Atakayenionesha andiko linalosema mke na mume walifungishwa ndoa na kiongozi wao wa dini nampa laki 1 akale sikukuu

Atakayenionesha andiko linalosema mke na mume walifungishwa ndoa na kiongozi wao wa dini nampa laki 1 akale sikukuu

Hoja yako ni ipi? Kua watu wajioleee tu bila kuwa na utaratibu kiimani! Assume ingekua hivyo hali ingekuaje? Nauliza tu Mtoa hoja..nothing personal!
Serikali kama unavyopata cheti cha kuzaliwa au cheti cha shule au chuo au nida au hata mtu yoyote unayemuamini makubaliana mnaandiksha cheti na kuwaita mashahidi ambao watakuwa marafiki au ndugu
 
Niraha Sana kuwasikiliza watu wanatafuta tafuta sababu ya kuhalalisha kitu badala ya kuleta kifungu ambacho kitamaliza hili jambo. Mpaka Sasa hakuna liyelet mwongozo wa ulazima wa ndoa kufungwaa kanisani au ulazima wa kanisa kuendesha mazishi. Wakristo wengi hawamiliki akili zao na wanafuata mambo ambayo ukiwauliza hawayajui Ila kwakuwa wameambiwa na kiongozi wa dini basi wanafuata tu, na ukija kuwauliza hawakupi majibu sahihi ya kibiblia. It's time to wake up guys.

Hata Mimi ni muumini wa kanisa ila Kuna mambo ambayo siyaelewi na Kila siku Huwa nayauliza Ila sipati majibu sahihi so hata mtu akiniuliza swali siwezi kumkomalia tu kwamba aamini kitu ambacho sikijui vizuri. Nashukuru Hili swala la ndoa dini yangu imelisolve kwa kukubali ndoa za kimila pamoja na kiserikali maadam tu Kuna ushahidi wa ndoa kufungwa.
tupe ufafanuzi hapo kwenye dini kukubali hizi aina zingine za ndoa
 
Muelewe mleta mada boss. Ameuliza utaratibu unaotumika kufunga harusi sio uwepo wa harusi.

Watu wanachanganya kati ya harusi na ndoa harusi ni sherehe inayo tokana na ndoa sasa jamaa anauliza wapi aya kiongozi wa dini alifungisha ndoa na mimi niongez ni jengo gani la ibada enzi hizo za mitumi ilionyesha kuna ndoa inafungwa ndani ya jengo hilo aya moja tu
 
Watu wanachanganya kati ya harusi na ndoa harusi ni sherehe inayo tokana na ndoa sasa jamaa anauliza wapi aya kiongozi wa dini alifungisha ndoa na mimi niongez ni jengo gani la ibada enzi hizo za mitumi ilionyesha kuna ndoa inafungwa ndani ya jengo hilo aya moja tu
Ook boss
 
Injili ya Yohana sura ya 2 anzia mstari wa 2.
Yesu alihudhuria sherehe ya harusi kana sasa sijui hoja yako ni ipi.....hiyo harusi aliifungisha nani sasa wewe au[emoji28][emoji28][emoji28]
Wakukurupuka. "Alihudhuria" neans alikuwa moja ya washiriki lakini haisemi alifungisha.
 
Labda tu namimi niongezee maswali mawili yanayohusiana na mada hii.

1. Baba wa iman Ibrahim inasemekana alikuwa na wake wawili nikiongozi gani alifungisha hizo ndoa?

2. Jacob mwana wa isaka alikuwa na wake wawili (mtu na dada yake) nikiongozi gani wa dini alifungisha hizo ndoa?

Yangu ni hayo tu wakuu
Umemsahau mwamba aitwaye suleimani, sijui ndoa yake ilifungishwa na nani
 
Imeandikwa alichokiunganisha Mungu, mwanadamu asikitenganishe.
Sasa hapo mtu asie wa dini anawezafunganisha? Na ni nani alie mkuu katika taasisi za kidini ki Mungu?
Mungu anaunganishaje kama hutorudi kwenye mambo ya wanadamu waliojifika utumishi wa Mungu?? Kwa nini ukibahatika kutofariki kwenye ajali unasema Mungu kaniepusha ili ukitokea umeoa au kuolewa na mtu husemi Mungu katuunganisha Hadi hpo utakapoenda kanisani au msikini?
 
Wewe nitaomba uweke andiko ambalo linasapoti hicho unachokipinga
 
Mungu anaunganishaje kama hutorudi kwenye mambo ya wanadamu waliojifika utumishi wa Mungu?? Kwa nini ukibahatika kutofariki kwenye ajali unasema Mungu kaniepusha ili ukitokea umeoa au kuolewa na mtu husemi Mungu katuunganisha Hadi hpo utakapoenda kanisani au msikini?
Haya yalishapita mkuu hakuna haja ya kufukua makaburi
 
Kwenye ukatoliki wanaweka wazi kabisa kua Padri hafungishi ndoa bali husema wanashuhudia ndoa anaefungisha ndoa ni Mungu mwenyewe kwa maana ndiye aliewaunganisha wahusika. Mimi nilipata fursa ya kuwahoji baadhi ya mapadri wakanijibu wao ni mashuhuda tu.
 
Back
Top Bottom