Atakayeigusa Saudia, tutambomoa na kumfuta duniani

Atakayeigusa Saudia, tutambomoa na kumfuta duniani

Tunaelewa Wanafiki wanatumia Iran kama chambo lakini tunawahakikishia kuwa hakuna atakayeliweza taifa Teule SAudi Arabia katika vita vitakatifu. Marekani mwenyewe anamkubali Msaudia itakuwa nyie mbilikimo msio na shukrani?
Kwanza hii mada umeileta humu kwa sababu zipi? Na hivi nani kakudanganya kuwa saudia iko sawasawa kivita? Yemen nchi masikini duniani na inamtoa mavi saudia je hao wamarekani? Wewe utakua muislamu ulie danganyika na wala hujitambui. Kwanza saudia wanaamini hakuna waislamu bora duniani kama wao na waislamu wengine wote ni feki.
 
Naendelea kusisitizaza kuwa kwenye maswla ya imani sisi binadamu ni wanafiki kupindukia na ni bora hata wapagani mungu anaweza kuwasamehe kuliko sisi tunaomdhihaki.
 
Siijui hiyo miradi inayofadhiliwa na Saudia.

Kwa mataifa mengine tunafahamu. Kwa mfano Marekani tunajua miradi mikubwa ya barabara na umeme iliyofadhiliwa na MCC, elimu kwa kupitia USAID, JWTZ

Denmark imefadhili sana afya kupitia DANIDA.

Japan ilifadhili miradi ya barabara na ujenzi wa maghala.

Kuwait pia iliwahi kufadhili ujenzi wa barabara na madaraja.

Finland imewahi kufadhili sana UDSM, na miradi mingine ya kijamii.

Israel ndiyo iliyokijenga chuo kikuu UDSM, pia walifadhili miradi ya kilimo, mafunzo ya kijeshi, n.k

Germany kwa miaka mingi imekuwa ikisaidia kitivo cha Uhandisi, mafunzo ya kijeshi, na miradi mingine mingi, etc, etc.
Netherlands imekuwa ikisaidia sana miradi ya kilimo cha umwagiliaji maji.

Uingereza imekuwa ikisaidia maeneo mbalimbali kwenye sekta mbalimbali.

China ilisaidia kwenye mafunzo ya kijeshi, kwenye ujenzi wa reli na viwanda vya nguo

Hiyo Saudia imesaidia nini? Sisemi kusaidiwa ni sifa au mataifa mengine yanalazimika kuisaidia Tanzania lakini tusipende kuyapamba mataifa au watu kwa sifa za uwongo.
Sina maana ya kuuunga mkono maudhui ya mada ila kuhusu suala la misaada tuweke rikodi sawa, kua:-

-Saudia ni moja nchi zinazochangia Bajeti ya SMT kwa miaka mingi sasa.

-Chuo kikuu "Zanzibar University" kimeanzishwa na kinaendeshwa na taasisi ya Saudia.
Vijana wengi wa visiwani, bara na Africa mashariki na kati wame/wanasoma katika chuo hichi.

-taasisi ndogo ndogo za Saudi zinafadhili miradi mingi ya Jamii, elimu, afya, maji n.k mfano King Feisal Hospital iliyopo Tabata (kama sikosei)
 
Mtu yeyote atakayejaribu kuligusa taifa takatifu la SAUDI ARABIA, tutambomoa na kumfuta katika ramani ya dunia. Taifa hili limesaidia watu maskini hususani Afrika na nchi nyingi zinazoendelea kwa misaada ya kijamii/kibinadamu tofauti na mataifa mengi ya ULAYA (majina kapuni) Saudi Arabia imetoa matrilioni ya Dola za Kimarekani katika miradi mbali mbali hususani maji, elimu, hospitali/afya, kwenye mataifa mbali mbali ikiwemo Somalia, Djibouti, Eritrea, Ethiopia, Sudani na Tanzania (hususani Zanzibar). Kwa umoja wetu hatutakubali kuona taifa hili likichezewa na wazandiki na wenye mrengo mbaya.

Wewe mbulula kabisa,Saudi imewahi kulete msaada gani TZ?tende na maziwa ya ngamia? Kwanza Saudi ndio mfadhili mkubwa wa magaidi duniani hasa alqaeda na Isis,utakatifu wao uko wapi?unajua watu wangapi wananyongwa Saudi kwa makosa ya kijinga kabisa? Mpk leo wanawake hawaruhusiwi hata kuendesha magari Wala kuwa wanasiasa!nchi ya kidhalim kabisa ile,kajisomee upya uje apa,sio unakurupuka km mlevi wa togwa
 
Mtu yeyote atakayejaribu kuligusa taifa takatifu la SAUDI ARABIA, tutambomoa na kumfuta katika ramani ya dunia. Taifa hili limesaidia watu maskini hususani Afrika na nchi nyingi zinazoendelea kwa misaada ya kijamii/kibinadamu tofauti na mataifa mengi ya ULAYA (majina kapuni) Saudi Arabia imetoa matrilioni ya Dola za Kimarekani katika miradi mbali mbali hususani maji, elimu, hospitali/afya, kwenye mataifa mbali mbali ikiwemo Somalia, Djibouti, Eritrea, Ethiopia, Sudani na Tanzania (hususani Zanzibar). Kwa umoja wetu hatutakubali kuona taifa hili likichezewa na wazandiki na wenye mrengo mbaya.
HUJITAMBUI WEWE, SAUDIA ilishavamiwa siku nyingi na wamarekani. Na ndio maana hata usilamu wao unatia shaka.
 
