Atakayeweza kuniloga nitamlipa Milioni 25

Dah Mkuu mpaka mwili umesisimka yani kuna dada alikuwa anakaa changanyikeni ndio alipata maradhi hayo alipitia kipindi kigumu yule dada japo alienda kuponea pemba huko
 
Nakuambia hv,Kila Mtu na asili yake,wewe waweza sema hvyo kumbe vizazi vyako vilivyopita vishafanya mambo usidhurike
Kingine km unaamini dini zeu hizi mbili huwezi sema hakuna uchawi

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Aah Acha kutusumbua wachawi bwana,mtu mwenye kujenga hekalu na kuweza kitulipa mln 25 wachawi hawezi kuvaa gauni la kama Hilo....[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hayo ni matumizi mabaya ya mikoba
Mfyuuuuuu [emoji16][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
wewe maneno mengi nunua hio dawa inaitwa makata....nawa au oga uone utakavyoiloga utatafuta tiba mwenyewe....kama uchawi ni sayansi hio ndio proof yake...
Siwezi kuogea mavitu sijui ni manini yaje yaharibu my expensive skin bure🤣.
Kama unaniloga niloge ila matakataka siogei
 
nikimalza kukuloga pesa nazikuta sehemu gan umeweka ???
ila mimi nakuongezea tu inayoonyesha ulishalogwa tayar
 
Nakuambia hv,Kila Mtu na asili yake,wewe waweza sema hvyo kumbe vizazi vyako vilivyopita vishafanya mambo usidhurike
Kingine km unaamini dini zeu hizi mbili huwezi sema hakuna uchawi

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hamna cha asili wala nini.
Na nilivyokua nanata uchawi.ungekuwepo kweli wasingeniacha salama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…