikiwemo Somalia, Djibouti, Eritrea, Ethiopia, Sudani na Tanzania (hususani Zanzibar). Kwa umoja wetu hatutakubali kuona taifa hili likichezewa na wazandiki na wenye mrengo mbaya.
** Lazima tulishukuru sana hili Taifa kwa kujitolea kwake, kusaidia nchi maskini.
Kumbe humu kuna mapimbi wengiSaudi haina maeneo matakatifu bali ina maeneo matakatifu kwa waislam
UNAKUSUDIA NINI ULIPOSEMA TAIFA TEULE??Tunaelewa Wanafiki wanatumia Iran kama chambo lakini tunawahakikishia kuwa hakuna atakayeliweza taifa Teule SAudi Arabia katika vita vitakatifu. Marekani mwenyewe anamkubali Msaudia itakuwa nyie mbilikimo msio na shukrani?
Balaa gani hilo???Acheni kujidanganyaChokochoko zozote dhidi ya Saudia kutaleta balaa duniani
Tende zinawafanya wawe mazuzuWE LOFA KWELI, UACHE KUPGANIA FAMILIA YAKO NA NCHI YAKO UPIGANIE SAUDIA AMBAYO HATA UKIENDA UNABAGULIWA
heee yamekuwa hayoo tenaaa?Saudia kama wataleta ujinga watabinuliwa Tu.
Alikufa kipimbi sanaPimbi vipi wakati alikuwa mfadhili mkuu wa African Union (AU) kifo chake kimefanya AU kutikisika kifedha sana
hahaha! US anamkubali saudi wakati ufalme huu umewekwa na Wao baada ya 'kumchinja' ikulu ya saudi faysal. Hujui kua fahad alikua trained US.? Hawa saudi wanapata msaada wa kijeshi kutoka US. Ufalme wa saudi ni kinyago kilichochongwa na US hakiwezi mtisha. Ogopa sana haya mataifa yaitwayo matakatifu, ndio yaongozwayo na wicked leaders na wanasurvive kwa cover ya utakatifu. Na bahati mbaya sisi 'waafrika' sababu ya 'ujinga' wa 'ushabiki wa dini' tunawatukuza.Tunaelewa Wanafiki wanatumia Iran kama chambo lakini tunawahakikishia kuwa hakuna atakayeliweza taifa Teule SAudi Arabia katika vita vitakatifu. Marekani mwenyewe anamkubali Msaudia itakuwa nyie mbilikimo msio na shukrani?
Kiama kwa ajiri ya soudia tuu ,vipi Somalia, Congo,Rwanda ,Burundi, CAR.Kosovo, zile vita zote hawakuwa binadamu ambao wameumbwa na MunguMyaonayo hayo mjue Mwana wa Adam yu karibu kuja. Take from me Dunia ipembezoni sana tujiandaeni tu kiama ki karibu.
Viwanda vya Tende au Tende zenyewe? Nataarifiwa hapa jamaa huwa wanatoaga mpaka msaada wa nyama za kondoo na watu hugombea haswaaaTunazisubiri Tende kwa hamu kubwa
Dini ndio kila kitu kwetu wee usie kuwa na dini kaa kimyahahaha! US anamkubali saudi wakati ufalme huu umewekwa na Wao baada ya 'kumchinja' ikulu ya saudi faysal. Hujui kua fahad alikua trained US.? Hawa saudi wanapata msaada wa kijeshi kutoka US. Ufalme wa saudi ni kinyago kilichochongwa na US hakiwezi mtisha. Ogopa sana haya mataifa yaitwayo matakatifu, ndio yaongozwayo na wicked leaders na wanasurvive kwa cover ya utakatifu. Na bahati mbaya sisi 'waafrika' sababu ya 'ujinga' wa 'ushabiki wa dini' tunawatukuza.
Ficha upumbavu wako kwenye masuala ya dini huo utawala wa saudia sio wa kiislam hao ni pro us mkuu usiweke ushabiki mbele weka hoja sio ushabiki wa kijingaDini ndio kila kitu kwetu wee usie kuwa na dini kaa kimya