Wewe mbulula kabisa,Saudi imewahi kulete msaada gani TZ?tende na maziwa ya ngamia? Kwanza Saudi ndio mfadhili mkubwa wa magaidi duniani hasa alqaeda na Isis,utakatifu wao uko wapi?unajua watu wangapi wananyongwa Saudi kwa makosa ya kijinga kabisa? Mpk leo wanawake hawaruhusiwi hata kuendesha magari Wala kuwa wanasiasa!nchi ya kidhalim kabisa ile,kajisomee upya uje apa,sio unakurupuka km mlevi wa togwa
Mchane, hajitambui huyo. Saudia tangu kitambo ni mali ya USA. Na viongozi wao wote wakubwa wa dini ni majasusi mapandikizi ya Mmarekani.
 
Mtu yeyote atakayejaribu kuligusa taifa takatifu la SAUDI ARABIA, tutambomoa na kumfuta katika ramani ya dunia. Taifa hili limesaidia watu maskini hususani Afrika na nchi nyingi zinazoendelea kwa misaada ya kijamii/kibinadamu tofauti na mataifa mengi ya ULAYA (majina kapuni) Saudi Arabia imetoa matrilioni ya Dola za Kimarekani katika miradi mbali mbali hususani maji, elimu, hospitali/afya, kwenye mataifa mbali mbali ikiwemo Somalia, Djibouti, Eritrea, Ethiopia, Sudani na Tanzania (hususani Zanzibar). Kwa umoja wetu hatutakubali kuona taifa hili likichezewa na wazandiki na wenye mrengo mbaya.

safi sana, muibomoe ISIS
 
Saudia yenyewe ina lindwa namakombora yaki Marekani thidi ya makombora kutoka Yemen kwa wa Asi wa huthi.
 
Adui wa Saudi Arabia ni Iran. Wote hao waislamu. Itakuwa vita ya Sunni na Shia. Labda wote wawili wakae chini wajue janja ya Mmarekani na Israel.
 
Tunaelewa Wanafiki wanatumia Iran kama chambo lakini tunawahakikishia kuwa hakuna atakayeliweza taifa Teule SAudi Arabia katika vita vitakatifu. Marekani mwenyewe anamkubali Msaudia itakuwa nyie mbilikimo msio na shukrani?
angalia juzi kati saudi arabia ilivyokata ties na iran ni nchi ngapi zilizomfuata na kufanya hivyo?haijalishi watu wanasemaje ila ukweli ulio wazi saudi arabia ndo taifa lenye allies wengi na ushawishi mkubwa kati ya mataifa ya kiislamu duniani....kama israel anavyoexist katikati ya maadui weng wanaomzunguka kiwa sababu tu ana strong friends ndvyo itakavyokua kwa saudia pindi atapotishiwa usalama wake,sioni nafasi ya iran kuitishhia iran moja kwa moja zaidi labda ataendelea kupiga kelele tu kama anavyofanya cku zote
 
Siipend iyo nchi hao na nchi za waarabu ndo wanafadhil magaid
ha ha ha,mkuu huwezi ukatawala dunia kama nchi ama ufalme uko legelege,hawa jamaa nao ndoto yao ni kutawala dunia labda miaka 100 ijayo.
Unafikiri marekani anaweza kuicontrol dunia kama inakua legelege?.
Ukiambiwa vitu wanavyofanya CIA kwa mfano huwezi tofautisha na hao ;magaidi.
Wao wanaua sana ila wanaita EXTRA JUDICIAL EXCUTION.
Ili kupunguza ukali wa vitendo venyewe,wanateka na hata kulipua watu pia
 
hujui kama wagalatia ndo watakua wakwanza kwenda kuikingia kifua saudia iwapo itatishiwa usalama wake?pia saudia ina marafiki wengi sana ambao wako tayari kuitetea itapoingia kwe shida
wana coalition yao matata sana,ina ndege idadi sawa na marekani,karibu ndege 18000 kwa ujumla,vifaru na selfpropelled artillery karibu pieces 50000,
hiyo coalition ni kubwa na yenye nguvu ,
hata hivyo iran kama kawaida huwa haina tabia ya kuvamia nchi karne za karibuni
 
Back
Top Bottom