Atakayeigusa Saudia, tutambomoa na kumfuta duniani

Atakayeigusa Saudia, tutambomoa na kumfuta duniani

Wahabis kuanzia Pakistan,Yemen Somali nk,wamechukua elimu ya uislam kutoka Saudia,Saudia haisaidii chochote Duniani haitoi msaada wowote wa Kijamii,huko zanzibar sijasikia Msaada wowote wa kijamii isipokuwa nyama ya ngamia kwa misikiti michache....,Hawa wasaudia ndio wanaoleta balaa lote hili Duniani.

Marehemu Muamar Ghadafi ameshawahi kuwambia waichie Makka na Madina iwe na utawala wake,nje ya utawala UFalme wa Saudia kama vile ilivyo Vatican na Italia,,Hiyo ndio uliyomfanya Ghadafi apotee baada ya Saudi Arabia kuwatilia fitna kwa mataifa ya Magharibi....
Ghadaf alikua ni Pimbi tu.
 
Mtu yeyote atakayejaribu kuligusa taifa takatifu la SAUDI ARABIA, tutambomoa na kumfuta katika ramani ya dunia. Taifa hili limesaidia watu maskini hususani Afrika na nchi nyingi zinazoendelea kwa misaada ya kijamii/kibinadamu tofauti na mataifa mengi ya ULAYA (majina kapuni) Saudi Arabia imetoa matrilioni ya Dola za Kimarekani katika miradi mbali mbali hususani maji, elimu, hospitali/afya, kwenye mataifa mbali mbali ikiwemo Somalia, Djibouti, Eritrea, Ethiopia, Sudani na Tanzania (hususani Zanzibar). Kwa umoja wetu hatutakubali kuona taifa hili likichezewa na wazandiki na wenye mrengo mbaya.
** Lazima tulishukuru sana hili Taifa kwa kujitolea kwake, kusaidia nchi maskini.
Wewe au wao acheni mihemko
 
Mnafiki Qatar kajileta kwenye 18 tutambamiza hataamini.
Wewe na nani?

Hivi sisi watanzania tutaacha lini ushabiki usio na tija kama huu?

Labda tu niwaambie;

- wewe mkristo unaetoka mishipa kuishupalia Israel unapoteza muda wako. It's time to think about yourself and your own generation.
Israel hawakutambui.

- wewe muislamu unaeishupalia Saudi Arabia unapoteza nguvu zako bure. Jamaa wanaishi maisha yao, ni vyema na wewe ukafanya hivyo!

Njia pekee ya kwenda peponi ni kutenda mema, wajali yatima, wajane na wengine wenye shida.

Sio kuishabikia Israel au Saudi Arabia!
 
Mtu yeyote atakayejaribu kuligusa taifa takatifu la SAUDI ARABIA, tutambomoa na kumfuta katika ramani ya dunia. Taifa hili limesaidia watu maskini hususani Afrika na nchi nyingi zinazoendelea kwa misaada ya kijamii/kibinadamu tofauti na mataifa mengi ya ULAYA (majina kapuni) Saudi Arabia imetoa matrilioni ya Dola za Kimarekani katika miradi mbali mbali hususani maji, elimu, hospitali/afya, kwenye mataifa mbali mbali ikiwemo Somalia, Djibouti, Eritrea, Ethiopia, Sudani na Tanzania (hususani Zanzibar). Kwa umoja wetu hatutakubali kuona taifa hili likichezewa na wazandiki na wenye mrengo mbaya.
** Lazima tulishukuru sana hili Taifa kwa kujitolea kwake, kusaidia nchi maskini.
Nilidhani ni kauli anaitoa kaka yake AMERIKA...!

kumbe ni Povu kutoka kwa KAPUKU mmoja....![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Chokochoko zozote dhidi ya Saudia kutaleta balaa duniani
 
Kafiri wewe, mbona nyie mnaabudu sanamu na tumenyamaza tu
Dini ni mpango wa mwanadamu kumtafuta Mungu na pia lazima ihamasishe upendo, na amani. Ikiwa kinyume na hapo ni kikundi cha kigaidi. Huwezi kumuita mwenzako kafiri kwa sbb ya dini. Hakuna dini ya Mungu na Mungu hana dini.
 
Back
Top Bottom