Atakayenionesha andiko linalosema mke na mume walifungishwa ndoa na kiongozi wao wa dini nampa laki 1 akale sikukuu

Atakayenionesha andiko linalosema mke na mume walifungishwa ndoa na kiongozi wao wa dini nampa laki 1 akale sikukuu

Naomba utume laki yangu
Screenshot_20230101-190833.jpg

Wapi ambapo Kuhani au nabii kafungisha hiyo ndoa?

Yoashi (mzazi ndiye aliyepatia mwenza mtoto wake).

Yoashi ni mfalme
 
Katika ukristo lazima Padre au mchungaji.

Katika uislmu sio lazima sheikh au padri kama kuna mashahidi wawili baba au kaka au babu muozeshaji na muoaji na muolewaji ndoa inakamilika kwa hotuba
 
Andiko kama halipo watu wanatumia dini kuwa control watu kama kulikuwa na ulazima mungu angesema
Yesu alikuwa anapenda sana kwenda katika harusi kuna harusi moja alikwenda kama ingekuwa lazima viongozi wa dini kuwafungisha watu ndoa ndio mungu akubali basi siku ile Yesu angefungisha lakini alifanya jambo alilopenda mwenyewe walimuuliza mama ake aliwaambia atakalofanya msikilizeni basi akageuza maji kuwa pombe hapa inaonyesha jamaa kwenye mambo ya pombe yupo poa na itakuwa alikunywa tu

Muhamad alimuoa Khadija mwanamke tajiri kama Leo tunasema zali la mental kwa maana muhamad alikuwa kapuku hana hata hela unaambiwa iyo hela ya mahari katoa khadija je huyo aliefungisha ndoa yake alikuwa sheikh gani?

Ukija kuangalia hayo matukio utakuja kugundua hakuna ya haja ya mchungaji au sheikh au padri au kiongozi yoyote wa dini kuwafungisha watu ndio maana Yesu mwenyewe kaenda katika harusi hakufungisha watu ndoa sana sana kageuza maji kuwa pombe na Muhamad kama mwenyewe kiongozi hajafungishwa na sheikh hakuna ulazima wa sheikh kutaka kufungisha watu ndo nyie wakristo na waislam mumepata wapi huo utaratibu ?
Kabisa.
Hizi taratibu za ndoa ni scarm
 
Yesu hakuwa kiongozi wa Dini
Yesu alibatizwa na Yohana ndio maana kwa mkristo kubatizwa ni lazima maaana yangu ni kwamba jambo lenye umuhimu Yesu kama yupo katika ilo tukio lazima alifanye mfano aliwahi kufukuza watu wakiuza vitu katika hekalu maana yake ni kwamba ilo jambo halifai na kungekuwa na ulazima wa kila ndoa lazima afungishe padri au sheikh basi angenza na yeye mwenyew Yesu lakini alienda katika harusi tukio muhimu alilofanya ni kugeuza maji kuwa pombe msome vizuri mtoza ushuru utamuelewa
 
Wakuu kwema,

Kuna laki moja hapa nataka nimpe mtu akale na wana wake. Ili uipate nahitaji uniwekee aya, mstari au sura ndani ya Quran au Biblia inayoonesha mke na mume walifungishwa ndoa na kiongozi wao wa dini au walifungishwa ndoa na Mtume, nabii au Kuhani?

Sihitaji Hadithi au andiko lisiloonyesha ninachokizungumza moja kwa moja.
Nimesema nukuu itoke kwenye Biblia au Quran si kwamba siheshimu dini zingine hapana, hivi vitabu ndivyo navifahamu.

Asante.
Halafu ukishaona itakusaidia nini
 
Yesu alibatizwa na Yohana ndio maana kwa mkristo kubatizwa ni lazima maaana yangu ni kwamba jambo lenye umuhimu Yesu kama yupo katika ilo tukio lazima alifanye mfano aliwahi kufukuza watu wakiuza vitu katika hekalu maana yake ni kwamba ilo jambo halifai na kungekuwa na ulazima wa kila ndoa lazima afungishe padri au sheikh basi angenza na yeye mwenyew Yesu lakini alienda katika harusi tukio muhimu alilofanya ni kugeuza maji kuwa pombe msome vizuri mtoza ushuru utamuelewa
Kipindi yesu anaenda kwenye harusi ya kana alikuwa bado hajabatizwa
 
Yesu alibatizwa na Yohana ndio maana kwa mkristo kubatizwa ni lazima maaana yangu ni kwamba jambo lenye umuhimu Yesu kama yupo katika ilo tukio lazima alifanye mfano aliwahi kufukuza watu wakiuza vitu katika hekalu maana yake ni kwamba ilo jambo halifai na kungekuwa na ulazima wa kila ndoa lazima afungishe padri au sheikh basi angenza na yeye mwenyew Yesu lakini alienda katika harusi tukio muhimu alilofanya ni kugeuza maji kuwa pombe msome vizuri mtoza ushuru utamuelewa
Unajua watu wengi wanachanganya sana.

Yesu hakuwah kuwa kiongozi wa kanisa lolote kpind anahubiri viongozi walikuwpo waalimu, wafarisayo, Waandishi na wazeee na makuhani, Kama watu wangeruhusu mtu kufungisha ndoa bhasi kuhani angefungisha.

Yesu ameanza kukubalika kama kiongozi wa kidini miaka 100 au mia 200 baada ya yeye kuondoka ulimwenguni so alikuwa ni just mwalimu wa Wa kawaida kwenye dini anayefundisha dini
Na kumbuka tabaka ninalokuambia la uongozi lilitoka katika kabila maalum kwa wayahudi sio kila myahudi aliweza kuwa kiongozi
 
Kipindi yesu anaenda kwenye harusi ya kana alikuwa bado hajabatizwa
Penda kuelewa kama unataka kujifunza maana yangu ni kwamba jambo lolote muhimu ambalo Yesu alikiwepo katika tukio lazima alifundishe ukiona hajafundisha ujue halina umuhimu nyinyi wakrsto mumepata wapi habari za lazima padri au mchungaji kifungisha ndoa?
 
Mtazamo wako ni upi katika hali je ni lazima kiongozi wa dini kufungisha ndoa au mtu yoyote unaemuamini na kumkubali anatakiwa aweze kufungisha ndoa
 
Penda kuelewa kama unataka kujifunza maana yangu ni kwamba jambo lolote muhimu ambalo Yesu alikiwepo katika tukio lazima alifundishe ukiona hajafundisha ujue halina umuhimu nyinyi wakrsto mumepata wapi habari za lazima padri au mchungaji kifungisha ndoa?
Nimekuelewa ila cha pili mimi sio mkristo
 
Mtazamo wako ni upi katika hali je ni lazima kiongozi wa dini kufungisha ndoa au mtu yoyote unaemuamini na kumkubali anatakiwa aweze kufungisha ndoa
Hapana sio lazma ila mzazi ndo mwenye jukumu la kumpa mtoto wake mtu ukisoma hata kwenye biblia yao inasema "kwa maana mtu atawaacha wazazi wake na ataambatana na mkewe" na ndio maana halisi ya kuozesha mwenye jukumu ni wazazi na sio sheikh wala padre au mchungaji au askofu
 
Back
Top Bottom