Atakayeweza kuniloga nitamlipa Milioni 25

Aniroge nani mnarogwa nyinyi wenye Imani haba hakuna uchawi mbele ya YAKOBO
 
Anipige nani mnarogwa nyinyi mliekuwa na iman haba hakuna uchawi mbele ya Yakobo 😂😂
Haujui kwanini kanisani kuna kengele na haujui kwanini msikitini kuna sipika kubwa za kupiga kelele za Azana, utajulia wapi masuala ya wachawi ?
 
Haujui kwanini kanisani kuna kengele na haujui kwanini msikitini kuna sipika kubwa za kupiga kelele za Azana, utajulia wapi masuala ya wachawi ?
Ukiwa na Imani kubwa huwezi rogwa watu wasingehangaika kuwauwa watu wasumbufu kama Lissu badala yake wangetumia uchawi ukiona unarogwa ujue hauna Imani nakupa hii chukua itakusaidia 😁 😁
 
Aah wapiiii hawana lolote, unakumbuka yule aliyekua Sheikh mkuu wa Dar alimwambia Mange hatoboi huu mwaka wa pili naona Mange anazidi kudunda,

Uchawi hauendi kwa Mentali [emoji38]
 
mtoto we si haba🤩
 
Mitusi na hiyo imani vimekupendezea kweli.
Majina yako matatu
Majina ya Mama yako matatu

Kabizi hivyo vitendea kazi mezani subiri uje uchezee viwembe yaan mtu hata hujalowekwa kwenye chungu chenye dawa unajifanya kutamba km umechanjiwa kucha ya Simba kumbe kima tu
 
Majina yako matatu
Majina ya Mama yako matatu

Kabizi hivyo vitendea kazi mezani subiri uje uchezee viwembe yaan mtu hata hujalowekwa kwenye chungu chenye dawa unajifanya kutamba km umechanjiwa kucha ya Simba kumbe kima tu
Sa matusi ya nin🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…