Atakayeweza kuniloga nitamlipa Milioni 25

thibitisha wewe basi uliye fanya researches kama hii imani uchwara ipo
 
wapumbavu hao hawana lolote
 
Kabizi hayo majina hapa acha kujisifia ujinga, si uweke majina uonyeshwe show kenge wewe
Punguza matusi mkuu.
Halafu naomba kuuliza swali boss wangu.

Eti Tanzania nzima hakuna mchawi anayeweza kupata hayo majina kwa ndumba?
 
Hahaha...
Mtoa mada ni mwanamke bhana, ebu angalia picha yake!
 
Nakuja kukupa pm sasa ole wako ushindwe kuniroga πŸ˜‚ πŸ˜‚
Lete km kweli unajiamini na umechoka kuishi,
Punguza matusi mkuu.
Halafu naomba kuuliza swali boss wangu.

Eti Tanzania nzima hakuna mchawi anayeweza kupata hayo majina kwa ndumba?
Mwenzako kashakabizi majina PM na wewe kabizi sio unajifanya macho kuvimba tu km umechanjwa ngozi ya Mamba, Leta majina
 
sasa jirani kama unaogopa vinyoka, wakija wanga uchi uchi si utajikojoleaπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜‚
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Wakija nikawaona kweli nitaogopa ila uzuri hawana uwezo huo wa kuja nyumban kwangu
 
Ni waoga tu na wanaoona kuwa kuwa kila mgonjwa karogwa
Au akiona biashara haiendi eti karogwa
Watu wa hivi nawadharau sana
Baba yangu tulikuwa tukimuambia mchawi huyo
Na kweli wale waliokuwa wanajulikana na mambo ya ushirikina
Mzee anachukua fimbo basi atakula za fasta na sisi hatuna mbavu

Tangu udogo wangu nawaona ni wapumbavu tu hao
Hakuna haya mambo bali kwa masikini tu
Ukiwa na hela wala hujishughulishi
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Wakija nikawaona kweli nitaogopa ila uzuri hawana uwezo huo wa kuja nyumban kwangu
Wewe ni MTOTO
Haya haya uyu zuzu nimempa majina yangu matatu na mama matatu anasema nataka naniroge aya nasubiri nione πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
Ushanipa we endelea na issue zako Ila nishakupa angalizo usiseme sikukwambia,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…