Iblis Bin Shetan
JF-Expert Member
- Sep 24, 2018
- 1,824
- 2,445
Nakuja kukupa pm sasa ole wako ushindwe kuniroga π πHaya weka majina yako matatu na majina ya Mama yako matatu
Hivyo tu vinatosha unapigwa mzizi kwanza kisha linapigwa tawi
thibitisha wewe basi uliye fanya researches kama hii imani uchwara ipoπ€£π€£π€£ππhata anachokiandika anaonekana hakijui vizuri.
Anajitekenya kisha anacheka mwenyewe,soma mstari huuπ
"Ukweli hizi imani zinanikera sana maana mbali ya kuchelewesha maendeleo ya hili bara pia ni hatari.Tushaua sana wenzetu wasio na hatia sbb ya hizi imani pumbavu.Albino,Vipara,wazee with red ayes na wengine wengi.Upumbavu mtupu."
Mpaka hapo keshaamini kwamba hizi imani zipo na zinaleta athari kama alivyoainisha.
Wakuu punguzeni kukurupuka,kabla hujaandika fanya research ya kutosha na ujiridhishe.
Mambo ya kiimani unaandika andika tuu as if unasimulia ndoto uliyoota.
Wakuu kama sijatenda vyema mniwie radhi.
Mtoa mada weka majina uliyoombwa wakuu waonyeshe maujuzi
Nimeshakutumia pm majina yangu matatu now aya niroge nione ππKabizi hayo majina hapa acha kujisifia ujinga, si uweke majina uonyeshwe show kenge wewe
wapumbavu hao hawana loloteNajiuliza na mim haya maswali mkuu.
Kwa hiyo kumbe bila majina huwezi logwa?
Hivi hakuna anayeweza kutumia hata hii ID yangu kuniloga?
Mbona kuna mtu nilimuona humu akimkanya mwenzie eti awe makini kuna wanga humu wanaloga hadi IDπ.
Kwani mim ni mzito sana hadi washindwe kuloga kupitia japo ID
sasa jirani kama unaogopa vinyoka, wakija wanga uchi uchi si utajikojoleaπ π πππππ jirani.
PM nimefunga naogopa wachawi wasiingieπ€£
Punguza matusi mkuu.Kabizi hayo majina hapa acha kujisifia ujinga, si uweke majina uonyeshwe show kenge wewe
Hahaha...Twende ukakabizishe hizo hela kabisa kwa makubaliano ya kusainishana kisheria alafu nipe majina yako matatu na uzi kutoka kwenye nguo yako.... Niruke pale tunduma chap kwa mzee mmoja anaitwa Nyang'anya Wananyungi Filtahai Bin Nyang'anya, Wewe week tu unabaka mwanafunzi na ndo unakuwa mwanzo wa matatizo yako.
Lete km kweli unajiamini na umechoka kuishi,Nakuja kukupa pm sasa ole wako ushindwe kuniroga π π
Mwenzako kashakabizi majina PM na wewe kabizi sio unajifanya macho kuvimba tu km umechanjwa ngozi ya Mamba, Leta majinaPunguza matusi mkuu.
Halafu naomba kuuliza swali boss wangu.
Eti Tanzania nzima hakuna mchawi anayeweza kupata hayo majina kwa ndumba?
ππππsasa jirani kama unaogopa vinyoka, wakija wanga uchi uchi si utajikojoleaπ π ππ
hahaha...changanya manyanga vizuriHahaha 8463
Haya haya uyu zuzu nimempa majina yangu matatu na mama matatu anasema nataka naniroge aya nasubiri nione π π πKabizi hayo majina hapa acha kujisifia ujinga, si uweke majina uonyeshwe show kenge wewe
Punguza mihemuko mkuu you cant do nothing.Lete km kweli unajiamini na umechoka kuishi,
Mwenzako kashakabizi majina PM na wewe kabizi sio unajifanya macho kuvimba tu km umechanjwa ngozi ya Mamba, Leta majina
Hawez kufanya kitu kelele tuHaya haya uyu zuzu nimempa majina yangu matatu na mama matatu anasema nataka naniroge aya nasubiri nione π π π
Wewe ni MTOTOππππ
Wakija nikawaona kweli nitaogopa ila uzuri hawana uwezo huo wa kuja nyumban kwangu
Ushanipa we endelea na issue zako Ila nishakupa angalizo usiseme sikukwambia,Haya haya uyu zuzu nimempa majina yangu matatu na mama matatu anasema nataka naniroge aya nasubiri nione π π π
changanya manyanga vizuri ππ5384
πππhahaha...changanya manyanga vizuri
Utajiaibisha bure kakojoe ulale hukoWewe ni MTOTO
Ushanipa we endelea na issue zako Ila nishakupa angalizo usiseme sikukwambia,
Wewe mleta uzi Leta majina yako sio unawaponza wenzio wewe unakaa nyuma,Hawez kufanya kitu kelele tu
Wewe ni MTOTOUtajiaibisha bure kakojoe ulale huko